Safari yangu kutembelea Mwanza jiji la miamba

Jul 6, 2023
23
28
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.

Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza rasmi safari ya wiki moja kutembelea jiji la Mwanza a.k.a The Rock City. Hii ilikuwa ni mara yangu ya pili kutembelea jiji hilo, ambapo takribani miaka miwili nyuma niliwahi kufika hapo na kukaa kwa siku mbili pekee, siku ambazo hazikuzaa matunda kwangu kwa kuwa sikuweza kufikia sehemu nyingi nilizotamani kutembelea wakati huo. Basi niliahidi kurudi tena Mwanza na sasa nimetimiza ndoto na ahadi yangu ya kutembelea kwa mapana jiji hilo.

Safari inaanzi Dar es salaam, jiji kubwa zaidi kiuchumi Tanzania na nitaishia Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na kiuchumi Tanzania. Kama kawaida yangu ni muhimu zaidi kwangu kujua ghalama zote nitakazo tumia njiani, malazi nitakapofika, nauli, tips, pesa za kulipia viingilio, dharura na kuchukua tahadhali zote muhimu ikiwa ni pamoja na kuandika mpango wangu wa safari na sehemu zote nitakazofikia ama kutembelea zikiwa tayari kwa njia ya maandishi katika diary yangu.

Nipo ndani ya standi kuu ya mabasi yanayoelekea mikoani na nchi jirani, bila shaka ni muhimu sana kuwahi kufika kituoni ili kuepusha presha za kuogopa kuachwa na gari uliyoabiri. Ni saa kumi na moja alfajiri na baadhi ya magari yanaanza kutoka hapa na gari yetu itaanza safari saa kumi na mbili kamili asubuhi, nikiwa abiria wa mwanzo kabisa kuingia katika gari (jina kapuni) nilipata wasaa kuzungumza na dereva na kutaka kujua mambo machache njiani na hususa kujua ni kiasi gani cha mafuta atatumia njiani kwa safari ya kwenda na kurudi Dar es salaam na ghalama yake pia. Bila shida alinipa ufafanuzi mzuri na kwa bahati nzuri kabisa gari yake haikupata kujaza mafuta usiku huo kwa sababu maarumu hivyo aliponiambia kuhusu ghalama na alinipa nafasi ya kushuhudia na kupiga picha screen ya pump wakati wakiweka mafuta njiani umbali kidogo tu kutoka Mbezi.

20230904_063640.jpg

(Picha ya idadi ya lita 310 na kiasi cha pesa laki tisa elfu hamsini na sita na miatatu hamsini 956350)

Na hiyo atapaswa kuongeza tena wakati akiwa anarudi Dar es salaam.

Safari iliendelea vizuri sana kwa mwendo mzuri na furaha kwa abiria wote. Tuliipita Morogoro, Dodoma mji mkuu wa Tanzania na binafsi nilipata changamoto kidogo pindi tu tulipoanza kuingia mkoa wa Singida na kusababisha kuamua kushukia njiani katika mkoa wa Shinyanga. Haikuwa changamoto ya kiafya , hapana!! Maana najua wengi wangeweza kuhisi hivyo😁 lakini kutokana na kutaka kuingiliana kwa majukumu yangu ilinisababisha kushukia njiani kwanza baada ya mawasiliano ya muda mrefu kugonga mwamba na mpango ukawa kushuka hapo na kutafuta usafiri kurejea Dar es salaam muda huo huo. Mungu sio Athumani, ombi langu la kupatiwa muda kidogo likapita na tayari nimeshashuka njiani🥶🥵 hii ni asala sasa!! Na sikuwa nimepanga kulala Shinyanga au eneo lingine lolote njiani.

Basi kwa kuwa muda ulikuwa umeshasogea sana niliamua kulala hapo Shy town na sikuwa na mambo mengi jioni hiyo zaidi ya kuchukua chumba na kujipumzisha mapema kwaajiri ya kuendelea na safari kesho yake asubuhi. Na ukumbuke kuwa mpango wangu wa kutembelea Mwanza kwa wiki moja ulikuwa tayari umeshaanza kuhesabu siku na kuongeza ghalama zaidi kwa kuwa siku nitakayo amkia Shinyanga ndio ilipaswa kuwa siku ya kwanza jijini Mwanza, hivyo ni kama timu iliyofungwa nyumbani sikuwa na cha kupoteza tena zaidi ya kuabiri Tata asubuhi na mapema kuitafuta ilipo Rock city🙂 safari wakati huu haikuwa ndefu sana tuliingia Mwanza katika standi kuu ya Nyegezi mapema tu. Nilianza kushangaa ukubwa na uzuri wa stendi hiyo kama kawaida yangu, na nilishukuru Mungu kwa kunifikisha salama na kunirudisha tena katika jiji hili la ndoto zangu nililohaidi kurudi tena miaka zaidi ya miwili iliyopita. Unajua ni jambo linaloleta hisia fulani hivi za ajabu kufika sehemu unayotamani sana kutembelea!! Hasa ukiwa peke yako na kutaka kugundua vitu ambavyo jamaa yako imeshindwa kugundua na kufikia!!? Ni hali nzuri na unatengeneza kumbukumbu za ajabu sana maishani mwako, ndio maana napenda kukuonyesha hapa kuwa unaweza kufikia jambo lolote unalolitamani ikiwa tu utachukua hatua na kuamini inawezekana.

Mfano mdogo kuna mwaka mmoja hivi siukumbuki vizuri nilibahatika kutazama filamu moja tena kwa bahati mbaya tu.
Filamu hiyo inaitwa A MILLION MAILS AWAY
filamu inayozungumzia historia ya kweli kabisa ya kijana mhamiaji akiwa na wazazi wake nchini Marekani. Akiwa anatokea katika familia maskini, wakiamia Marekani kama wafanyakazi na vibarua katika mashamba mbalimbali huku wakitumia muda mwingi kuhamahama kutafuta vibarua mashambani huko. Siku moja akiwa shambani anaonekana kushika mhindi mbichi, kisha ukiwa na maganda yake anauzungusha hewani na kutamani sana kufika nje ya uso wa Dunia siku moja. Kiukweli ni filamu nzuri sana na inayotia moyo na kutuonyesha kuwa hakuna jambo gumu duniani kama utaamua kuchukua HATUA.

Nisiwachoshe kuhusu filamu hii, namalizia kidogo sehemu ambayo ilinigusa sana na kama utaitazama najua itakugusa na kukuonyesha maajabu makuu ya Mungu.
Unajua ubaguzi wa Marekani kwa watu kutoka nje ya Marekani? Basi siku moja mwalimu wa shule aliyokuwa akisoma kijana yule alitembelea nyumbani kwa wazazi wa yule kijana na lengo kuu likiwa kujua ni kwanini watoto wa familia ile hawaendi shule mara nyingi!?

Baba wa kijana akiwa hajui kuzungumza kiingereza anamwambia mwalimu huyo kuwa " wao ni maskini na ili kuweza kuishi marrkani inawapasa wao na watoto wao wafanye kazi mashambani ili wamudu ghalama za maisha" mtoto anamtafsiria mwalimu na mwalimu anachoka na kuamua kuondoka, kisha anaonekana yule kijana wa miaka kama mitano hivi akimfuata mwalimu huyo na kumpatia karatasi yenye picha ya mhindi na nyota nyingi mfano wa nje ya Dunia (space) kisha mtoto anasema ndoto yake ni kuwa mwana anga mkubwa na kutembelea nje ya Dunia. Kwa sura ya huzuni mwalimu anapokea ile karatasai na kumwambia hivi yule kijana.

"YOU ARE FORCING NATURE, NOTHING WILL STOP YOU. REMEMBER THAT!!"

"UNALAZIMISHA ASILI, HAKUNA KITAKACHOKUZUIA, KUMBUKA HILO!!"

Kisha mwalimu anaondoka zake na anarudi na karatasi ile miaka arobaini baadae jamaa akiwa engineer mkubwa wa NASA na mwana anga anaejiandaa kwenda angani.

.......Basi nikaomba kupata picha ya kumbukumbu kwenye stendi hiyo na kwa msaada wa mkatisha tiketi nikafanikiwa kupiga picha hii ya kwanza jijini Mwanza

20230901_141653-01.jpeg


(Subili kupata mwendelezo wa safari hii hapa hapa. Ntarejea tena hapa)
 
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.
Huwa unawezaje kuandika maelezo yote hayo?

Kwa sisi Wataalamu wa IT hapo hujaficha kitu tunaweza kukutambulisha Kwa wanajukwaa tukiona inafaa.

Safari njema.
 
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.

Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza rasmi safari ya wiki moja kutembelea jiji la Mwanza a.k.a The
Sawa mkuu, karibu Dodoma.
 
Huwa unawezaje kuandika maelezo yote hayo?

Kwa sisi Wataalamu wa IT hapo hujaficha kitu tunaweza kukutambulisha Kwa wanajukwaa tukiona inafaa.

Safari njema.
Usihangaike sana. Utambulisho wangu upo wazi kabisa hapa. Ni kama member wengine wanaotumia utambulisho wao halisi na ndivyo na mimi ilivyo hapa. " kila kitu kipo wazi, karibu sana😇"
 
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.

Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza rasmi safari ya wiki moja kutembelea jiji la Mwanza a.k.a The Rock City. Hii ilikuwa ni mara yangu ya pili kutembelea jiji hilo, ambapo takribani miaka miwili nyuma niliwahi kufika hapo na kukaa kwa siku mbili pekee, siku ambazo hazikuzaa matunda kwangu kwa kuwa sikuweza kufikia sehemu nyingi nilizotamani kutembelea wakati huo. Basi niliahidi kurudi tena Mwanza na sasa nimetimiza ndoto na ahadi yangu ya kutembelea kwa mapana jiji hilo.

Safari inaanzi Dar es salaam, jiji kubwa zaidi kiuchumi Tanzania na nitaishia Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na kiuchumi Tanzania. Kama kawaida yangu ni muhimu zaidi kwangu kujua ghalama zote nitakazo tumia njiani, malazi nitakapofika, nauli, tips, pesa za kulipia viingilio, dharura na kuchukua tahadhali zote muhimu ikiwa ni pamoja na kuandika mpango wangu wa safari na sehemu zote nitakazofikia ama kutembelea zikiwa tayari kwa njia ya maandishi katika diary yangu.

Nipo ndani ya standi kuu ya mabasi yanayoelekea mikoani na nchi jirani, bila shaka ni muhimu sana kuwahi kufika kituoni ili kuepusha presha za kuogopa kuachwa na gari uliyoabiri. Ni saa kumi na moja alfajiri na baadhi ya magari yanaanza kutoka hapa na gari yetu itaanza safari saa kumi na mbili kamili asubuhi, nikiwa abiria wa mwanzo kabisa kuingia katika gari (jina kapuni) nilipata wasaa kuzungumza na dereva na kutaka kujua mambo machache njiani na hususa kujua ni kiasi gani cha mafuta atatumia njiani kwa safari ya kwenda na kurudi Dar es salaam na ghalama yake pia. Bila shida alinipa ufafanuzi mzuri na kwa bahati nzuri kabisa gari yake haikupata kujaza mafuta usiku huo kwa sababu maarumu hivyo aliponiambia kuhusu ghalama na alinipa nafasi ya kushuhudia na kupiga picha screen ya pump wakati wakiweka mafuta njiani umbali kidogo tu kutoka Mbezi.

View attachment 2777458
(Picha ya idadi ya lita 310 na kiasi cha pesa laki tisa elfu hamsini na sita na miatatu hamsini 956350)

Na hiyo atapaswa kuongeza tena wakati akiwa anarudi Dar es salaam.

Safari iliendelea vizuri sana kwa mwendo mzuri na furaha kwa abiria wote. Tuliipita Morogoro, Dodoma mji mkuu wa Tanzania na binafsi nilipata changamoto kidogo pindi tu tulipoanza kuingia mkoa wa Singida na kusababisha kuamua kushukia njiani katika mkoa wa Shinyanga. Haikuwa changamoto ya kiafya , hapana!! Maana najua wengi wangeweza kuhisi hivyo lakini kutokana na kutaka kuingiliana kwa majukumu yangu ilinisababisha kushukia njiani kwanza baada ya mawasiliano ya muda mrefu kugonga mwamba na mpango ukawa kushuka hapo na kutafuta usafiri kurejea Dar es salaam muda huo huo. Mungu sio Athumani, ombi langu la kupatiwa muda kidogo likapita na tayari nimeshashuka njiani hii ni asala sasa!! Na sikuwa nimepanga kulala Shinyanga au eneo lingine lolote njiani.

Basi kwa kuwa muda ulikuwa umeshasogea sana niliamua kulala hapo Shy town na sikuwa na mambo mengi jioni hiyo zaidi ya kuchukua chumba na kujipumzisha mapema kwaajiri ya kuendelea na safari kesho yake asubuhi. Na ukumbuke kuwa mpango wangu wa kutembelea Mwanza kwa wiki moja ulikuwa tayari umeshaanza kuhesabu siku na kuongeza ghalama zaidi kwa kuwa siku nitakayo amkia Shinyanga ndio ilipaswa kuwa siku ya kwanza jijini Mwanza, hivyo ni kama timu iliyofungwa nyumbani sikuwa na cha kupoteza tena zaidi ya kuabiri Tata asubuhi na mapema kuitafuta ilipo Rock city safari wakati huu haikuwa ndefu sana tuliingia Mwanza katika standi kuu ya Nyegezi mapema tu. Nilianza kushangaa ukubwa na uzuri wa stendi hiyo kama kawaida yangu, na nilishukuru Mungu kwa kunifikisha salama na kunirudisha tena katika jiji hili la ndoto zangu nililohaidi kurudi tena miaka zaidi ya miwili iliyopita. Unajua ni jambo linaloleta hisia fulani hivi za ajabu kufika sehemu unayotamani sana kutembelea!! Hasa ukiwa peke yako na kutaka kugundua vitu ambavyo jamaa yako imeshindwa kugundua na kufikia!!? Ni hali nzuri na unatengeneza kumbukumbu za ajabu sana maishani mwako, ndio maana napenda kukuonyesha hapa kuwa unaweza kufikia jambo lolote unalolitamani ikiwa tu utachukua hatua na kuamini inawezekana.

Mfano mdogo kuna mwaka mmoja hivi siukumbuki vizuri nilibahatika kutazama filamu moja tena kwa bahati mbaya tu.
Filamu hiyo inaitwa A MILLION MAILS AWAY
filamu inayozungumzia historia ya kweli kabisa ya kijana mhamiaji akiwa na wazazi wake nchini Marekani. Akiwa anatokea katika familia maskini, wakiamia Marekani kama wafanyakazi na vibarua katika mashamba mbalimbali huku wakitumia muda mwingi kuhamahama kutafuta vibarua mashambani huko. Siku moja akiwa shambani anaonekana kushika mhindi mbichi, kisha ukiwa na maganda yake anauzungusha hewani na kutamani sana kufika nje ya uso wa Dunia siku moja. Kiukweli ni filamu nzuri sana na inayotia moyo na kutuonyesha kuwa hakuna jambo gumu duniani kama utaamua kuchukua HATUA.

Nisiwachoshe kuhusu filamu hii, namalizia kidogo sehemu ambayo ilinigusa sana na kama utaitazama najua itakugusa na kukuonyesha maajabu makuu ya Mungu.
Unajua ubaguzi wa Marekani kwa watu kutoka nje ya Marekani? Basi siku moja mwalimu wa shule aliyokuwa akisoma kijana yule alitembelea nyumbani kwa wazazi wa yule kijana na lengo kuu likiwa kujua ni kwanini watoto wa familia ile hawaendi shule mara nyingi!?

Baba wa kijana akiwa hajui kuzungumza kiingereza anamwambia mwalimu huyo kuwa " wao ni maskini na ili kuweza kuishi marrkani inawapasa wao na watoto wao wafanye kazi mashambani ili wamudu ghalama za maisha" mtoto anamtafsiria mwalimu na mwalimu anachoka na kuamua kuondoka, kisha anaonekana yule kijana wa miaka kama mitano hivi akimfuata mwalimu huyo na kumpatia karatasi yenye picha ya mhindi na nyota nyingi mfano wa nje ya Dunia (space) kisha mtoto anasema ndoto yake ni kuwa mwana anga mkubwa na kutembelea nje ya Dunia. Kwa sura ya huzuni mwalimu anapokea ile karatasai na kumwambia hivi yule kijana.

"YOU ARE FORCING NATURE, NOTHING WILL STOP YOU. REMEMBER THAT!!"

"UNALAZIMISHA ASILI, HAKUNA KITAKACHOKUZUIA, KUMBUKA HILO!!"

Kisha mwalimu anaondoka zake na anarudi na karatasi ile miaka arobaini baadae jamaa akiwa engineer mkubwa wa NASA na mwana anga anaejiandaa kwenda angani.

.......Basi nikaomba kupata picha ya kumbukumbu kwenye stendi hiyo na kwa msaada wa mkatisha tiketi nikafanikiwa kupiga picha hii ya kwanza jijini Mwanza

View attachment 2777533

(Subili kupata mwendelezo wa safari hii hapa hapa. Ntarejea tena hapa)

Ulitoroka kazini hukuaga ama uliondoka kabla ruhusa yako haijakubaliwa.
 
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.

Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza rasmi safari ya wiki moja kutembelea jiji la Mwanza a.k.a The Rock City. Hii ilikuwa ni mara yangu ya pili kutembelea jiji hilo, ambapo takribani miaka miwili nyuma niliwahi kufika hapo na kukaa kwa siku mbili pekee, siku ambazo hazikuzaa matunda kwangu kwa kuwa sikuweza kufikia sehemu nyingi nilizotamani kutembelea wakati huo. Basi niliahidi kurudi tena Mwanza na sasa nimetimiza ndoto na ahadi yangu ya kutembelea kwa mapana jiji hilo.

Safari inaanzi Dar es salaam, jiji kubwa zaidi kiuchumi Tanzania na nitaishia Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na kiuchumi Tanzania. Kama kawaida yangu ni muhimu zaidi kwangu kujua ghalama zote nitakazo tumia njiani, malazi nitakapofika, nauli, tips, pesa za kulipia viingilio, dharura na kuchukua tahadhali zote muhimu ikiwa ni pamoja na kuandika mpango wangu wa safari na sehemu zote nitakazofikia ama kutembelea zikiwa tayari kwa njia ya maandishi katika diary yangu.

Nipo ndani ya standi kuu ya mabasi yanayoelekea mikoani na nchi jirani, bila shaka ni muhimu sana kuwahi kufika kituoni ili kuepusha presha za kuogopa kuachwa na gari uliyoabiri. Ni saa kumi na moja alfajiri na baadhi ya magari yanaanza kutoka hapa na gari yetu itaanza safari saa kumi na mbili kamili asubuhi, nikiwa abiria wa mwanzo kabisa kuingia katika gari (jina kapuni) nilipata wasaa kuzungumza na dereva na kutaka kujua mambo machache njiani na hususa kujua ni kiasi gani cha mafuta atatumia njiani kwa safari ya kwenda na kurudi Dar es salaam na ghalama yake pia. Bila shida alinipa ufafanuzi mzuri na kwa bahati nzuri kabisa gari yake haikupata kujaza mafuta usiku huo kwa sababu maarumu hivyo aliponiambia kuhusu ghalama na alinipa nafasi ya kushuhudia na kupiga picha screen ya pump wakati wakiweka mafuta njiani umbali kidogo tu kutoka Mbezi.

View attachment 2777458
(Picha ya idadi ya lita 310 na kiasi cha pesa laki tisa elfu hamsini na sita na miatatu hamsini 956350)

Na hiyo atapaswa kuongeza tena wakati akiwa anarudi Dar es salaam.

Safari iliendelea vizuri sana kwa mwendo mzuri na furaha kwa abiria wote. Tuliipita Morogoro, Dodoma mji mkuu wa Tanzania na binafsi nilipata changamoto kidogo pindi tu tulipoanza kuingia mkoa wa Singida na kusababisha kuamua kushukia njiani katika mkoa wa Shinyanga. Haikuwa changamoto ya kiafya , hapana!! Maana najua wengi wangeweza kuhisi hivyo lakini kutokana na kutaka kuingiliana kwa majukumu yangu ilinisababisha kushukia njiani kwanza baada ya mawasiliano ya muda mrefu kugonga mwamba na mpango ukawa kushuka hapo na kutafuta usafiri kurejea Dar es salaam muda huo huo. Mungu sio Athumani, ombi langu la kupatiwa muda kidogo likapita na tayari nimeshashuka njiani hii ni asala sasa!! Na sikuwa nimepanga kulala Shinyanga au eneo lingine lolote njiani.

Basi kwa kuwa muda ulikuwa umeshasogea sana niliamua kulala hapo Shy town na sikuwa na mambo mengi jioni hiyo zaidi ya kuchukua chumba na kujipumzisha mapema kwaajiri ya kuendelea na safari kesho yake asubuhi. Na ukumbuke kuwa mpango wangu wa kutembelea Mwanza kwa wiki moja ulikuwa tayari umeshaanza kuhesabu siku na kuongeza ghalama zaidi kwa kuwa siku nitakayo amkia Shinyanga ndio ilipaswa kuwa siku ya kwanza jijini Mwanza, hivyo ni kama timu iliyofungwa nyumbani sikuwa na cha kupoteza tena zaidi ya kuabiri Tata asubuhi na mapema kuitafuta ilipo Rock city safari wakati huu haikuwa ndefu sana tuliingia Mwanza katika standi kuu ya Nyegezi mapema tu. Nilianza kushangaa ukubwa na uzuri wa stendi hiyo kama kawaida yangu, na nilishukuru Mungu kwa kunifikisha salama na kunirudisha tena katika jiji hili la ndoto zangu nililohaidi kurudi tena miaka zaidi ya miwili iliyopita. Unajua ni jambo linaloleta hisia fulani hivi za ajabu kufika sehemu unayotamani sana kutembelea!! Hasa ukiwa peke yako na kutaka kugundua vitu ambavyo jamaa yako imeshindwa kugundua na kufikia!!? Ni hali nzuri na unatengeneza kumbukumbu za ajabu sana maishani mwako, ndio maana napenda kukuonyesha hapa kuwa unaweza kufikia jambo lolote unalolitamani ikiwa tu utachukua hatua na kuamini inawezekana.

Mfano mdogo kuna mwaka mmoja hivi siukumbuki vizuri nilibahatika kutazama filamu moja tena kwa bahati mbaya tu.
Filamu hiyo inaitwa A MILLION MAILS AWAY
filamu inayozungumzia historia ya kweli kabisa ya kijana mhamiaji akiwa na wazazi wake nchini Marekani. Akiwa anatokea katika familia maskini, wakiamia Marekani kama wafanyakazi na vibarua katika mashamba mbalimbali huku wakitumia muda mwingi kuhamahama kutafuta vibarua mashambani huko. Siku moja akiwa shambani anaonekana kushika mhindi mbichi, kisha ukiwa na maganda yake anauzungusha hewani na kutamani sana kufika nje ya uso wa Dunia siku moja. Kiukweli ni filamu nzuri sana na inayotia moyo na kutuonyesha kuwa hakuna jambo gumu duniani kama utaamua kuchukua HATUA.

Nisiwachoshe kuhusu filamu hii, namalizia kidogo sehemu ambayo ilinigusa sana na kama utaitazama najua itakugusa na kukuonyesha maajabu makuu ya Mungu.
Unajua ubaguzi wa Marekani kwa watu kutoka nje ya Marekani? Basi siku moja mwalimu wa shule aliyokuwa akisoma kijana yule alitembelea nyumbani kwa wazazi wa yule kijana na lengo kuu likiwa kujua ni kwanini watoto wa familia ile hawaendi shule mara nyingi!?

Baba wa kijana akiwa hajui kuzungumza kiingereza anamwambia mwalimu huyo kuwa " wao ni maskini na ili kuweza kuishi marrkani inawapasa wao na watoto wao wafanye kazi mashambani ili wamudu ghalama za maisha" mtoto anamtafsiria mwalimu na mwalimu anachoka na kuamua kuondoka, kisha anaonekana yule kijana wa miaka kama mitano hivi akimfuata mwalimu huyo na kumpatia karatasi yenye picha ya mhindi na nyota nyingi mfano wa nje ya Dunia (space) kisha mtoto anasema ndoto yake ni kuwa mwana anga mkubwa na kutembelea nje ya Dunia. Kwa sura ya huzuni mwalimu anapokea ile karatasai na kumwambia hivi yule kijana.

"YOU ARE FORCING NATURE, NOTHING WILL STOP YOU. REMEMBER THAT!!"

"UNALAZIMISHA ASILI, HAKUNA KITAKACHOKUZUIA, KUMBUKA HILO!!"

Kisha mwalimu anaondoka zake na anarudi na karatasi ile miaka arobaini baadae jamaa akiwa engineer mkubwa wa NASA na mwana anga anaejiandaa kwenda angani.

.......Basi nikaomba kupata picha ya kumbukumbu kwenye stendi hiyo na kwa msaada wa mkatisha tiketi nikafanikiwa kupiga picha hii ya kwanza jijini Mwanza

View attachment 2777533

(Subili kupata mwendelezo wa safari hii hapa hapa. Ntarejea tena hapa)
Wasalimie Mwanza jiji la watu wasiopenda sifa.
 
Katika mpango wangu wa kuwahamasisha watanzania kutembelea vivutio mbalimbali ndani ya nchi yetu, kutembelea mikoa na maeneo ya kihistoria niliamua pia kujaribu kufikia sehemu hizo kama mfano kwa watu wachache wanaofikiwa na ujumbe huu.

Habari!! Mwishoni mwa mwezi wa nane tarehe 28 nilianza rasmi safari ya wiki moja kutembelea jiji la Mwanza a.k.a The Rock City. Hii ilikuwa ni mara yangu ya pili kutembelea jiji hilo, ambapo takribani miaka miwili nyuma niliwahi kufika hapo na kukaa kwa siku mbili pekee, siku ambazo hazikuzaa matunda kwangu kwa kuwa sikuweza kufikia sehemu nyingi nilizotamani kutembelea wakati huo. Basi niliahidi kurudi tena Mwanza na sasa nimetimiza ndoto na ahadi yangu ya kutembelea kwa mapana jiji hilo.

Safari inaanzi Dar es salaam, jiji kubwa zaidi kiuchumi Tanzania na nitaishia Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na kiuchumi Tanzania. Kama kawaida yangu ni muhimu zaidi kwangu kujua ghalama zote nitakazo tumia njiani, malazi nitakapofika, nauli, tips, pesa za kulipia viingilio, dharura na kuchukua tahadhali zote muhimu ikiwa ni pamoja na kuandika mpango wangu wa safari na sehemu zote nitakazofikia ama kutembelea zikiwa tayari kwa njia ya maandishi katika diary yangu.

Nipo ndani ya standi kuu ya mabasi yanayoelekea mikoani na nchi jirani, bila shaka ni muhimu sana kuwahi kufika kituoni ili kuepusha presha za kuogopa kuachwa na gari uliyoabiri. Ni saa kumi na moja alfajiri na baadhi ya magari yanaanza kutoka hapa na gari yetu itaanza safari saa kumi na mbili kamili asubuhi, nikiwa abiria wa mwanzo kabisa kuingia katika gari (jina kapuni) nilipata wasaa kuzungumza na dereva na kutaka kujua mambo machache njiani na hususa kujua ni kiasi gani cha mafuta atatumia njiani kwa safari ya kwenda na kurudi Dar es salaam na ghalama yake pia. Bila shida alinipa ufafanuzi mzuri na kwa bahati nzuri kabisa gari yake haikupata kujaza mafuta usiku huo kwa sababu maarumu hivyo aliponiambia kuhusu ghalama na alinipa nafasi ya kushuhudia na kupiga picha screen ya pump wakati wakiweka mafuta njiani umbali kidogo tu kutoka Mbezi.

View attachment 2777458
(Picha ya idadi ya lita 310 na kiasi cha pesa laki tisa elfu hamsini na sita na miatatu hamsini 956350)

Na hiyo atapaswa kuongeza tena wakati akiwa anarudi Dar es salaam.

Safari iliendelea vizuri sana kwa mwendo mzuri na furaha kwa abiria wote. Tuliipita Morogoro, Dodoma mji mkuu wa Tanzania na binafsi nilipata changamoto kidogo pindi tu tulipoanza kuingia mkoa wa Singida na kusababisha kuamua kushukia njiani katika mkoa wa Shinyanga. Haikuwa changamoto ya kiafya , hapana!! Maana najua wengi wangeweza kuhisi hivyo lakini kutokana na kutaka kuingiliana kwa majukumu yangu ilinisababisha kushukia njiani kwanza baada ya mawasiliano ya muda mrefu kugonga mwamba na mpango ukawa kushuka hapo na kutafuta usafiri kurejea Dar es salaam muda huo huo. Mungu sio Athumani, ombi langu la kupatiwa muda kidogo likapita na tayari nimeshashuka njiani hii ni asala sasa!! Na sikuwa nimepanga kulala Shinyanga au eneo lingine lolote njiani.

Basi kwa kuwa muda ulikuwa umeshasogea sana niliamua kulala hapo Shy town na sikuwa na mambo mengi jioni hiyo zaidi ya kuchukua chumba na kujipumzisha mapema kwaajiri ya kuendelea na safari kesho yake asubuhi. Na ukumbuke kuwa mpango wangu wa kutembelea Mwanza kwa wiki moja ulikuwa tayari umeshaanza kuhesabu siku na kuongeza ghalama zaidi kwa kuwa siku nitakayo amkia Shinyanga ndio ilipaswa kuwa siku ya kwanza jijini Mwanza, hivyo ni kama timu iliyofungwa nyumbani sikuwa na cha kupoteza tena zaidi ya kuabiri Tata asubuhi na mapema kuitafuta ilipo Rock city safari wakati huu haikuwa ndefu sana tuliingia Mwanza katika standi kuu ya Nyegezi mapema tu. Nilianza kushangaa ukubwa na uzuri wa stendi hiyo kama kawaida yangu, na nilishukuru Mungu kwa kunifikisha salama na kunirudisha tena katika jiji hili la ndoto zangu nililohaidi kurudi tena miaka zaidi ya miwili iliyopita. Unajua ni jambo linaloleta hisia fulani hivi za ajabu kufika sehemu unayotamani sana kutembelea!! Hasa ukiwa peke yako na kutaka kugundua vitu ambavyo jamaa yako imeshindwa kugundua na kufikia!!? Ni hali nzuri na unatengeneza kumbukumbu za ajabu sana maishani mwako, ndio maana napenda kukuonyesha hapa kuwa unaweza kufikia jambo lolote unalolitamani ikiwa tu utachukua hatua na kuamini inawezekana.

Mfano mdogo kuna mwaka mmoja hivi siukumbuki vizuri nilibahatika kutazama filamu moja tena kwa bahati mbaya tu.
Filamu hiyo inaitwa A MILLION MAILS AWAY
filamu inayozungumzia historia ya kweli kabisa ya kijana mhamiaji akiwa na wazazi wake nchini Marekani. Akiwa anatokea katika familia maskini, wakiamia Marekani kama wafanyakazi na vibarua katika mashamba mbalimbali huku wakitumia muda mwingi kuhamahama kutafuta vibarua mashambani huko. Siku moja akiwa shambani anaonekana kushika mhindi mbichi, kisha ukiwa na maganda yake anauzungusha hewani na kutamani sana kufika nje ya uso wa Dunia siku moja. Kiukweli ni filamu nzuri sana na inayotia moyo na kutuonyesha kuwa hakuna jambo gumu duniani kama utaamua kuchukua HATUA.

Nisiwachoshe kuhusu filamu hii, namalizia kidogo sehemu ambayo ilinigusa sana na kama utaitazama najua itakugusa na kukuonyesha maajabu makuu ya Mungu.
Unajua ubaguzi wa Marekani kwa watu kutoka nje ya Marekani? Basi siku moja mwalimu wa shule aliyokuwa akisoma kijana yule alitembelea nyumbani kwa wazazi wa yule kijana na lengo kuu likiwa kujua ni kwanini watoto wa familia ile hawaendi shule mara nyingi!?

Baba wa kijana akiwa hajui kuzungumza kiingereza anamwambia mwalimu huyo kuwa " wao ni maskini na ili kuweza kuishi marrkani inawapasa wao na watoto wao wafanye kazi mashambani ili wamudu ghalama za maisha" mtoto anamtafsiria mwalimu na mwalimu anachoka na kuamua kuondoka, kisha anaonekana yule kijana wa miaka kama mitano hivi akimfuata mwalimu huyo na kumpatia karatasi yenye picha ya mhindi na nyota nyingi mfano wa nje ya Dunia (space) kisha mtoto anasema ndoto yake ni kuwa mwana anga mkubwa na kutembelea nje ya Dunia. Kwa sura ya huzuni mwalimu anapokea ile karatasai na kumwambia hivi yule kijana.

"YOU ARE FORCING NATURE, NOTHING WILL STOP YOU. REMEMBER THAT!!"

"UNALAZIMISHA ASILI, HAKUNA KITAKACHOKUZUIA, KUMBUKA HILO!!"

Kisha mwalimu anaondoka zake na anarudi na karatasi ile miaka arobaini baadae jamaa akiwa engineer mkubwa wa NASA na mwana anga anaejiandaa kwenda angani.

.......Basi nikaomba kupata picha ya kumbukumbu kwenye stendi hiyo na kwa msaada wa mkatisha tiketi nikafanikiwa kupiga picha hii ya kwanza jijini Mwanza

View attachment 2777533

(Subili kupata mwendelezo wa safari hii hapa hapa. Ntarejea tena hapa)
Tunasubiri muendelezo
 
Habari. Nimepata wasaa sasa wa kuendelea pale nilipoishia mwanzo. Kumbuka kuwa habari hii ni simulizi za kweli kwa asilimia 100% hivyo unaposoma hapa jua kwamba unasafiri pamoja na mimi katika kila njia ya kweli niliyopitia. Ahsante na karibu sana hapa😊

Tunaendelea.... Baada ya kufika katika jiji la Mwanza, nikiwa katika standi ya mabasi ya Nyegezi nilipiga picha mbili tatu za kumbukumbu na kisha kutoka nje na kutafuta sehemu kwaajiri ya malazi. Hiyo haikuwa shida sana kwani kwa msaada wa dereva bodaboda niliweza kufanikisha hilo.

Mwendo wa takribani dakika mbili tu tulikuwa tayari mbele ya lodge moja iliopo karibu kabisa na standi hiyo. Nililipia nauli ya bodaboda na kisha kufanya malipo ya siku tano nitakazokaa hapo. Baada ya malipo yangu bodaboda alipewa tena pesa yake ya kupeleka mteja hapo na kuniacha eneo hilo.

Sikuwa na muda wa kupoteza tena hapo, kwani niliifadhi begi langu ndani ya chumba na safari kuelekea Bujora culture Centre ikaanza. Unajua nilikuwa na siku chache jijini Mwanza na katika siku hizo chache nilitamani nitembelee maeneo mengi hata kumzidi mtu mzaliwa wa mkoa huo😄😁.

Kwa kuwa muda ulikuwa umeshasogea sana niliamua kukodi pikipiki hadi Bujora culture Centre. Nilihofia kuchelewa kufika hapo kutokana na umbali kati ya nilipofikia na eneo hilo na pia jioni ilishaanza kuingia.
Kwa ghalama ya 8000 tu niliweza kufika kwa wakati na bila kupata usumbufu njiani.

Naagana na bodaboda, kisha moja kwa moja naelekea eneo la mapokezi na nakutana na mkuu wa makumbusho hayo yenye historia ya kanisa na utamaduni wa wasukuma kwa pamoja. Baada ya maelezo kidogo, kujiandikisha na kulipia kiingilio cha shilingi 3000 nakaa nasubili utaratibu.

Msimamizi mkuu wa makumbusho anamwita kijana mmoja mweupe na mrefu kunizidi mimi, mcheshi na anaependa kazi yake, na moja kwa moja anamtambulisha kwangu nikiwa kama mgeni na kijana huyo atakuwa mwongozaji wangu katika kuzunguka eneo hilo na kunipa maelezo yote

Binafsi napendezwa sana na eneo hilo, eneo kubwa, zuri na lililopangiliwa vizuri. Pia siku hii ilikuwa nzuri sana kwani kulikuwa nq makundi mengi ya wanafunzi yaliyotembelea hapo na kufanya eneo kuwa bize sana na msongamano wa watu wengi hivyo kufanya eneo kuchangamka sana.

Basi baada ya kama saa moja hivi ya maelezo mazuri kutoka kwa muongozaji wangu hapa, nilitoa tip kidogo na tukapata picha ya pamoja kwaajiri ya kumbukumbu zangu. Na binafsi nilipendezwa sana na uwasilishaji wake wa taarifa kwa mgeni, ambapo unaweza kutamani kubaki hapo😁

20230901_173352-01.jpeg

(Pichani nikiwa pamoja na kijana muongoza wageni katika Sukuma museum Bujora)

Unajua lengo langu kuu ni kuwahamasisha watanzani kufanya utalii wa ndani, kutembelea mikoa wanayoitamani na pia kukutana na watu wengi nje ya maeneo yao waliyoyazoea na mwisho kuwafanya wawe na uelewa mkubwa kuhusu nchi yao na tamaduni mbalimbali zinazopatikana hapa.

Basi baada ya kumaliza kufanya utalii wa ndani katika makumbusho hayo niliamua kuelekea moja kwa moja mjini kati kabisa. Hapa nilitaka kupata kuona tu ni kwa namna gani katikati ya jiji la Mwanza kunavyoonekana hasa kwa nyakati za usiku. Hii ni aina nzuri ya kutalii katika eneo geni😀

Aisee nilishangazwa na kukuta maduka makubwa huko, hongera Vunja bei, mji unamwonekano mzuri sana nyakati za usiku, japo barabara ni finyu lakini walau nilipotea potea na kwa msaada wa Google map 🤣 nilipata upya mwelekeo wa niendako. Watu ni wapambanaji sana huko.

Kwa ufupi nilipata kuzunguka eneo baada ya eneo hapo katikati ya jiji na kwa kuwa ilikuwa usiku sasa niliacha nimepata walau kumbukumbu ya location nilizopita. Ni mitaa mingi ilinivutia hapa, kwa kweli ilinivutia sana na hii ndio maana mji huu umekuwa kivutio kwangu.

Screenshot_20230901_153447_WhatsApp.jpg

( moja ya kumbukumbu zangu kutoka Google)

Sasa muda ulishasogea sana na kichwani niliwaza kufanya hitimisho kwa kufanya utafiti wa aina ya vyakula wanavyopendelea zaidi wenyeji wa hapa. Hii ni aina yangu ya utalii ninayoipenda pia, nataka ninywe na nile kile wenyeji wanakipendelea sana. Basi nikasogea sehemu moja hivi na katika kuuliza uliza nikasikia habari za (FULU) Kama sijakosea ni hao dagaa wanaoitwa Fulu, maziwa ya mtindi, mbogamboga na Ugali.

Nilipenda chakula hicho, maana vingine vyote vinapatikana Dar es salaam na maeneo mengi ya nchi. Aisee hao Fulu ni wachungu chungu hivi, sikuwaelewa kabisa, mtindi ulikuwa sawa na Ugali sio mbaya sana. Lakini ki ukweli kuhusu swala la mapishi watu wa Mwanza nawatunzia siri😀😄

Baada ya hapo, nilirudi kwenye Lodge niliyofikia na kisha kupumzika kwaajiri ya mizunguko mingine mingi ya siku ya pili yake hapo jijini Mwanza, ambapo hadi muda huo nilikuwa tayari nimeshafika Bujora makumbusho, nimeshatembelea jiji nyakati za usiku na nimesha kula FULU😄😁

....Itaendelea hapa...
 

Attachments

  • 20230901_172544-01.jpeg
    20230901_172544-01.jpeg
    1 MB · Views: 15

Similar Discussions

Back
Top Bottom