bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,836
- 4,152
Enjoy the show!!!!Chess game began.. Lets wait and enjoy the show..
Enjoy the show!!!!Chess game began.. Lets wait and enjoy the show..
tatizo Russia hana washirika wa kuaminika. ni ngumu kushinda vita peke yake. uwezo huo hana.Kwanini unadhani Russia atachapwa na US....!?
Muacheni urusi na putin walete pua zao tu,atachapwa na hatafanya lolote lile.
tatizo Russia hana washirika wa kuaminika. ni ngumu kushinda vita peke yake. uwezo huo hana.
washirika wengi wa russia ni 'maskini jeuri'Hakuna mshirika hata mmoja wa Russia mwenye uchumi unaoweza kuhimili vita.....
washirika wengi wa russia ni 'maskini jeuri'
Ktk vita huwa wanatumia zana na mbinu au pesa...??Hakuna mshirika hata mmoja wa Russia mwenye uchumi unaoweza kuhimili vita.....
Na yule Vietnam nae ana uchumi mkubwa kama US...?washirika wengi wa russia ni 'maskini jeuri'
Waambie wamshambulie Mapanki...Hakuna mshirika hata mmoja wa Russia mwenye uchumi unaoweza kuhimili vita.....
Ktk vita huwa wanatumia zana na mbinu au pesa...??
Bila shaka utakuwa msabatoBaada ya Trump kushindwa kuleta machafuko Marekani kama ilivyokuwa imepangwa na Illuminati kwa kutumia Presidential Decrees zake za kijinga chokozi,sasa anajaribu kete nyingine kama pia ilivyopangwa na Illuminati.And that is, confrontation with Russia,ili hatimaye kuleta WW III.Kama atafanikiwa kwa sasa sijui,lets wait and see.Tusisahau kwamba Trump ni senior member of the Illuminati.
Tuambie wewe mwenyewe uelewa, huyo Vietnam alikuwa na uchumi gani mpaka ikawezekana kuhimili ile vita na mwenye uchumi mkubwaKwa swali hilo unaonyesha kuwa una uelewa mdogo sana wa masuala haya......
Urusi hahitaji washirika Wengi kwanza wa kazi gani! Mataifa ya barani Ulaya yote yanajua Urusi ana uwezo wa kuwamaliza ndani ya Masaa au Mwenzetu hujui sababu za kuanzishwa kwa Umoja wa NATO?tatizo Russia hana washirika wa kuaminika. ni ngumu kushinda vita peke yake. uwezo huo hana.
ahahaha! mradi Israel yupo upande wetu, Russia ni mwepesi mno.Urusi hahitaji washirika Wengi kwanza wa kazi gani! Mataifa ya barani Ulaya yote yanajua Urusi ana uwezo wa kuwamaliza ndani ya Masaa au Mwenzetu hujui sababu za kuanzishwa kwa Umoja wa NATO?
Mmh hili swali limenifanya ni logout jf kwa leo..tuonane kesho aiseeKtk vita huwa wanatumia zana na mbinu au pesa...??