johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Rais Samia amesema Vijana wanaojiunga na makundi ya Kigaidi nchi za nje wanatoa taswira mbaya kwa nchi yetu hivyo ni lazima wadhibitiwe
Rais amesema haipendezi kusikia kuna Vijana wa kitanzania kwenye vikosi vya Magaidi huko Duniani
Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia
Rais amesema haipendezi kusikia kuna Vijana wa kitanzania kwenye vikosi vya Magaidi huko Duniani
Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia