Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Urusi hahitaji washirika Wengi kwanza wa kazi gani! Mataifa ya barani Ulaya yote yanajua Urusi ana uwezo wa kuwamaliza ndani ya Masaa au Mwenzetu hujui sababu za kuanzishwa kwa Umoja wa NATO?
Kakwambia Nani acha ushabik wa kijinga wewe Russia hasubutu kugusa nchi yoyote ya NATO coz anaelewa ugumu wake
 
Hapa duniani Hamna Taifa la kupigana na Murusi,Taifa kwa Taifa.Hata huyo USA hana uwezo wa kupigana na Mrusi akiwa Mwenyewe atatafuta Mshirika lakini Urusi anauwezo wa kupigana na Taifa lolote akiwa Mwenyewe.
Mungu si Athumani,Alipo lipa Taifa Moja Nguvu za kiuchumi,amelipa Taifa lingine nguvu za Kijeshi Isingekuwa hivyo USA angekuwa na vyote angenyanyasa sana huu ulimwengu.
Akapige hiyo meli ya USA iliorusha kombora
 
Russia habari nyingine mziki wake sio wa mchezo mchezo kwanza ni watu wanaopenda vita hakuna duniani sikieni tu hao watu jamani
Hivi Russia kufanya nini unamsifia embu taja hata kimoja au advertisements za Satan ICBM YouTube zinakupa mimba ya kichwa. Wewe unazani sehemu USA yupo Russia anaweza Fanya alichokifanya USA. Yani jamaaa anaongea na kumdanganya Assad anunue silaha ULA mziki ukiwa mkali anamwacha kwenye mataaaa yenu macho
 
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
Amesema i Will strike again Sasa sijuw Wew ndo Trump... Wakat ni boya tu wa mbagala
 
Vitabu vitakatifu vilishatabiri hilo kwa wafuatiliaji wazuri watanielewa.Syria ndio itakuwa chanzo cha mwisho wa Dunia. Mataifa yote yataenda kupigana Syria na kulipuka kwa vita itakayoiangamiza Dunia . Tunaona huko ndio walipo IS wapiganaji kutoka kila kona ya Dunia wapo huko. Marekani na Urusi wapo huko
Labda kwa miaka ya mbele saaana kutokea hiyo vita sio sasa, kwa mujibu wa Ufunuo 13 na Mathayo 24 kama sikosei ambapo Yesu anatabiri mwisho wa ulimwengu, anasema kuwa Israel haitamaliza miji yote ndipo atarudi, pia ufunuo unasema kuwa ni mpaka huyo mpinga kristo atawale na kuifanya dunia nzima iwe chini yake.

Kwa sasa hata huyo mtawala bado hajatokea, hizi vuguvugu ni mwendelezo wa NWO ili baadae akija huyo mpinga kristo alete huo upatanisho na kuwafanya wanadamu wote tuwe kitu kimoja bila kujali tofauti ili aabudiwe yeye na ibilisi.
 
Hata uingereza ilikuwa super power hapo awali na ikapotea kwenye usuper power enyi Marekani liangalieni hili
Ndo maana anajilinda saana kuingia vitani kwa 100% anazunguka zunguka tu.
 
Nakubaliana na ww nilipata sikia kabla vita aijaanza vya Syria Kwamba mwisho wa dunia utaanzia vita vya Syria na mpaka atakapokuja yesu kutangaza haki
Ngoja nisubili allah anipe mwisho mwema
Una ushahidi gani juu ya hilo?
 
Baada ya Trump kushindwa kuleta machafuko Marekani kama ilivyokuwa imepangwa na Illuminati kwa kutumia Presidential Decrees zake za kijinga chokozi,sasa anajaribu kete nyingine kama pia ilivyopangwa na Illuminati.And that is, confrontation with Russia,ili hatimaye kuleta WW III.Kama atafanikiwa kwa sasa sijui,lets wait and see.Tusisahau kwamba Trump ni senior member of the Illuminati.
Huko Urusi hao illuminat hawapi
 
Oppose, China, Iran, Russia...mpangilio wa Mabestitos?!!

Teh!, yaishe vizuri tu, this Sh!t is real people.
Turkey nahisi kajitoa tokea jaribio la kumpindua rais wa uturuki kufeli.
Hawana hamu tena na Washington.
 
Turkey nahisi kajitoa tokea jaribio la kumpindua rais wa uturuki kufeli.
Hawana hamu tena na Washington.
Nani kakuongopea?! Juz baada ya shambuliz la US, Turkey iliipongeza sana US kwa shambuliz hilo na kusema kwamba itaunga mkono operation yoyote ya Marekani nchini Syria.
Tafuta YouTube umsikilize Rais wa Turkey ndugu acha ubahili MBs haya mambo mbna yapo waz.
 
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
60255da65e95ef3af30ab162145fcfae.jpg
Safari hii kichaa kapewa rungu.

Walizid kumwonea Obama wa watu, haya sasa Chuma hicho kitawabatiza kwa moto na sio maji km Baba Sasha.
 
Inasemekana kuna bomba la gesi linatakiwa kupita Syria kwenda Ulaya, kumbuka uchumi wa Russia unategemea sana gesi. Na bombs haliwez kupita km Syria ikiwa chin ya Assad, hvyo Putin lzm amlinde kwa nguvu zote sababu km hilo bomba likifanikiwa kupita bhas Russia itakua na hali mbaya sana kiuchumi kutokana na kuharibika kwa biashara yake ya Gas.


Unamaanisha haliwezi kupita kama Assad hayupo...Interesting.
 
Back
Top Bottom