Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,954
- 4,327
Jirani zetu Rwanda wameanza ujenzi wa vinu vya kisasa vya nuclear ambavyo ifikapo mwaka 2026 vitakuwa vinazalisha umeme wa uhakika wa bei nafuu. Vinu hivi vitazalisha pia mafuta na bidhaa nyingine. Vitaiwezesha Rwanda kuwauzia umeme nchi jirani kama Tanzania.
Sisi tuna madini ya nuclear kibao. Tunashindwa nini kuzalisha umeme wa nuclear na badala yake kuhangaika na vimiradi vya umeme wa jua, upepo na joto ardhi ambavyo haviwezi kuzalisha umeme mwingi na ujenzi wake una gharama kubwa na hivyo kufanya umeme utokanavyo na vyanzo hivyo kuwa wa bei kubwa sana.
Hili Naibu Waziri Mkuu alale nalo mbele ili Raisi wetu aache legacy yake, SSH Nuclear Plants.
Sisi tuna madini ya nuclear kibao. Tunashindwa nini kuzalisha umeme wa nuclear na badala yake kuhangaika na vimiradi vya umeme wa jua, upepo na joto ardhi ambavyo haviwezi kuzalisha umeme mwingi na ujenzi wake una gharama kubwa na hivyo kufanya umeme utokanavyo na vyanzo hivyo kuwa wa bei kubwa sana.
Hili Naibu Waziri Mkuu alale nalo mbele ili Raisi wetu aache legacy yake, SSH Nuclear Plants.