Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Ninapomtongoza mwanamke; huwa najibiwa:
-Siko tayari kuolewa
-Mapenzi ya sasa pasua kichwa
-Wanaume wa sasa hawaeleweki
-Nakula ujana au bado sana kuwa na mpenzi.

Lakini ikitokea ukapiga shows kwake/kwa wasemao maneno hayo; mtafutano si wa nchi hii.
Yaani utafikiri wasiojulikana wanavyowatafuta wapinzani au members wa JF.

Husababishwa na nini hiyo?
Show yako inakua imenoga teh
 
vitu vingi vinaweza kuwa sababu, pia hutofautiana baina ya hao wanawake (sio wote wakawa na sababu moja)

miongoni mwa sababu hizo ni
  • Kiasi unacho tip baada ya show
  • namna unavyo mgharamia/kumjali
  • Hapo mwanzo alikua akisema hivyo ili umuone mgumu, na sio malaya.
  • kapenda show unayopiga
Nitumie namba yako ya m pesa mkuu upate ya mzinga mdogo
 
Ni kwanini wanawake wanapenda sana kupigizana kelele,gubu n.k....staki jibu la "ndivyo walivyoumbwa"[emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: sab
kwann wanawake wanapenda dishes ndefu?
kwann wwnawake wembamba wana shimo kubwa kunako kyuma?
 
Hawa wanawake tuwaache tuu hivyo hivyo wajielewe kwanza ndo itakuwa rahisi ht cc kuwaelewa
 
Yaani hana msimamo kila kitu ni mpaka aulize ndugu zake na mbaya zaidi anashauliwa na dada yake ambaye naye kaachika!! Anampigia simu muda wote
 
Back
Top Bottom