Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

booyfriend-5ae084f09160b__700.jpg
 
ukiwa understand guy unaonekana mjinga....ukiwa mkorofi utaonekana mnyanyasaji hahaha kazi kweli kweli.
056_understanding_guy_blog-5a3176d6c77ab__700.jpg
 
Basi ukiona wifi anashout nawe hujui sababu, tambua Kuwa kumekuwa na mrundikano wa vitu ndani yake. Na hapo ndo amepata nafasi ya kuvitoa. Anaweza akacharuka leo kumbe wewe ulimkosea last month
hahaha unaona ss, na kama nilisahau au hata sikujua kosa lenyewe...
 
kuna mahala itakua unakosea katika hilo jambo la kumpa pesa.

inawezekana unampa kiasi kidogo sana, hapo lazima achukie.

au inawezekana unampa baada ya kulala nae, hivyo anaona kama unamlipa (malaya)
Umekosea Mkuu. Haya majibu yako very general!
 
mm hata sitaki kuwajua....nimeupenda huu uzi maana najua nitacheka sana, hahaha

kuwajua nyie aisee inabidi kujitoa ufahamu
, Tunajielewa wenyewe..nyie kutuelewa labda sisi tuamue mtuelewe..Vinginevyo hamuwezi kutuelewa...Lakini sisi twawaelewa sana ndio maana twaweza kucheza na AKILI zenu pasipo ninyi kutuelewa.
 
Back
Top Bottom