Sababu zangu za kuoa single mother

Sababu zangu za kuoa single mother

Hongera sana Kwa kuchagua njia yako, wewe msifie huyo singo Maz wako lakini mambo ya kusema asilimia 80 wanajua kupenda wasingekuwa singo mazas
Kuna sababu nyingi za usingle mother
 
Wanawake walio kwisha kuzalishwa wakiolewa wanakua na wivu balaa.
Maana Yale matendo waliokua wakiwafanyia waume za watu Kama kuwalisha uchafu na kuwachuna wanahisi na waume zao wanafanyiwa na ma singo mother.
Kama wewe Ni kijana rijali, una akili timamu na nguvu za kufanya kazi oa mwanamke fresh.
Unaweza kuchukua mwanamke kumbe kazalishwa na mkuria na mtoto kambambika mgogo Sasa wewe unakwenda kujiingiza kwenye mgogoro usiokuhusu.
Kama hujui kutongozwa mabinti jiunge na kwaya ya vijana.
 
Kama nawewe ni single faza oa tu ila kama sivyo sisi tutasubir mrejesho

Mimi siwezi oa single mother kamwe nina case nyingi sana nilizopitia nao eeeh mwenyez mungu nisamehe kwa hili...
 
Hivi inakuaje mpaka mtu unafikia hatua ya kuoa mwanamke mtumba wanawake wengi Hawana shukrani tambua hilo hata ukimstiri bado atakuona we ni mshamba na mdhaifu umeacha pisi kali umedondokea
Kwake

tena uzaenae mtoto mmoja hapo ndo utakubali jamu jamu zake lazima ufe mapema *****
 
Mie kuna single maza mmoja nimegundua nampenda sana...najitolea kulea bao la mwanaume mwengine ili moyo wangu utulie. Yule mwanamke nampenda kwa kweli ni vile tuu nimechelewa kulikubali hilo.

Good maan good!

Hongera kwa kukubali

Hata me nliwah kupitia hili
But be sure
Iulize nafsi yako kama kweli unahitaj kuishi nae
Kama sivyo basi kata huo mti mapema sana
 
Habari za wakati huu

Kusema tu ukweli mimi nitaoa single mother, mwanamke mwenye mtoto nikikosa bikira. Kwa sababu;

~ Mtamu sana.

~ Anajua kupenda.

~ Amekomaa kiakili.

~ Wapo makini sana kwenye maisha kwa maana hakuna kigeni kwake kwenye mapenzi.

~ 80% wengi huwa wanakuwa wasafi ndani mpaka nje.

~ Hakunaga kigeni kwao.

~ Wajuzi hawa watu, wana utu na utulivu.

~ Wanahuruma sana.

Mje mniue
Naunga mkono huu uzi

Nipo nae mmoja ana upendo wa ajabu hata shetani anaogopa na ni mpambanaji haswaa
 
Utajisikiaje pale unapo ambiwa ""lakini mke wako ni mama wa mtoto wangu""?

Jiulize hili swali kabla hujafanya maamuzi mkuu
 
Kuoa mwanamke aliyezalishwa ni kukosa akili, sababu kama aliweza kuzalishwa na kuachwa ni evidence tosha kuonesha yeye ni mtu wa aina gani na kwamba ni lazima kuna tatizo mahali kwake na mtu aliyemzalisha. Wewe kuwekeza hapo ni kujiingiza kwenye majanga na mikosi isiyo na lazima wakati mabinti wabichi wamejaa duniani.
Raha ya familia ni kuwa na yako peke yako.

Una umri gani?
Piece of advice: Grow Up.
Sio kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom