Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

kuna vitu vingi ambavyo kwa namna moja au nyingine husababisha mpenzi wako awe namna hiyo
  • huenda ikawa na malezi alio lelewa.
  • mazingira aliokulia
  • Au ni personality yake tu
cha muhimu ni kukaa na kuongea nae kwa utaratibu wa hali ya juu. anza kidogo kidogo, sio unakaa nae alafu unaanza kumshushia list nzima ya weakness zake. hapo utampoteza mazima.

pia kama unampenda, sioni sababu ya wewe kushindwa kusema "samahani", if that is all it takes to make her happy.

unajua ili relationship iwe inaenda smooth, patners inabidi wawe wanavumiliana madhaifu yao (hakuna alie kamilika). hapo umemuangalia yeye kwenye viatu vyake, hebu jaribu kuviangalia na vya kwako, je visafi ?.
Mkuu unamaanisha nini kusema mazingira aliyolelewa?

Wazazi ndio wanatakiwa kumfundisha mtoto jinsi ya kupeti-peti?
 
955164650001362944-png__700.jpg
 
zipo sababu nyingi sana, ila sababu kubwa na common sana ni tabia ya wanawake kujiona wapo bora zaidi ya wanawake wengine. najua hapa itakua ngumu kwa wewe ku connect dots, ila niamini, pale unapoanza tu kuhisi mwanamke mwenzako ni bora (superior) kuliko wewe basi kuna ka wivu flani kanakuja ambako hako ka wivu ndo kana sababisha musipendane.

na hii sio kwa mawifi tu, hata kwa marafiki, mashosti nk.
kuna wengine machoni wanachekeana, ila moyoni wanachomana visu.

Nilidhani utaconnect na upendo wao Kwa kaka. Mali na muda na historia yao.
 
hahaha unaona ss, na kama nilisahau au hata sikujua kosa lenyewe...
Mvumilie. Mbane sasa akwambie. Wakati mwingine hali ya ubabe/ukali sana humtesa lady. Waweza fanya madudu lakini hutaki kukosolewa/kuhojiwa kwa kuwa tu wewe ndo baba. Hali inapoendelea, maumivu ndani ya moyo wa mwanamke huongezeka. Siku akipata fursa ya kuyatoa ndo huwa balaa. Zitafakarini sana kauli zinazofanana na hii "you are always like that". Jua imebeba vingi japo yamkini hawezi kuvisema kutokana na hali yake ya kuwa mwanamke
hahaha unaona ss, na kama nilisahau au hata sikujua kosa lenyewe...
 
kwa nini wanawake wanapaka make up,na wanaume hawafanyi hivyo...?LOL

kwa nini mama wa kambo wanakua wakali sana kwa watoto??

ni kweli wanawake tunachukia watu waliotubikiri???

ni kweli ni rahisi kwetu 'kukumbushia' game na watu waliokua wapenzi wetu??? WHY ?lol
 
, kwani wafikiri yanafanyika pasipo watenda kuelewa nini wanafanya
Mm nahisi nyie RAM na PROCESSOR zenu ni ndogo kwhyo inachukua muda kufikiri na kuelewa kitu mnajikuta mmeshafanya au kuongea then ndio mnakuja kupata ufahamu kwamba hamkuwa sahihi....hahaha

Ila safi tu tunawapenda hivyo hivyo.
 
, Tunajielewa wenyewe..nyie kutuelewa labda sisi tuamue mtuelewe..Vinginevyo hamuwezi kutuelewa...Lakini sisi twawaelewa sana ndio maana twaweza kucheza na AKILI zenu pasipo ninyi kutuelewa.
Haha h
unajitahidi sana kua balozi mzuri wa wanawake hapa, ila kauli yako inapisha uhalisia. Wanawake wengi ktk ndoa huonyesha kutowaelewa wanaume si kinyume chake.
 
Mim kina vitu huwa nafanya Mr anafooka alafu badae nakaa najitafakari hivi nilifanya nn najicheka mwenyew,,kina ile ya kumisi kugombana na mtu basi utamchokonoa mwanaume mradi tu mgombane hapo roho kwaatu,,yani mwanamke wacha kabisaa
Possibly wewe ndie Mke wangu. Maana unavyojieleza ni copyright
 
Hahahaaa. Nimeona aibu mie Kaka lol.

Mtuzowee tu jamaani. Sababu katika shida tulizonazo na hii ndio moja wapo.

Mfano hai ni Pm zetu Ke wengi tumefunga lengo la wengi ni kuogopa Mitongozo wakati kwa mbaali huwa siamini kwamba kila anayekuja kule lengo lake ni kutongoza. Koh.
Asante dada

Usione aibu ndivyo mlivyoumbwa hivyo, tunawapenda hivyo hivyo ss mbonaa
 
unamaainisha umesoma volume ngapi za kile kitini cha kuwajua wanawake
 
Back
Top Bottom