Ni dk 3 huko Sudani Al Hilal 2-0namna gani pale, ni dk ya 00 tayari ni 2 - 0
Uombe uwe na uwezo wa kuzalisha mana Domo alipiga chap chapMfano wa Naseeb Abdul(Diamond),Alimkuta Zari akiwa na watoto watatu ,pamoja wamejaaliwa watoto wawili😃
Kamkuta Hamisa Mobetto ana mtoto mmoja nayeye kaongeza mmoja.Ni Tanasha pekee alieanza naye akiwa hana mtoto😃😃
Unamfahamu mke wa rais wa ufaransa?Mnapotosha vijana wa watu, ndio nyumba kama hiyo mume ni kama mtoto tu ndani ya nyumba.
Ndoa ina raha kwa watu Wawili wenye akili timamu, na siyo mwanaume wa kuanza kumfundisha akili na possibly utampoteza tu ili umtawale vizuri.
Mahusiano ya hivyo hayana kanuniHabari wana JF!
Hili suala la mwanaume kuoa mwanamke ambae tayari ana watoto wake mnalionaje!
Je lipo sawa au halipo sawa!?
Kuna case hapa rafiki yangu anataka kuoa mwanamke ambae tayari alishakuwa na mahusiano yake na ana watoto wawili na kila mtoto ana baba yake.
Habari wana JF!
Hili suala la mwanaume kuoa mwanamke ambae tayari ana watoto wake mnalionaje!
Je lipo sawa au halipo sawa!?
Kuna case hapa rafiki yangu anataka kuoa mwanamke ambae tayari alishakuwa na mahusiano yake na ana watoto wawili na kila mtoto ana baba
Mfano mwingine Zamaradi alikutwa na watoto wawili nayeye kaongeza wengine,Uombe uwe na uwezo wa kuzalisha mana Domo alipiga chap chap
Tueleze kitaalam,ni athari zipi atazipata huyo mwanaumeSio sahihi, tafuta ambaye hajazaa
Awe na uwezo wa kuzaa sasa lkn kama anatatizo la uzazi HAPANA SIO SAHIHIMfano mwingine Zamaradi alikutwa na watoto wawili nayeye kaongeza wengine,
Ni Mwalimu wake, hiyo wala siyo hoja, nimeishi Ulaya, nimeishi Africa na nimeishi na hao Wafaransa, kwanza kwenye mapenzi Wafaransa hawana mwiko na wanakaa na vichupi nyumbani mama baba na Watoto.Unamfahamu mke wa rais wa ufaransa?
Hebu ngoja kidogo....Ni Mwalimu wake, hiyo wala siyo hoja, nimeishi Ulaya, nimeishi Africa na nimeishi na hao Wafaransa, kwanza kwenye mapenzi Wafaransa hawana mwiko na wanakaa na vichupi nyumbani mama baba na Watoto.
Wewe unaweza kuvaa bikini mbele ya baba yako mzazi? Si kila cha wazungu ni cha kuiga.
Kitaalam mwanamke huwa anajenga bond na mwanaume aliyezaa naye na haivunjiki mpaka pale mwanamke atakapokufa,Tueleze kitaalam,ni athari zipi atazipata huyo mwanaume
Walidhania wamepata kitonga 😅😅😅😅😅Sakata lilopo ni kwamba huyu rafiki yangu kakutana na mwanamke ana watoto wawili na kila mtoto ana baba yake.
Sasa imefika kwenye kipengele wanataka kufunga ndoa na kufanya harusi. Sasa huyu jamaa alikuwa hajaiambia familia yake kuwa huyu dada anaetaka kumuoa tayari ana watoto. Na tayari wameshatoa mahari
Ndugu wa mwanamme wamegomea kuendelea na mchakato wa harusi na wanamkazia mtoto wao wa kiume kumuoa huyo dada.
Upande wa mwanamke tayari walikuwa wamefika mbali na maandalizi ya send off kwahyo jana huyo dada kafanyiwa sendoff tayari ilihali harusi haitofanyika na hatma haifahamiki.
Mmmh!Ni Mwalimu wake, hiyo wala siyo hoja, nimeishi Ulaya, nimeishi Africa na nimeishi na hao Wafaransa, kwanza kwenye mapenzi Wafaransa hawana mwiko na wanakaa na vichupi nyumbani mama baba na Watoto.
Wewe unaweza kuvaa bikini mbele ya baba yako mzazi? Si kila cha wazungu ni cha kuiga.
NakaziaKitaalam mwanamke huwa anajenga bond na mwanaume aliyezaa naye na haivunjiki mpaka pale mwanamke atakapokufa,
NakaziaMwanamke akishakuwa na mtoto atahamisha asilimia kubwa za upendo kwa watoto, sio kwa binadamu tu hata kwa wanyama isipokuwa fox.
Nakaziahuyu ana wawili, huwezi kupata mapenzi ya dhati kwake mpaka wa watoto wake wawe kwenye hali nzuri.
NakaziaHapo sijazungumzia kupasha viporo.
NakaziaMwanamke mwenye mtoto mmoja fanya nae mahusiano lakini usioe. Mwenye wawili achana nae.
Naona ndg wa mwanaume wako sahihi. Watoto wawili (2) kila mmoja na baba yake !Sakata lilopo ni kwamba huyu rafiki yangu kakutana na mwanamke ana watoto wawili na kila mtoto ana baba yake.
Sasa imefika kwenye kipengele wanataka kufunga ndoa na kufanya harusi. Sasa huyu jamaa alikuwa hajaiambia familia yake kuwa huyu dada anaetaka kumuoa tayari ana watoto. Na tayari wameshatoa mahari
Ndugu wa mwanamme wamegomea kuendelea na mchakato wa harusi na wanamkazia mtoto wao wa kiume kumuoa huyo dada.
Upande wa mwanamke tayari walikuwa wamefika mbali na maandalizi ya send off kwahyo jana huyo dada kafanyiwa sendoff tayari ilihali harusi haitofanyika na hatma haifahamiki.