Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 783
- 525
Nampongeza Chakwela kwa kufuta safari zote za nje hadi March 2024, wote walioko nje matembezi kurudi nyumbani, kupunguza matumizi ya Serikali pamoja na ma-allowance za wabunge na mawaziri ili kubalance uchumi wa Nchi yake. Mama Samia nakushauri na wewe uchukue uamuzi huo, safari za nje zina gharama kubwa na umaskini wetu hauwezi kwisha kwa kutembeza bakuli.