Sababu zangu za kuoa single mother

Sababu zangu za kuoa single mother

Habari za wakati huu

Kusema tu ukweli mimi nitaoa single mother, mwanamke mwenye mtoto nikikosa bikira. Kwa sababu;

~ Mtamu sana.

~ Anajua kupenda.

~ Amekomaa kiakili.

~ Wapo makini sana kwenye maisha kwa maana hakuna kigeni kwake kwenye mapenzi.

~ 80% wengi huwa wanakuwa wasafi ndani mpaka nje.

~ Hakunaga kigeni kwao.

~ Wajuzi hawa watu, wana utu na utulivu.

~ Wanahuruma sana.

Mje mniue
subiri kufa huku ukilalama..
 
Na mm nshashindwaga kabisa kupenda kwa dhati damu ya mwenzangu, tena ndo toto liwe tundu tundu ndio kabisaaaa, labda umri ukipanda huko mbele uzee utanibadili ila kwa sasa sipend kbsa.
Kwa Yesu hakuna linaloshindikana.
 
Nimepitia comments nimegundua vitu vifuatavyo,

1.Wanaume wengi tuna roho mbaya

2.Wengi hatujiamini.hatuwezi kuruhusu mawasiliano Kati ya Hawa maex

3.Umaskini,
Just imagine mtoto wa mwanaume mwenzako inatakiwa apate huduma zote, kutoka kwako ni balaa.
 
Siwezi kuwa na single mother kwasababu za un necessary drama,un necessary stress,yaan uko na mtu yeye ana mwaza mtoto wake helll no
 
tunasubiri kilio chako na ushauri hapa weka akilini usije kimbilia kujiua penda maisha yako.
 
Back
Top Bottom