Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,698
- 2,886
OK, ila naona Hayderer ipo wilaya ya Mbulu, Luxmanda ipo wilaya ya Babati na Bassodesh ipo wilaya ya HanangNi vijiji vya jirani na Dongobesh.
OK, ila naona Hayderer ipo wilaya ya Mbulu, Luxmanda ipo wilaya ya Babati na Bassodesh ipo wilaya ya HanangNi vijiji vya jirani na Dongobesh.
Ni sahihi ila yote ni Manyara na huko wanaishi Wambulu pamoja na Wabargaig.OK, ila naona Hayderer ipo wilaya ya Mbulu, Luxmanda ipo wilaya ya Babati na Bassodesh ipo wilaya ya Hanang
Hivi wambulu na wa iraqwi ndio kabila hilo hilo moja, ama ni makabila tofauti?Ni sahihi ila yote ni Manyara na huko wanaishi Wambulu pamoja na Wabargaig.
Wambulu ndio wa-Iraq wenyewe.Hivi wambulu na wa iraqwi ndio kabila hilo hilo moja, ama ni makabila tofauti?
Wanazifua wanaanikaHuko hakuna condom?
Mbulu ni wilaya kabila ni wairaqHivi wambulu na wa iraqwi ndio kabila hilo hilo moja, ama ni makabila tofauti?
Kama hujui bora uulize au ukae kimya,mkoa wa manyara una utaratibu kila Kijiji kinahost mnada Mara moja kwa mwezi,kwa taarifa yako tarehe 4 Ni basoutu,tarehe 1 ngamu na tarehe 31,Sasa kwa kesi ya miezi ambayo Ina siku 28/29 Ni kusubir had next month,uongo wangu wapi ww Putin wa kongwa?Mkuu katika uongo basi wewe umekubuhu asee. Yani wewe ni muongo wakupindukia.
Ina maana Dongobesh mnada huwa ni kwenye miezi yenye tarehe 31 tu? Je yenye siku 28/29 na 30 huwa hakuna minada?
Mkuu nimeishi huo mkoa sana wala huniambii chochote kuanzia Mererani, Kiteto, Orkesmet, Mbulu, Babati, Hanang, Katesh na kokote kula.Kama hujui bora uulize au ukae kimya,mkoa wa manyara una utaratibu kila Kijiji kinahost mnada Mara moja kwa mwezi,kwa taarifa yako tarehe 4 Ni basoutu,tarehe 1 ngamu na tarehe 31,Sasa kwa kesi ya miezi ambayo Ina siku 28/29 Ni kusubir had next month,uongo wangu wapi ww Putin wa kongwa?
Kama hujui kitu bora usiseme nyamaza. Umeulizwa wambulu wewe unasema ni wilayaMbulu ni wilaya kabila ni wairaq
Kama umeishi niambie taratbu ya minada ya mkoa huo,au Kama Kuna mwenyej wa dbesh humu atujibu hapa,uliza dongobesh mnada unakuwa lini!!! Halafu niambie wamejibu nn,hahahaaaMkuu nimeishi huo mkoa sana wala huniambii chochote kuanzia Mererani, Kiteto, Orkesmet, Mbulu, Babati, Hanang, Katesh na kokote kula.
Swali langu ilikuwa je ni miezi tu yenye tarehe 31 ndio kuna mnada?
Kwahiyo dongo mnada ni January, March, May, July, August, October na December tu? Hii miezi mingine hamna mnada?Kama umeishi niambie taratbu ya minada ya mkoa huo,au Kama Kuna mwenyej wa dbesh humu atujibu hapa,uliza dongobesh mnada unakuwa lini!!! Halafu niambie wamejibu nn,hahahaaa
Wewe kama umekaa dongo hebu niambie,mnada wa dongo Ni tarehe ngapi kila mwez au Ni juma ngapi kila mwezi,naona unaniuliza maswali ambayo majib yake nimeyasema,hebu funga mjada wetu kwa sema mnada wa dongo Ni kila juma ngapi au kila tarehe ngapi,au hvyo tu???au unavyojua ww dbesh hakuna mnada??Kama upo Ni kila juma ngapi au kila tarehe ngapi hufanyika???Kwahiyo dongo mnada ni January, March, May, July, August, October na December tu? Hii miezi mingine hamna mnada?
Una akili kweli wewe?
Tar 4 ni Bassodesh boss.Kama hujui bora uulize au ukae kimya,mkoa wa manyara una utaratibu kila Kijiji kinahost mnada Mara moja kwa mwezi,kwa taarifa yako tarehe 4 Ni basoutu,tarehe 1 ngamu na tarehe 31,Sasa kwa kesi ya miezi ambayo Ina siku 28/29 Ni kusubir had next month,uongo wangu wapi ww Putin wa kongwa?
Majina kama bangladesh kumbe hapa hapa kwa nyerereHayderer, Luxmanda na Bassodesh.
Tuliza boli wewe, Kyerwa ndio penyewe!Kahama ni mji uliochangamka, hivyo kuna dizaini za kila aina tofauti na kwenu Kyerwa kijijini huko.
Mkuu waonekana Mwenyeji sana, Nina Kazi yangu huku imeniweka for 4 years now!
- Iwapo ni mara ya kwanza kufika | Ni vyema ukaingia Dongobesh Asubuhi, badala ya Jioni.
- Lala BABATI, then kesho yake chukua gari ya kwanza inayoenda Hydom na utashuka Dongobesh.