Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

urusi afyate tu mkia. kama angekuwa na uwezo kuilinda syria alitakiwa ailinde tangu mwanzo. anasubiri imeshasambaratishwa hajabakiwa na kitu halafu ndio anajifanya kuilinda, si unafiki huo? jaribu kufikiri unaye rafisi anayejiita rafiki yako, anasubiri umepigwa kipigo cha mbwa mwizi ndio anakuja kukulinda wakati alikuwa na uwezo wote kukulinda usitolewe meno...si unafiki huo?
 
0309e04079d76527fe206260e687ed23.jpg

Nimejifunza umuhimu wa kuweka akiba ya maneno
 
Wakuu meli ya kivita ya Urusi inaelekea ktk uwanjani wa mapambano

Source Fox news
5350e468e25341d092973c8ba49e443a.jpg
Baada ya Trump kushindwa kuleta machafuko Marekani kama ilivyokuwa imepangwa na Illuminati kwa kutumia Presidential Decrees zake za kijinga chokozi,sasa anajaribu kete nyingine kama pia ilivyopangwa na Illuminati.And that is, confrontation with Russia,ili hatimaye kuleta WW III.Kama atafanikiwa kwa sasa sijui,lets wait and see.Tusisahau kwamba Trump ni senior member of the Illuminati.
 
Stoke yangu ya petrol niinunue kabisa maana petrol itapanda sana
 
wafike wapambane sasa, hatutaki kusikia story nyingine, make US keshashambulia bila shaka russia nae anaenda kukidestroy kile chombo kilicholauch yale mashambulizi
 
Ngoja ajilengeshe atwangwe vilivyo! Dunia nzima kwenye hili inamuunga mkono Trump ispokuwa Russia, labda na china na vile vikorea kask.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
urusi afyate tu mkia. kama angekuwa na uwezo kuilinda syria alitakiwa ailinde tangu mwanzo. anasubiri imeshasambaratishwa hajabakiwa na kitu halafu ndio anajifanya kuilinda, si unafiki huo? jaribu kufikiri unaye rafisi anayejiita rafiki yako, anasubiri umepigwa kipigo cha mbwa mwizi ndio anakuja kukulinda wakati alikuwa na uwezo wote kukulinda usitolewe meno...si unafiki huo?
The US violated agreement otherwise Russian might took some actions very early.
Subiri utaona sasa
 
Nj marekani alitumia ujanja wa kuzuia mapigano na urusi akajua vita itamalizwa kwa mazungumzo. Hata hivyo tukio la juzi jumanne shambulio la silaha za sumu ni kama limeanzisha Vita sasa na pia nahisi marekani ametumia hii kama sababu tu. Hawaaminiki wamaerkani
 
The US violated agreement otherwise Russian might took some actions very early.
Subiri utaona sasa
action yeyote atakayochukua russia haitasaidia chochote. zaidi sana Russia ni mnafiki. kama syria ni rafiki yao walitakiwa kuwalinda kabla jiji lile nililolipenda, jiji lililokuwepo tangu enzi za mtume paulo, halijasambaratishwa. sasaivi lile jiji na majengo yake mazuri ya kizamani yamebaki magofu tu...kuna faida gani kuwa rais kwenye nchi kama hiyo, kuna faida gani kujifanya rafiki unawatetea wakiwa wameshakufa wakati wakiwa hai ulikuwa umejifungia chumbani na kujifanya unafanya mikutano na wabaya wake? unafiki tu kama wa bashite tu.
 
Sijui hali ikiwa tete huko hapa kwetu hali itakuaje na Sizonje wetu.
 
Back
Top Bottom