Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Kwanini wanawake wanapenda kujipiga picha makalio yao?
 
Ndio ndugu
Hapana, sio kweli..Sio wanawake wote wanapenda kupiga picha makalio yao.

Wanawake walio wengi wanajisikia raha sana na fahari (kujivunia) kile walichonacho.
Mfano kama ulivyosema makalio, vile vile hips,sura, macho, miguu.

Hivyo kama ni mpenzi wa mipicha picha utakuta muda wote anapiga kiungo ambacho kabarikiwa na anaona kile ndo fahari yake, kama ni miguu muda wote atakuwa akiionesha, kama kabarikiwa sura vivyo hivyo kila uchao utakuwa waona sura yake tu na hata kama kabarikiwa shape nzuri, utaona pia akiionesha..

Hii ya kupenda kupiga makalio kwa sana ni vile tu ndo habari ya mujini kwasasa, (ZIGO, WUKWU, NUNDU,) Na kila mwenye ZIGO lake analionesha kwa ujasiri wote..Lakini sio kwa flatscreens.

** Hapa sijamaanisha wanawake wote***
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana humu leo ila hitimisho kichwan mwangu nililopata kuwa WANAWAKE NI WANAVICHAAA
 
Back
Top Bottom