yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,329
- 2,387
Pia ni malaya usipime... yaani wao kukataa ni shughuli pevu.Watu wanawasifia wanawake wa huko kwamba ni wazuri sana ila mi nimeishi nao nimewaona wa kawaida tu.
Pia ni malaya usipime... yaani wao kukataa ni shughuli pevu.Watu wanawasifia wanawake wa huko kwamba ni wazuri sana ila mi nimeishi nao nimewaona wa kawaida tu.
Hivi huko minada ya kibiashara ipoKama ukifanikiwa kupata pisi kali itakayokushawishi nawe ukaridhia kwa moyo mmoja,,tombana nayo tu hakuna namna Muda/maisha hayarudi nyuma jitahidi kufurahia wakati ulio nao,,,na huko zipo za kumwagika!!ni juhudi zako tu za kula mema ya nchi na kulamba asali kadri uwezavyoo!!
Hata kuuza bidhaa za mnadani hakuna?Huko kuna umaskini tu mkubwa hakuna hela huko, wanalima mazao madogo madogo tu ya chakula, hata alizeti imewagomea....hali ni mbaya tu huko, tofauti na merelani huko machimboni
Hakuna fursa niende kutembea
Fahari ya machoHakuna fursa niende kutembea
Kuna bia moja ya Kiganda inaitwa Nile special iko poa sana.Nipo Kaisho kwasasa jioni nakunywa bia Murongo alafu nafata bia za kiganda Kigagati [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hakika,ila mbulu kuna fursa ganiHivi anaye wadanganya mademu wa Kimbulu ni wepesi kama mnavyodhani ni nani?
Hiyo kanda yote wanawake wanaubinafsi kuliko mnavyodhani,wao na wamaasai ni jamii moja kitabia.
Watu wa hiyo kanda kuanzia Babati,Hydom,Mbulu,Karatu hadi mto wa Mbu na viunga vyake ni watu wabinafsi sana,sijui miaka ya hivi karibuni uenda ni kwasababu ya kuchangamana na watu wa mikoa tofauti hivyo huwapelekea utamaduni mpya,lakini miaka ya nyuma kumpata mwanamke wa Kiiraq(Mmbulu)shughuli yake haikuwa ya kitoto hata kidogo labda kama ulikuwa na nia ya kumuoa kabisa lakini si kumgonga tu!.
Wao walikuwa na utamaduni wa kuwakubali wanaume wa kabila lao tu lakini kama ulikuwa si wa kabila lao basi ulikuwa unaula wa chuya na ndivyo hata wamaasai walivyokuwa hapo awali,sema sikuhizi mambo yamebadilika sana kulingana na uchangamano wa watu na tamaduni.
Japo mambo yamebadirika lakini usitegemee utamtongomza Mmbulu kirahisi akakukubalia kama wewe si mmbulu,labda uende huko kwenye Ma-baa na Ma-pub ndiyo utawapata walioshindikana wanaye mkubali yeyote cha msingi uwe na hela yako tu!,lakini hawa wa mitaani utaula wa chuya.
Mmbulu unaweza kukuta ni pisi kali ya kwenda lakini ikawa inapelekewa moto na kachalii ka kawaida kabisa kasiko na chochote wala muonekano ila tu kwakuwa ni mmbulu mwenzie,wewe wa kuja unaweza kuwa na hela zako za kutosha,muonekano mzuri na bado nje umepaki Range na bado akakupotezea kwasababu wewe si kabila lake.
NB.
Nimepanda sana mlima Qwang hapo Mbulu.
Saitaa = Sayuu
Haidomaa = Haidorii
#Ukilala nayo hakikisha unaamka nayo.
Tupe maujanja minada ya huko tujeMkuu katika uongo basi wewe umekubuhu asee. Yani wewe ni muongo wakupindukia.
Ina maana Dongobesh mnada huwa ni kwenye miezi yenye tarehe 31 tu? Je yenye siku 28/29 na 30 huwa hakuna minada?
Hilo ni la muhimu sana naomba kumkumbusha kwenye hili pia...!!Jiandae kuondoka na gono sugu na kaswende new model.
Biashara za mnadani vp huko zipoFahari ya macho
Sina uzoefu huo lakini Wairaq wana ukabila sana kwenye biashara, isipokuwa miili yao hawabagui wa kumpa...nisameheweBiashara za mnadani vp huko zipo
Kumbe heri nikatembee tu,halafu kuna mtu kasema wale kudate nao ngumu kama sio kabila laoSina uzoefu huo lakini Wairaq wana ukabila sana kwenye biashara, isipokuwa miili yao hawabagui wa kumpa...nisamehewe
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hali ya hewa nzuri, kuna kaubaridi kidogo, kama umetoka sehemu ya joto andaa nguo nzito kidogo
Kuna matope mvua ikinyesha
Kimbulu ndio lugha kuu hata hospitali ukifika au masokoni, unaweza ukawa discussion wakidiscus kwa kimbulu
Wanapenda sana kusoma ,hasa biology na chemistry
Kwakipindi hiki asilimia kubwa watu wapo mashambani , wanalima sana mahindi na maharage,
Pale kwa upande wa siasa HATA WATOTO NA WANAWAKE wanafuatilia sana siasa ukifika kutana na mzee yeyote piga nae story za siasa utajua kweli kuna watu wanajua mambo
Muda wote hata mchana wanaume wanavaa shuka, huo ni mtoko kabisa, pia mara nyingi huvaa bukta zile za shule ya msingi zikiwa na viraka( SIO UMASIKINI) ila ni tamaduni ya jamii hiyo. Tena hivyo viraka vinashonwa na uzi kwakutumia mkono na vinabandikwa kwa nje ( INGAWA SIO WOTE WAPO HIVYO) Na huenda wakawa wanabadilika kutokana na majira
Nguruwe zinafugwa kwa wingi mno
Sio wapenda usafi. Kula yao ,vaa yao, sio watu wakujipenda sana
Miswaki mara nyingi huwa niya miti(SIO KWAMBA MADUKANI HAKUNA ILA NI MAZOEA) ingawa sio wote
Rangi ya udongo ni udongo mwekundu.
Usafiri upo ila mtapangwa kama magunia ya mchele, kama kuna watu wanajua kupanga watu kama viroba vya mizigo utawakuta huko, labda kama unausafiri wako binafsi
Kila mahali utasikia neno SAITA,SAYUU,BARAGAHE,DERO, SHIDIKAH kariri hayo maneno ni comon kwa dongobesh
Ahsante
Nyapu a.k.a punaniHakika,ila mbulu kuna fursa gani
Hela yako tuKumbe heri nikatembee tu,halafu kuna mtu kasema wale kudate nao ngumu kama sio kabila lao
[emoji38][emoji38][emoji38]Nyapu a.k.a punani
Picha usisahau mkuuNipo Babati kwenye Bar ya Manyara Raha Annex kuna pini zinamiminika hapa kutizama mechi ya Simba na Yanga.