Safari yangu ya Mwanza

Safari yangu ya Mwanza

Natafuta mtu atakaesafiri kutoka dar kuja mwanza aje na vyombo vyangu vya ndani. Nipo mwanza

Ofa yangu kwake 20,000
 
Natafuta mtu atakaesafiri kutoka dar kuja mwanza aje na vyombo vyangu vya ndani. Nipo mwanza

Ofa yangu kwake 20,000
Mm npo hapa mbezi stand unaonaje uvilete hapa ili nivitume huko mwanza kupitia basi?? Hapa kuna basi la Tungis,Frester,Allystar,Najmunisa,Happynation,Kureedhunters,. afu hyo 20k unilipe mm kama processing fee.
 
Mm npo hapa mbezi stand unaonaje uvilete hapa ili nivitume huko mwanza kupitia basi?? Hapa kuna basi la Tungis,Frester,Allystar,Najmunisa,Happynation,Kureedhunters,. afu hyo 20k unilipe mm kama processing fee.
Asante sana kwa msaada wako
nahitaji mtu atakaekuja navyo kama mzigo wake ili ipunguze gharama za usafiri kwake na kwangu.
 
Natafuta mtu atakaesafiri kutoka dar kuja mwanza aje na vyombo vyangu vya ndani. Nipo mwanza

Ofa yangu kwake 20,000
Angalia bus inayofika karibu na wewe ulipo.

Kwa mfano.

Tungi's inafika hadi Igoma
via Nyegezi,Nata,Buzuruga

Waliobaki wengi huishia Nata.
 
Angalia bus inayofika karibu na wewe ulipo.

Kwa mfano.

Tungi's inafika hadi Igoma
via Nyegezi,Nata,Buzuruga

Waliobaki wengi huishia Nata.
Asante sana kwa msaada kaka!!
Umenipa hint muhimu sana.

Nina mtungi mdogo wa oryx ambao una gesi ndani yake.

Je inawezekana kuusafirisha kwa basi?
 
Mm npo hapa mbezi stand unaonaje uvilete hapa ili nivitume huko mwanza kupitia basi?? Hapa kuna basi la Tungis,Frester,Allystar,Najmunisa,Happynation,Kureedhunters,. afu hyo 20k unilipe mm kama processing fee.
Wao watamsafirishia bure?
 
Hili soko lilikuwa zuri ila wamelichafua kwa kulipa jina la hovyo.
 
Yaanii we jamaaa ni mshamba sanaa asee,afu hujielewi bado...
Kakalie kitu. Mambo ya ngoswe achana nayo. Wajanja huwa wakiona issue haiwahhsu wanalala mbele. Hawasimami...sasa wewe bwege mshaMba unasimama kushangaa.... Unashadadia maisha ya watu...nyie ndo huwa mnaolewa ukoo mzima na mwanaume mmoja...sababu ya kujipendekeza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom