Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
China kwenye list mtoe mzeee wa neutral huyo
Kama kawaida mzee wa fursa, pengine anaangalia maslahi zaidi.
China kwenye list mtoe mzeee wa neutral huyo
Nahisi hujanielewa. Rudia tena kusoma.Unamaanisha haliwezi kupita kama Assad hayupo...Interesting.
Nahisi hujanielewa. Rudia tena kusoma.
Madam, that is called Proxy war,Got you!, nimekuelewa sasa.
If it's the case, hii ni USA vs Russia indirectly. Na hiyo regime change aliyotamka Nikki Haley halafu akajirudi pengine wanataka kufanya kweli.
Madam, that is called Proxy war,
Tofautisha vita na inversionSamtaimu vita ni mbinu siyo vifaru na nguvu ya pesa
Mbona USA ilifeli vita ya Ghuba na Vietnam?
Marekani aache kuonea wanyonge kila siku..kama yeye mwanaume apeleke pua yake North Korea..!



mwanzon ulikuwa unasema hawezi kugusa maana urusi yuko pale




Ukiangalia kwa upande wa pili maana ya NATO ni kuwa protected na marekaniUrusi hahitaji washirika Wengi kwanza wa kazi gani! Mataifa ya barani Ulaya yote yanajua Urusi ana uwezo wa kuwamaliza ndani ya Masaa au Mwenzetu hujui sababu za kuanzishwa kwa Umoja wa NATO?
This Madam is "something"...huh, you know 😎Thanks Dominus, madam just learned something good. 🙂
Anapigana sanaHapa duniani Hamna Taifa la kupigana na Murusi,Taifa kwa Taifa.Hata huyo USA hana uwezo wa kupigana na Mrusi akiwa Mwenyewe atatafuta Mshirika lakini Urusi anauwezo wa kupigana na Taifa lolote akiwa Mwenyewe.
Mungu si Athumani,Alipo lipa Taifa Moja Nguvu za kiuchumi,amelipa Taifa lingine nguvu za Kijeshi Isingekuwa hivyo USA angekuwa na vyote angenyanyasa sana huu ulimwengu.
RT-Russia Today
Waliambiwa
RT-Russia Today
Shirika la warussi
Waliambiwa
Maneno ya washindwajiUpo sahihi. Ule mkataba ulikuwa unainyima nguvu urusi kushambulia ndege au makombora ya marekani. Kwa sasa yupo free kushambulia pamoja na kujitetea kuwa alikuwa analinda mitambo yake ya gharama kubwa iliyowekwa syria. Hata CNN wanachambua wanasema Russia ilikuwa na uwezo wa kushambulia makombora yote ya TOMAHAWK Yaliyorushwa. Pia Putin kaonekana mjanja zaidi kwa kutokukurupuka ili aweze kuusoma mchezo na nia halisi ya US
Ndo nnachokisema kila siku.Km yameanguka si watuonyeshe yalipoangukia maana km kombora la Syria lililotunguliwa na Israel liliangukia Jordan na picha tukaonyeshwa sembuse yaliyoangukia humo Syria. Warusi wakubali tu kwamba US imewashangaza kwa uwezo was Tomahawk kukwepa radar detection.Naona Warusi wanataka kuwa wajinga sasa
Kwanini wasieleze hayo mengine yalidondokea wapi? Ili tujue ukweli
Wao wanalalamika tuuu mwisho wa siku wanakuja sema kuwa 23 tu ndio yakidondoka hapo
Hawaongelei ndege zilizopigwa au radar yao iliyotunguliwa
Tusibishane sana hapa na ulaya ni mbali sana,kama una ndugu au rafiki yako katika nchi za ulaya na ana uelewa na hayo mambo muulize atakupa jibu!Kakwambia Nani acha ushabik wa kijinga wewe Russia hasubutu kugusa nchi yoyote ya NATO coz anaelewa ugumu wake
Mitambo yote mikali ya Russia unayoijua wewe iko kule kasoro nuclear relatedBasi kama wao wanaume watumie tena hizo chems waone watachofanywa na Urusi akiwepo maana si wamezima channel ya nawasiliano