Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

Sababu gani hupelekea watu kujenga na kuishi juu ya milima katika jiji la Mwanza? Maisha ya makazi huko milimani huwa yakoje?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Ningependa kujifunza kuhusu watu wanaoishi milimani katika jiji la Mwanza.

Nini hupelekea watu masikini kwenda kujenga na kuishi juu ya hii milima ukizingatia Mwanza bado ina maeneo makubwa tambarare?

Materials na vifaa vya ujenzi huwa vinafikishwaje juu ya vilima ukizingatia kuwa havina barabara za gari?

Watoto wadogo huwa wanaishi vipi huko juu kilimani? Wanachezaje?

Huwa kuna ajali za watu mfano walevi kupata ajali za kuanguka na kubiringika kutoka juu milimani?

Wenye magari huwa wanayaweka wapi? Huwa wanayaacha chini na kuanza kupanda kwa miguu kwenda kwenye nyumba zao?

Nyumba za masikini kwenye vilima Mwanza hazikidhi vigezo vya kuwa slum?
 
Ningependa kujifunza kuhusu watu wanaoishi milimani katika jiji la Mwanza.

Nini hupelekea watu masikini kwenda kujenga na kuishi juu ya hii milima ukizingatia Mwanza bado ina maeneo makubwa tambarare?

Materials na vifaa vya ujenzi huwa vinafikishwaje juu ya vilima ukizingatia kuwa havina barabara za gari?

Watoto wadogo huwa wanaishi vipi huko juu kilimani? Wanachezaje?

Huwa kuna ajali za watu mfano walevi kupata ajali za kuanguka na kubiringika kutoka juu milimani?

Wenye magari huwa wanayaweka wapi? Huwa wanayaacha chini na kuanza kupanda kwa miguu kwenda kwenye nyumba zao?

Nyumba za masikini kwenye vilima Mwanza hazikidhi vigezo vya kuwa slum?
Njooni hapa mnaoishi Igogo na Mabatini mtoe maelekezo ya jinsi mnaishi huko juu ya majabali
 
Ukiwa unaishi mwanza kwenye ile milima vitu hivi huwezi kufanya
1.Ukiwa na gari, pikipiki huwezi kufika nayo nyumbani iache hukohuko chini , kwa baiskeli ili ufike nayo inatakiwa uibebe begani.

2.Ukiwa mgonjwa au kitambi hutaweza kabisa kurudi nyumbani fanya kwanza mazoezi kitambi kiishe au kama ni mgonjwa rudi kijijini ukajiuguze maana mlimani hutaweza kupanda na hakuna anaeweza kukubeba mgongoni kupanda na wewe.

3. Kuhusu kuchimba choo hutaweza kwahiyo jiongeze.

4.Kama ni mlevi basi nunua pombe ukanywe nyumbani ukinywa kabla hujarudi nyumbani basi siku hiyo utalala pembeni ya barabara mlimani hautatoboa.

5.Mke wako akiwa mjamzito mrudishe kwao hadi ajifungue ndo arudi tena baada ya miezi 6 kupita ili aweze kupanda mlima.

6.Wazazi wako wazee ni rahisi sana kwao kufika Marekani lakini siyo kufika na kupaona nyumbani kwako hapo mwanza juu ya mlima.

Na mwisho ila siyo kwa umuhimu kama umeacha nyumbani unga robo usirudi kula mchana maana kuupanda mlima unachokoza njaa ambayo ugali hautakutosha na familia italala njaa
 
Kwanza wanaoishi huko sio wote ni masikini, wengi wamejenga huko nyumba za maana wamejitengenezea mpaka barabara za zege wanaingia na magari yao, lakini pia kuna barabara za mitaa za zege zinajegwa japo sio kote,
Kingine watu wa hayo mazingira wamezoea hiyo hali, huwezi kuzaliwa huko mlimania au kuishi miaka kumi na zaidi alafu ukizeeka ushindwe kupanda mlima, mwili huwa una adapt kutokana na mazingira
 
Ningependa kujifunza kuhusu watu wanaoishi milimani katika jiji la Mwanza.

Nini hupelekea watu masikini kwenda kujenga na kuishi juu ya hii milima ukizingatia Mwanza bado ina maeneo makubwa tambarare?

Materials na vifaa vya ujenzi huwa vinafikishwaje juu ya vilima ukizingatia kuwa havina barabara za gari?

Watoto wadogo huwa wanaishi vipi huko juu kilimani? Wanachezaje?

Huwa kuna ajali za watu mfano walevi kupata ajali za kuanguka na kubiringika kutoka juu milimani?

Wenye magari huwa wanayaweka wapi? Huwa wanayaacha chini na kuanza kupanda kwa miguu kwenda kwenye nyumba zao?

Nyumba za masikini kwenye vilima Mwanza hazikidhi vigezo vya kuwa slum?
Haya maswali nilikuwa nayo
 
Back
Top Bottom