Hii point yako haijaangalia pande zote ,,,, ww unazan single mother wote ,wameachwa tu ,,kuna kifo kuna matatzo ya hao waliowazalisha ,wengine wao ndo wanaacha kwa sababu mbal mbal mfano unakuta mdada ana akir zake nzur muelewa mstaarabu lakin anazalishwa na mtu ambae sio sahihi ila kwa sababu ni binadam ndio umeshatokea ,point yako ina msingi kwa wale masingle mother ambao wao ndio chanzo cha kuwa single mother ,, lakin mtoa mada itakua anazungumzia masingle mother wamesababishwa kuwa ivyo ambae ukimpata unasahau ata asiezaa