Sababu zangu za kuoa single mother

Sababu zangu za kuoa single mother

Inategemea, kama umemkubali sana unaweza fanya hivyo ila binafsi najiona siwezi, maana ishu ya kulea watoto ni lifelong na hao madogo wakishaanza kukuita baba ishakuwa responsibility yako hapo bado wakwako pia,

Majanga zaidi ni baada ya miaka kadhaa ushatumia gharama zako za kutosha kwa hao watoto mtu anarudi kwa mumewe wa zamani na unaenda kufunguliwa kesi mahakamani unataka kuwaiba watoto wa watu, SO kwa mimi ni BIG NOOOOOOOOO
 
Nashauri aache haraka sana kuepuka miaka michache ijyo kuletwa tena uzi wa mtu mwingine kuomba ushauri wa kuoa mwanamke mwenye watoto wa3 wenye baba tofauti.

Acha ujinga huo, wanawake wapo wengi aachane naye kabisa na sababu anayo kuwa familia haijaridhia so inaisha kwa lawama lakini haiwi janga. Akilazimisha atateswa na hiyo ndoa na atachapiwa tuu!
 
Kazaa na wa kwanza kaachana, kazaa na wa pili kaachana, kakupata sasa wewe ndondocha....
Siyo ndondocha, inawezekana mwanamke ndio anataka kuowa, msimualiaji hajatueleza vizuri mwanamke ni Boss lady? Maana siku hizi kuna wanaume kama machangu tu.
 
Oya mkuu hao akili zao wanazijua wenyewe sasa mwache ajichanganye baadae atuletee simulizi, asiseme hatukumuambia hapo sawa sawa anaoa malaya tu kwa hio ajiandae kisaikolojia kitakachofuata ataelewa zaidi maana presha ndio utakua ugonjwa wake tarajiwa
 
U can never ever start a family with a single mother because she already has a family which is made by her and her children.

What ur friend is going to do here is to join her family and not to start a family with her.

He will end up being a stranger to his own so called family

Mwambie auonee huruma moyo wa mama ake asifanye kitu cha kipuuzi kama hicho.


Mama anaposikia mtoto wake kijana ameoa single mother, uchungu anao upata moyoni ni SAWA na kusikia mtoto wake wa.kiume amekuwa shoga.


A real man will start his own fresh family and not marrying a single mother..

Mwambie jamaa.yako aache ujinga
 
U can never ever start a family with a single mother because she already has a family which is made by her and her children.

What is friend going to do here is to join her family and not to start a family with her.

Mwambie auonee huruma moyo wa mama ake asifanye kitu cha kipuuzi kama hicho.


Mama anaposikia mtoto wake kijana ameoa single mother, uchungu anao upata moyoni ni SAWA na kusikia mtoto wake wa.kiume amekuwa shoga.


A real man will start his own fresh family and not marrying a single mother..

Mwambie jamaa.yako aache ujinga
Na kama anaolewa yeye na huyo mwanamke?

Kwako studio walete.....
 
Kama ni mshamba ni Haki yake.
Hayo ndio madhara ya kujua wanawake ukubwani.
Ni mshamba pekee anayeweza kufanya kama afanyavyo rafiki yako.

Kwa mtu makini aliyefunzwa vyema hawezi Oa mwanamke single mother ilhali yeye hajawahi kuwa na familia.
Hata wazazi wake kama wanajielewa hawawezi ruhusu Jambo Hilo kutokea, hasa mama mzazi.
 
Shida iko wapi?
Anaoa mkee au bikra?
Kama wameafikiana iko poa tu.
Uzuri jamaa kama ana mudu kuwahudumia mpaka hao watoto wa huyo mama inamaanisha....sooon atajihesabu ameshatengeneza maisha ya watu wawili duniani.
Kimsingi raha ya pesa ni kuweza kutengeneza maisha ya wengine

Asitengeneze maisha ndugu zake atengeneze maisha ya mbegu za wanaume wengine, kweli Waafrika wengi wanalaana.

Ndio wale wanapesa nyingi wanasaidia watu-back alafu ndugu zao wanateseka.
Huo ni ushamba na ulimbukeni wa Papuchi.
Washamba ndio wanafanya hivyo.
 
Shida inakuja pale mkeo anaenda KWA baba mtoto wake kujadiliana maswala ya malezi ya mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]na vile wazazi hawaachani
 
Huo mkeka ni double chance,ili usichanike add bet nyengine kwenye huo mkeka iwe HANDCAPE YA 1:2.
Ili mkeka utiki inabidi uchomoe hilo goli kwanza
 
Kama ni mshamba ni Haki yake.
Hayo ndio madhara ya kujua wanawake ukubwani.
Ni mshamba pekee anayeweza kufanya kama afanyavyo rafiki yako.

Kwa mtu makini aliyefunzwa vyema hawezi Oa mwanamke single mother ilhali yeye hajawahi kuwa na familia.
Hata wazazi wake kama wanajielewa hawawezi ruhusu Jambo Hilo kutokea, hasa mama mzazi.
Kumbe zile semina zako kazi bure tu, somo halijaeleweka.

Halafu hawa Watoto ndio wanatuwekea kiwingu tusiwastiri wakubwa wenzentu, wana acha rika lao vyuoni wanakimbia bill Sasa wanataka kuowa mashangazi zao.
 
U can never ever start a family with a single mother because she already has a family which is made by her and her children.

What ur friend is going to do here is to join her family and not to start a family with her.

He will end up being a stranger to his own so called family

Mwambie auonee huruma moyo wa mama ake asifanye kitu cha kipuuzi kama hicho.


Mama anaposikia mtoto wake kijana ameoa single mother, uchungu anao upata moyoni ni SAWA na kusikia mtoto wake wa.kiume amekuwa shoga.


A real man will start his own fresh family and not marrying a single mother..

Mwambie jamaa.yako aache ujinga

Huyo ni mshamba, wale wakujulia wanawake ukubwani ndio matokeo yake hayo.
 
Kumbe zile semina zako kazi bure tu, somo halijaeleweka.

Halafu hawa Watoto ndio wanatuwekea kiwingu tusiwastiri wakubwa wenzentu, wana acha rika lao vyuoni wanakimbia bill Sasa wanataka kuowa mashangazi zao.

Hilo ni tatizo la Kijana kuwa na akili za kitoto yaani ndio anajifunza mapenzi ndoani hata kabla hajayajua maisha vizuri(wakiwemo wanawake).

Huyo Dogo aende akamuulize Mama yake mzazi maana ninauhakika anampenda, amuulize aoe single mother kisha alete majibu hapa. Au akaulize shangazi zake hasa wanaompende, au aulize Dada zake wanaompenda wao watamuambia ukweli Kwa sababu Wanawake wanajuana.

Apige Mzigo Kama ndio shida yake, afanye hapo ni uwanja wa mazoezi, alafu akihitimu apite kushoto
 
Mfano wa Naseeb Abdul(Diamond),Alimkuta Zari akiwa na watoto watatu ,pamoja wamejaaliwa watoto wawili😃
Kamkuta Hamisa Mobetto ana mtoto mmoja nayeye kaongeza mmoja.Ni Tanasha pekee alieanza naye akiwa hana mtoto😃😃

Amewaoa?
Wakati jamaa ndio kawazidishia Msalaba
 
Sakata lilopo ni kwamba huyu rafiki yangu kakutana na mwanamke ana watoto wawili na kila mtoto ana baba yake.
Sasa imefika kwenye kipengele wanataka kufunga ndoa na kufanya harusi. Sasa huyu jamaa alikuwa hajaiambia familia yake kuwa huyu dada anaetaka kumuoa tayari ana watoto. Na tayari wameshatoa mahari

Ndugu wa mwanamme wamegomea kuendelea na mchakato wa harusi na wanamkazia mtoto wao wa kiume kumuoa huyo dada.

Upande wa mwanamke tayari walikuwa wamefika mbali na maandalizi ya send off kwahyo jana huyo dada kafanyiwa sendoff tayari ilihali harusi haitofanyika na hatma haifahamiki.

Hao ndugu wako na akili za kutosha, wanampenda huyo Kijana.

Kama ingekuwa ni sifa nzuri asingewaficha wazazi wake au ndugu zake. Yeye mwenyewe anajua ni sifa mbaya ndio maana ameficha.

Single mother anafaa kuolewa na Mwanaume aliyekomaa, mtu mzima ambaye tayari alishaoa na anawatoto wakutosha, au amefiwa na mkewe, au kuongeza mke mwingine
 
Back
Top Bottom