Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,164
- 22,742
Safari imeanzia kwenye Office za Mabasi ya Allys Star pale Shekhe Kilango. Tumetoka saa 11:40 kuelekea Mbezi Stand tukachukua Abiria na kuanza safari.
Gari nmejaribu kuangaza angaza ndani kumependeza. Wapo warembo wa kutosha na watu wengi nawaona wana bashasha.
Tumefika sehemu Morog kufukia dawa.na stand ya Morog tumefika saa 3 kamili Asub ( je ni sawa au dereva kaendesha taratibu sana nimshtaki kwa jamaa zangu ambao ni matraffic?)
Nmekaa na jamaa nlisahau kuweka order ya kuwekewa mrembo pembeni yangu. Hii wakati flani inabidi utoe na bakshishi ya tsh 5000 kwa mkataji ticket na umpe vigezo unavyotaka maana azawaizi unaweza kuta amekuwekea bibi mmoja anavuta ugoro mwanzo wa safari hadi mwisho na kupiga chafya.
Kuna bus jingine la Allys Star linatu overtake. Hii huwa ina kera. Dereva akiendelea hivi naweza waambia traffic kuwa anaendesha mwendo wa kinyonga.
Kati ya Higer na Golden Dragon ipi inakimbia sana?
Gari nmejaribu kuangaza angaza ndani kumependeza. Wapo warembo wa kutosha na watu wengi nawaona wana bashasha.
Tumefika sehemu Morog kufukia dawa.na stand ya Morog tumefika saa 3 kamili Asub ( je ni sawa au dereva kaendesha taratibu sana nimshtaki kwa jamaa zangu ambao ni matraffic?)
Nmekaa na jamaa nlisahau kuweka order ya kuwekewa mrembo pembeni yangu. Hii wakati flani inabidi utoe na bakshishi ya tsh 5000 kwa mkataji ticket na umpe vigezo unavyotaka maana azawaizi unaweza kuta amekuwekea bibi mmoja anavuta ugoro mwanzo wa safari hadi mwisho na kupiga chafya.
Kuna bus jingine la Allys Star linatu overtake. Hii huwa ina kera. Dereva akiendelea hivi naweza waambia traffic kuwa anaendesha mwendo wa kinyonga.
Kati ya Higer na Golden Dragon ipi inakimbia sana?
