Robert James Masunga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 414
- 395
propaganda
propaganda
Tena isipitw hivihivi tu, isubiri kilw kiumbe kiwepo ndani kisha kifyatue madude yaelekee humo ndani. Tushachoka na upumbavu.Kwa jina la baba na la mwana na roho mtatifu, Amen.
Naomba ipitie magogoni pale
kwa wafuatiliaji hiyo meli ilivuka istabul asubuhi ya saa mbili ikija mediterrania na ilipaswa kufika jioni pale syria,adimiral Griogorovich ilitanguliwa na Admiral Nikolay filchenkov ambayo ni landing craft ambayo yenyewe ilivuka instabul jana jioni .Yes nimeingia fox news nikaipata kama breaking news.
kwa wafuatiliaji hiyo meli ilivuka istabul asubuhi ya saa mbili ikija mediterrania na ilipaswa kufika jioni pale syria,adimiral Griogorovich ilitanguliwa na Admiral Nikolay filchenkov ambayo ni landing craft ambayo yenyewe ilivuka instabul jana jioni .Yes nimeingia fox news nikaipata kama breaking news.
kwa wafuatiliaji hiyo meli ilivuka istabul asubuhi ya saa mbili ikija mediterrania na ilipaswa kufika jioni pale syria,adimiral Griogorovich ilitanguliwa na Admiral Nikolay filchenkov ambayo ni landing craft ambayo yenyewe ilivuka instabul jana jioni .Yes nimeingia fox news nikaipata kama breaking news.
Aliyoyasema kuhusu Syria na anayofanya sasa hivi ni tofauti kabisa! Tuombe tu mrusi akae pembeni vinginevyo maisha yatabadilika sana shuhudia bei ya petroli itakavyopanda na hivyo kupandisha bei ya kila kitu.
hiyo meli ni mpya,imeingia katika service mwaka 2016,inatumika russia na india,hiyo meli ilikuwepo syria wiki iliyopita kabla hajaondoka kwenda blacksea kushiriki mazoezi ya kijeshi na meli za uturuki na iliitwa kurudi syria baada ya kuwepo huko blacksea kwa siku tano tuUrusi hana vitu,vyombo vyake vingi vilitengenezwa kabla ya haijavunjia.kwa sasa hana vyombo basi tu ni putin ana amini anaweza zuia vita hii sababu syria ni njia mija wapo wa kuelekea mwisho wa dunia.
Yan hakuna siku jf imenichekesha km Leo. Kuna watu wana majibu mpk bhas.

Nahitaji msyria housegal!
Ndio maana kauliza.Mpe jibu sasa.Kwa swali hilo unaonyesha kuwa una uelewa mdogo sana wa masuala haya......
Hii issue ya watu wanaokutana faragha na kupanga mbinu za kuihadaa dunia kwa vita za kutengeneza sijui itaisha lini?Yaani Trump ma Puttin wanajifanya hawajuani kumbe lao moja.Only God Knows...
It's not something to be enjoyed unless you don't know its implications! The third world war is around the corner! No country will be exempted! The formula of any world is: "You are either with us or against us"Chess game began.. Lets wait and enjoy the show..
Wafanyabiashara wana mbinu nyingi sana za kukuza uchumi wao.Mataifa makubwa yapo kibiashara kupitia viongozi wao.Pia mafanikio ni siri sirini.TrumPutin Business.....Interesting, mkuu umenifanya niwaze kidogo. Trump alivyokuwa anam defend Putin tofauti na viongozi wengine wa Magharibi, halafu hapa Russian warship inasogea kwenye eneo la tukio, nawaza kuna la zaidi au ni muscle flexing.

Kwa hali ilivyo sasa lazima marekani ale kona!It seems the battle has just begun