Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,642
- Thread starter
- #61
Hujaelewa nilichokiandika, au?Kumbe kwenda nje sio shida, shida yako unataka outcome ya hizo safariii, si ndioo?? Kama nimatokeo chanya ya safariii za dr. Samia kwenda njee ni nyingiii saaana. Mfano wawekezaji wko wengi wameongezeka, wataliii na sekita mbalimbali za kitalaamu zimeboreshekaaa hata kisiasaa nchi imepiga hatua saaana ikiwemo hata 4 R zote hizi na uchumi kuimalika ni miongoni mwa faida za raisi kusafiri kwenda njee, zaidi na nzuriii zaidi ni hii ya kuboresha diplomasia na mataifa mengiiii duniani