Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 17,212
- 80,121
ngoja nikae hapa nione atakavyopigwa K-O tena na hao hao wanawake
Wanawake ni viumbe wa pekee, wao wenyewe hawajijui nani mwingine atawajua hahaha...



"Hawajijui"ngoja nikae hapa nione atakavyopigwa K-O tena na hao hao wanawake
Wanawake ni viumbe wa pekee, wao wenyewe hawajijui nani mwingine atawajua hahaha...



"Hawajijui"Toeni na kitabu on how to understand men. Mtusaidie na sisiMen are from Mars, Women are from Venus
Go through this book, it helps to understand woman.
Nakuona unakazia, mate.Kweli kabisa,
Hahahahaha! Nawashangaa tu mnavyojichanganya kutujua sana..Nakuona unakazia, mate.
amna, ukijua kuishi nae sio kwamba umemuelewa....sometimes inabidi ukubaliane nae tu ili mradi asiendelee kuongea maana haelewekiKujua jinsi ya kuishi nao ndio kuwaelewa kwenyewe, ama unataka uwaelewe vipi Chief? Unataka remote control kabisa, Boss?
hahaha unaona ss, na kama nilisahau au hata sikujua kosa lenyewe...Basi ukiona wifi anashout nawe hujui sababu, tambua Kuwa kumekuwa na mrundikano wa vitu ndani yake. Na hapo ndo amepata nafasi ya kuvitoa. Anaweza akacharuka leo kumbe wewe ulimkosea last month
Poleniukiwa understand guy unaonekana mjinga....ukiwa mkorofi utaonekana mnyanyasaji hahaha kazi kweli kweli.View attachment 776114
Umekosea Mkuu. Haya majibu yako very general!kuna mahala itakua unakosea katika hilo jambo la kumpa pesa.
inawezekana unampa kiasi kidogo sana, hapo lazima achukie.
au inawezekana unampa baada ya kulala nae, hivyo anaona kama unamlipa (malaya)
ndioo"Hawajijui"
Sis rahisi sana kutuelewa, we are simple. Unajua mwili wa mwanamke na tabia zake huchangia sana kwa hii mnayoita female complexity. Mnabadilika badilika sana.Toeni na kitabu on how to understand men. Mtusaidie na sisi
Hahahahaha! Nawashangaa tu mnavyojichanganya kutujua sana..


mm hata sitaki kuwajua....nimeupenda huu uzi maana najua nitacheka sana, hahahaSio kweli hata kidogo, tunafanya tukijua nini tunafanya..ndioo
Unaweza kuwa sahihi Chief, wacha tujifunze kwa mtaalam.amna, ukijua kuishi nae sio kwamba umemuelewa....sometimes inabidi ukubaliane nae tu ili mradi asiendelee kuongea maana haeleweki
Mmh!Sio kweli hata kidogo, tunafanya tukijua nini tunafanya..
"Biblia Takatifu inasema tuishi nao kwa akili". Wewe ni nani hata uwajue kwa 100%nakubaliana na wewe kwa kuamini kuwa wanawake wapo complex sana.
ila haimaanishi kuwa haiwezekani kuwasoma na kuwaelewa
sure, u always know wat you re doing.Sio kweli hata kidogo, tunafanya tukijua nini tunafanya..
mm hata sitaki kuwajua....nimeupenda huu uzi maana najua nitacheka sana, hahaha
kuwajua nyie aisee inabidi kujitoa ufahamu


, Tunajielewa wenyewe..nyie kutuelewa labda sisi tuamue mtuelewe..Vinginevyo hamuwezi kutuelewa...Lakini sisi twawaelewa sana ndio maana twaweza kucheza na AKILI zenu pasipo ninyi kutuelewa.