Safari ya kwanza ya Rais Samia Ulaya ni vizuri iwe Ujerumani

Binafsi nimeshaanza kuuona mwanga kupitia mboni za macho ya Rais Mama Samia. Ninamuona Rais Samia akizifuata nyao za Angel Makel wa Ujerumani.

Kama Rais mwanamke ni vizuri covid 19 ikipungua aombe kwenda kumtembelea chancellor wa Ujerumani Mama Angel Makel kwa uzoefu na pengine kubadilishana mawazo juu na namna ya kukabikiana na changamoto za kiongozi mkuu mwanamke na ikibidi apate uungwaji mkono na Ujerumani katika kutatua changamoto za watanzania.

Kama mwanamke mwenzake ni heshima sana kama ziara yake hata kama ikiwa moja ya ulaya iwe Ujerumani na ya pili Marekani akakutane na makamu wa Rais wa Marekani kwasababu hizohizo za viongozi wanawake kupeana joto na support katika kutatua changamoto za watu wao.

Ni mawazo yangu tyuuu.
Hadi Covid 19 ipungue na Rais wetu apate hiyo nafasi Angela Merkel atakuwa siyo Kansela wa Ujerumani tena.
 
Akimaliza hizo za wanawake wenzake ni zamu ya Ubelgiji kumfata Mzalendo wa Kweli TL
Madam President ni binadamu mwenye UTU sana na jasiri kweli kweli, we fikiria pamoja na ukali wa kupindukia wa Dk. Magufuri, hakuna kiongozi yeyote Serikalini pamoja na wabunge wa chama tawala walio thubutu kwenda kumjulia hali Tindu Lissu alipokuwa amelazwa Hospitalini Nairobi kutokana na majeraha ya risasi - Mtu pekee aliye onyesha uwanadamu na ujasiri wa kutukuka alikuwa si mwingine bali mama Samia Suluhu Hassan!! Hata anaposema kwamba ana nia ya kujenga umoja wa kitaifa Dunia inamuelewa kwamba si msanii/mbabaishaji - atatekeleza ahadi zake kweli - amekwisha wambia Doubting Thomases kwamba wajitayalishe kisaikokojia kukubali mabadiriko hayo yenye lengo la kujenga umoja wa kitaifa - kuna baadhi ya Watanzania wenzetu hilo hawalipendi kabisa kabisa - wanatamani ikiwezekana Tanzania iwe a one party state, bahati nzuri madam President ana exposure kubwa na vast experience ya kutambuwa Dunia ya hivi sasa inaendaje, binafsi nina uhakika atatuvusha salama.
 
Madam President ni binadamu mwenye UTU sana na jasiri kweli kweli, we fikiria pamoja na ukali wa kupindukia wa Dk. Magufuri, hakuna kiongozi yeyote Serikalini pamoja na wabunge wa chama tawala walio thubutu kwenda kumjulia hali Tindu Lissu alipokuwa amelazwa Hospitalini Nairobi kutokana na majeraha ya risasi - Mtu pekee aliye onyesha uwanadamu na ujasiri wa kutukuka alikuwa si mwingine bali mama Samia Suluhu Hassan!! Hata anaposema kwamba ana nia ya kujenga umoja wa kitaifa Dunia inamuelewa kwamba si msanii/mbabaishaji - atatekeleza ahadi zake kweli - amekwisha wambia Doubting Thomases kwamba wajitayalishe kisaikokojia kukubali mabadiriko hayo yenye lengo la kujenga umoja wa kitaifa - kuna baadhi ya Watanzania wenzetu hilo hawalipendi kabisa kabisa - wanatamani ikiwezekana Tanzania iwe a one party state, bahati nzuri madam President ana exposure kubwa na vast experience ya kutambuwa Dunia ya hivi sasa inaendaje, binafsi nina uhakika atatuvusha salama.
hata mimi bado nina imani na Mama.
 
Mama anatakiwa atembee mkoa kwa mkoa sekta kwa sekta......sio muda wa kuzurura huu...
huku akikagua miradi na maendeleo ya mikoa.....
Ss unakuta jinga linaandika ushuzi tupu
Mama anajipanga miradi mkakati hakuna pesa ....madeni matupu ameacha huyo mwendazake....acha mama ajipange atafute pesa...miradi ipo tu kutembelea bila pesa ni upoyoyo upunguani....sukuma gang mtulie hamuamini kuwa Mungu hakosei ? Mbona mbakufuru ?
 
Sio kazi ya Rais hiyo.
Ni ushamba rais kufanya kazi zavMawaziri, wakurugenzi na wakuu wa mikoa.
Mama anatakiwa atembee mkoa kwa mkoa sekta kwa sekta......sio muda wa kuzurura huu...
huku akikagua miradi na maendeleo ya mikoa.....
Ss unakuta jinga linaandika ushuzi tupu
 
Binafsi nimeshaanza kuuona mwanga kupitia mboni za macho ya Rais Mama Samia. Ninamuona Rais Samia akizifuata nyao za Angel Makel wa Ujerumani.

Kama Rais mwanamke ni vizuri covid 19 ikipungua aombe kwenda kumtembelea chancellor wa Ujerumani Mama Angel Makel kwa uzoefu na pengine kubadilishana mawazo juu na namna ya kukabikiana na changamoto za kiongozi mkuu mwanamke na ikibidi apate uungwaji mkono na Ujerumani katika kutatua changamoto za Watanzania.

Kama Mwanamke mwenzake ni heshima sana kama ziara yake hata kama ikiwa moja ya ulaya iwe Ujerumani na ya pili Marekani akakutane na makamu wa Rais wa Marekani kwasababu hizohizo za viongozi wanawake kupeana joto na support katika kutatua changamoto za watu wao.

Ni mawazo yangu tu.
Kwan ujerumani unaeza kwenda kwa uber?

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Hatuna Rais, tuna mzurulaji Ikulu, hajatembelea hata mradi mmoja wa kimkakati kila saa yupo kwenye mapambio na safari zisizo na tija kwa watz wengi.
Una roho mbaya kweli kweli Tanzania sio kisiwa acha Mama arudishe mahusiano ya kimataifa.
 
Binafsi nimeshaanza kuuona mwanga kupitia mboni za macho ya Rais Mama Samia. Ninamuona Rais Samia akizifuata nyao za Angel Makel wa Ujerumani.

Kama Rais mwanamke ni vizuri covid 19 ikipungua aombe kwenda kumtembelea chancellor wa Ujerumani Mama Angel Makel kwa uzoefu na pengine kubadilishana mawazo juu na namna ya kukabikiana na changamoto za kiongozi mkuu mwanamke na ikibidi apate uungwaji mkono na Ujerumani katika kutatua changamoto za Watanzania.

Kama Mwanamke mwenzake ni heshima sana kama ziara yake hata kama ikiwa moja ya ulaya iwe Ujerumani na ya pili Marekani akakutane na makamu wa Rais wa Marekani kwasababu hizohizo za viongozi wanawake kupeana joto na support katika kutatua changamoto za watu wao.

Ni mawazo yangu tu.
HAPANA KABISA, wale wameshakua wajamaa, aende USA,china,Canada,UK
 
Binafsi nimeshaanza kuuona mwanga kupitia mboni za macho ya Rais Mama Samia. Ninamuona Rais Samia akizifuata nyao za Angel Makel wa Ujerumani.

Kama Rais mwanamke ni vizuri covid 19 ikipungua aombe kwenda kumtembelea chancellor wa Ujerumani Mama Angel Makel kwa uzoefu na pengine kubadilishana mawazo juu na namna ya kukabikiana na changamoto za kiongozi mkuu mwanamke na ikibidi apate uungwaji mkono na Ujerumani katika kutatua changamoto za Watanzania.

Kama Mwanamke mwenzake ni heshima sana kama ziara yake hata kama ikiwa moja ya ulaya iwe Ujerumani na ya pili Marekani akakutane na makamu wa Rais wa Marekani kwasababu hizohizo za viongozi wanawake kupeana joto na support katika kutatua changamoto za watu wao.

Ni mawazo yangu tu.
Samia akae ofisini ahangaike na shida za watanzania. aache kuzurura.
 
Hatuna Rais, tuna mzurulaji Ikulu, hajatembelea hata mradi mmoja wa kimkakati kila saa yupo kwenye mapambio na safari zisizo na tija kwa watz wengi.
We unadhani magu alikua hapendi kusafiri? Kama sio ugonjwa wake na tatizo la kimalkia wenda angemzidi JK kwa safari za nje.
 
Back
Top Bottom