Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

Saikolojia: Niulize chochote kuhusu wanawake

ni kweli kwamba ukiwa na ukaribu na msichana, mfano ukaribu wa kikazi labda mnafanya kazi ofisi moja au mnasoma wote darasa moja, huwa ni rahisi msichana yule kupata hisia za kukupenda automatically wewe mwanaume hata kama hakujui vizuri undani wako na wewe mwenyewe huna hisia nae zozote zaidi ya ushirikiano tu ktk baadhi ya mambo kama ya kikazi? yaani ni kweli ukaribu wa msichana unapitilizaga na hadi kumjengea hisia zingine juu ya mwanaume?
 
Hivi complexity yetu ladies iko wapi? Ama katika vipengele vipi? Kwangu, wanaume ndo hamueleweki. Kama lady anaamua kumhandle with care mahabuba wake, na hata kwenye show atasimamia had kucha, bado hapa hapa jf mnasema mwanaume kamili lazima awe na mpango wa kando, na mnasapoti hili. Ktk situation hii nani ni complex zaid ya mwenzie? Mnatuonea bure wanawake
well, the idea of complexity of women inatokana na concept ya kuwa wanawake wengi hawajui wao wenyewe wanataka nini. kwa hiyo inakua ni ngumu sana kwa wanaume kujua exactly what his woman needs.

nikikupa kabati lilojaa nguo, kisha nika kwambia chagua nguo moja ya kuvaa leo jioni twende out. itachukua si chini ya dakika 10 na bado utakua huna uhakika hio nguo ulio chagua kama ni "best" of all.

sasa hapo nimetoa mfano wa nguo, ila kiuhalisia ina apply katika kila nyanja.

Pia kuna ile tabia ya kuongea vitu huku ukiwa una maanisha kinyume chake. yaani umekasirika ila ukiulizwa kuna tatizo gani, unasema hakuna kitu. hii imewafanya baadhi ya wanaume kuwaona nyinyi ni complex. japo kuwa mimi sioni kama hii ni kikwazo, kwa sababu mara moja unaweza kujua mwanamke anamaanisha nini hata kama anaongea kwa "kinyume", especially kama umeishi nae kidogo.

kuhusu sisi wanaume, hapo itakua nje ya mada ya huu uzi 🙂
 
Habari zenu,

Nimekua nikipita humu jukwaani na mara nyingi nimeona watu wengi wana feli sana katika kuwaelewa wanawake.

Mimi nimekua nikifanya tafiti zangu kwa muda mrefu sana pamoja na kusoma vitabu mbali mbali juu ya tabia na saikolojia za wanawake, hivyo nawaelewa sana.

kwa hiyo nimeamua kujitolea ujuzi wangu katika kuwasaidia wanaume wenzangu wanaosumbuliwa na tatizo la kushindwa kuwaelewa wanawake na hivyo kusababisha washindwe kuwa nao au kugombana nao kila kukicha.

Pia baadhi ya wanawake nao wanashindwa kuelewa namna saikolojia zao zinavyofanya kazi, nanyi pia mnakaribishwa kuuliza maswali na kujifunza.
Kwahyo mkuu unamzidi Huyu
images.jpg
 
hivi kwanini wanawake wasikuhizi hasa wa Dar wanapenda kuliwa 0713 .......?
 
Mr. Ben mi nauliza ..
Endapo Mke ana kazi na anapata kipato sawa au kizuri na kikubwa kuliko Mme wake,
Je.. inastahili mgawanyo upi wa majukumu kati ya mme na
mke..?Hapa namaanisha
majukumu yoote ya familia mfano (1) matumizi ya chakula cha
kila siku, (2) Ada za watoto (3) Ujenzi wa Nyumba (4)
manunuzi ya mahitaji kama nguo za watoto na familia kwa
ujumla (5) uwekezaji mbalimbali pamoja na michango katika
jamii

Inavyoonekana wanawake karibu wote wana mentality kuwa hata kama yeye anafanya kazi na hata ana mshahara
mkubwa kuliko mme wake lakini bado atamwachia mme wake
mwenye mshahara mdogo kutoa huduma zoote na matumizi yoote
ya kifamilia. Na kwa wakati huo yeye anadai mshahara wa
mwanamke ni wa kwake na jukumu la mwanaume ndio kulea na
kuhudumia familia kwa kila kitu. na bado atahitaji umnunulie
zawadi, umnunulie nguo, umpe hela ya saloon na hata kumtoa
out.... kwa mshahara mdogo wa mwanaume ufanye yoote
hayo ili hali yeye naye anapata fedha tena nyingi kulko za
mme.
Je hii ni sawa au imekaaje..??
 
Hivi complexity yetu ladies iko wapi? Ama katika vipengele vipi? Kwangu, wanaume ndo hamueleweki. Kama lady anaamua kumhandle with care mahabuba wake, na hata kwenye show atasimamia had kucha, bado hapa hapa jf mnasema mwanaume kamili lazima awe na mpango wa kando, na mnasapoti hili. Ktk situation hii nani ni complex zaid ya mwenzie? Mnatuonea bure wanawake
unajua kila mtu anamuona mwenzake complex sababu kila mtu anaishi ktk ulimwengu wake kweny ubongo wake,

ila heri ss wanaume kdgo tupo wide-open kwa mambo fulani huwezi kuumiza kichwa kuelewa....lkn wanawake ss mmmhu!
 
well, the idea of complexity of women inatokana na concept ya kuwa wanawake wengi hawajui wao wenyewe wanataka nini. kwa hiyo inakua ni ngumu sana kwa wanaume kujua exactly what his woman needs.

nikikupa kabati lilojaa nguo, kisha nika kwambia chagua nguo moja ya kuvaa leo jioni twende out. itachukua si chini ya dakika 10 na bado utakua huna uhakika hio nguo ulio chagua kama ni "best" of all.

sasa hapo nimetoa mfano wa nguo, ila kiuhalisia ina apply katika kila nyanja.

Pia kuna ile tabia ya kuongea vitu huku ukiwa una maanisha kinyume chake. yaani umekasirika ila ukiulizwa kuna tatizo gani, unasema hakuna kitu. hii imewafanya baadhi ya wanaume kuwaona nyinyi ni complex. japo kuwa mimi sioni kama hii ni kikwazo, kwa sababu mara moja unaweza kujua mwanamke anamaanisha nini hata kama anaongea kwa "kinyume", especially kama umeishi nae kidogo.

kuhusu sisi wanaume, hapo itakua nje ya mada ya huu uzi 🙂
kweli kabisa chief..
unaweza kumwambia tule nn leo....atakwambia chagua ww, ss kila utakachochagua atakwambia hapana hahahaa hapo ndio wanaume tunabaki tunajisemea moyoni tu hahahaha
 
Jamani Mimi mwanamke nikiri tu wazi kwamba kutuelewa sisi wanawake uache kazi moja na ufanye kazi nyingine,,kwako mleta Uzi kumjua mwanamke haiko rahisi kama unavyochukulia at least ungekua nawe ni mwanamke kina vitu ungevijua bila haya kufanya research kwa hao unaowaita wanawake
 
kweli kabisa chief..
unaweza kumwambia tule nn leo....atakwambia chagua ww, ss kila utakachochagua atakwambia hapana hahahaa hapo ndio wanaume tunabaki tunajisemea moyoni tu hahahaha
Ha!! Kumbe ni hivyo! Basi tutaanza kuwa specific ili msiumize kichwa
 
Jamani Mimi mwanamke nikiri tu wazi kwamba kutuelewa sisi wanawake uache kazi moja na ufanye kazi nyingine,,kwako mleta Uzi kumjua mwanamke haiko rahisi kama unavyochukulia at least ungekua nawe ni mwanamke kina vitu ungevijua bila haya kufanya research kwa hao unaowaita wanawake
Asante

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hivi complexity yetu ladies iko wapi? Ama katika vipengele vipi? Kwangu, wanaume ndo hamueleweki. Kama lady anaamua kumhandle with care mahabuba wake, na hata kwenye show atasimamia had kucha, bado hapa hapa jf mnasema mwanaume kamili lazima awe na mpango wa kando, na mnasapoti hili. Ktk situation hii nani ni complex zaid ya mwenzie? Mnatuonea bure wanawake
Nmekupenda.
 
Back
Top Bottom