Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Mvumilie. Mbane sasa akwambie. Wakati mwingine hali ya ubabe/ukali sana humtesa lady. Waweza fanya madudu lakini hutaki kukosolewa/kuhojiwa kwa kuwa tu wewe ndo baba. Hali inapoendelea, maumivu ndani ya moyo wa mwanamke huongezeka. Siku akipata fursa ya kuyatoa ndo huwa balaa. Zitafakarini sana kauli zinazofanana na hii "you are always like that". Jua imebeba vingi japo yamkini hawezi kuvisema kutokana na hali yake ya kuwa mwanamke
Aaah mm huwa napotezea tu, huo muda wa kuanza kukumbusha ya nyuma hapana....
 
kwa nini wanawake wanapaka make up,na wanaume hawafanyi hivyo...?LOL

kwa nini mama wa kambo wanakua wakali sana kwa watoto??

ni kweli wanawake tunachukia watu waliotubikiri???

ni kweli ni rahisi kwetu 'kukumbushia' game na watu waliokua wapenzi wetu??? WHY ?lol
hilo swali la mwisho hilo [emoji1][emoji1][emoji1]

Cc Mr Bean
 
[emoji23][emoji23][emoji23], Tunajielewa wenyewe..nyie kutuelewa labda sisi tuamue mtuelewe..Vinginevyo hamuwezi kutuelewa...Lakini sisi twawaelewa sana ndio maana twaweza kucheza na AKILI zenu pasipo ninyi kutuelewa.
Nakubali Pyaar [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom