Kuna sehemu hapo karibu kabisa na Jimbo la sabufa, panaitwa Chalinze ndogo mita chache kabla kufika Dodoma. Pana chomwa nyama ya mbuzi. Vipi dereva alikua muungwana akasimamisha hapo ukala utumbo wa mbuzi wa kuchoma?
Otherwise lunch mlikula wapi?
Otherwise lunch mlikula wapi?