Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

tatizo hauko up to date,
huo uwanja unatumika tangu jana na mashambulizi yanapiga kulekule walikosemwa wamepigwa chemical weapons ,na sasa waasi wanaongea kuhusu kuuachia huu mji.
https://pbs.twimg.com/media/C85F55RXsAA9hny.jpg:small[/ing].

Homs
Mkuu mda mwingine acha kupotosha watu. Hv ni wapi Marekani kasema atashambulia njia za ndege kuruka?!
Tangu alhamisi siku ya mashambuliz marekani walitaja sehem ambazo zimeshambuliwa ikiwemo ndege, maghala ya kuhifadhia silaha, rada, air defenses, nk
Na wamarekani wamesema makombora yote yalihit target... Sasa huyo mrusi wako anaesema kwamba hayakuhit target mbona hajatuletea picha ya kombora hata moja lililoanguka njian?!
Maana wanasema makmbora km 30 hayakuhit target yameanguka humohumo Syria, ushahid upo wap?!
 
75ee0f5822747b26f4929284fe55c4da.jpg


Of course RT wamekuja na target number ndogo.
 
Mkuu mda mwingine acha kupotosha watu. Hv ni wapi Marekani kasema atashambulia njia za ndege kuruka?!
Tangu alhamisi siku ya mashambuliz marekani walitaja sehem ambazo zimeshambuliwa ikiwemo ndege, maghala ya kuhifadhia silaha, rada, air defenses, nk
Na wamarekani wamesema makombora yote yalihit target... Sasa huyo mrusi wako anaesema kwamba hayakuhit target mbona hajatuletea picha ya kombora hata moja lililoanguka njian?!
Maana wanasema makmbora km 30 hayakuhit target yameanguka humohumo Syria, ushahid upo wap?!
kuna wanaosema makombora yalikuwa yanaelekea kuexpire sasa pengine yamedondokea baharini,
wapo wanaodai syria air defence S-22 Greyhound imedungua hayo 36 japo hakuna ushahidi physically,lakini walikuwa na warning ya dakika 90 na lazima system ilikutwa iko tayari,
haiwezekani kombora zote 59 zihit pale halafu uhalibifu uwe kidoge kiasi kile,
hakuna mabaki yanaonekana maeneo ya uwanja kutosha kombora 59.

Zile ndege hazikupigwa makombora bali zimecatch fire baada ya milipuko,kwani ndege zimeungua zikiwa ndani ya hanga lakini hangar zinaonekana hazijabomoka zaidi ya kupata weusi wa moshi ,kuna hangar moja tu ndo lilimomonyoka kiasi,unless labda tomahawk ziliingia kupitia roof na wapiga picha hawakupiga tundu zilimopitia,
kwani kwa angle ya mlango wa hangar sielewi kombora limefanya manuva yapi kuingilia mlangoni kwenda kulipua ndege ndani na kuliacha hangar zima.

Kumbuka syria defence system zake ni mobile ,yaani inahamishika in a short notice,na walikuwa na dakika 90 za kuescape,kama makombora yameharibu airdefence maana yake ni kuwa wale askari wanne walijitolea maisha na kubaki kujibu mashambulizi,so kuna uwezekano baadhi ya kombora zilidunguliwa,
anyway usipanick sana bado tunafatilia kwa karibu what really happened kabla hatujaweka data kamili hapa
 
its Russia vs USA. huku kwetu ni Watanzania vs Bashite
 
kuna wanaosema makombora yalikuwa yanaelekea kuexpire sasa pengine yamedondokea baharini,
wapo wanaodai syria air defence S-22 Greyhound imedungua hayo 36 japo hakuna ushahidi physically,lakini walikuwa na warning ya dakika 90 na lazima system ilikutwa iko tayari,
haiwezekani kombora zote 59 zihit pale halafu uhalibifu uwe kidoge kiasi kile,
hakuna mabaki yanaonekana maeneo ya uwanja kutosha kombora 59.

Zile ndege hazikupigwa makombora bali zimecatch fire baada ya milipuko,kwani ndege zimeungua zikiwa ndani ya hanga lakini hangar zinaonekana hazijabomoka zaidi ya kupata weusi wa moshi ,kuna hangar moja tu ndo lilimomonyoka kiasi,unless labda tomahawk ziliingia kupitia roof na wapiga picha hawakupiga tundu zilimopitia,
kwani kwa angle ya mlango wa hangar sielewi kombora limefanya manuva yapi kuingilia mlangoni kwenda kulipua ndege ndani na kuliacha hangar zima.

Kumbuka syria defence system zake ni mobile ,yaani inahamishika in a short notice,na walikuwa na dakika 90 za kuescape,kama makombora yameharibu airdefence maana yake ni kuwa wale askari wanne walijitolea maisha na kubaki kujibu mashambulizi,so kuna uwezekano baadhi ya kombora zilidunguliwa,
anyway usipanick sana bado tunafatilia kwa karibu what really happened kabla hatujaweka data kamili hapa
Ngoja nilale asubuhi ntakujibu kuifasaha kwa FACTS za kutosha leo jukwaa la Siasa limenichosha sana.

Ila nakupa Homework: Nenda kachunguze makombora aliyoyatumia US kupiga ile kambi yalikua na kiasi gani cha milipuko na kwanini?!

Asubuhi ntakuletea materials yote ikiwemo videos.
Good night.
 
Jana mwenyewe umeona manowari yalienda,ajari tena aona cha mtema kuni,aache kuvizia,marekani ni muoga tu mbona anashitukiza ,mwanaume asema marekani ikirudia kuishamburia inakutana na majibu sahihi


Walivyo rusha yale makombora watu humu ngonjera kibao, haya sasa mzee wa kazi kaingia nangojea zile ngonjera za Sizonje
 
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
Agiza soda mkuu naja kulipa
 
Unaandika kitu gani mkuu?Ile base ya jeshi ya ndege ya za kivita kurushiwa makombora zaidi ya 50 sio kitu kidogo .Ni uharibifu mkubwa umefanyika dhidi ya majeshi ya Syria.Naona unaandika habari kushabiki zaidi!
Mwenzio katoa kiambatanisho cha ushahidi kama picha za eneo la tukio.

Tuonyeshe wewe basi ushahidi wako..
 
Nakubaliana na ww nilipata sikia kabla vita aijaanza vya Syria Kwamba mwisho wa dunia utaanzia vita vya Syria na mpaka atakapokuja yesu kutangaza haki
Ngoja nisubili allah anipe mwisho mwema
Waswahili mnachekesha sana eti
 
Acha fix... Wenyewe Syria wamesema makombora yote yamefanya uharibifu mkubwa wewe wa mbande Unabishana
naona unabisha tu bila kuweka input,kama mkulima fulani maana huna fact,
mimi nasema hapakuwepo uhalibifu wa maana kivile na ndo maana jana hiyohiyo kiwanja kikaanza kutumika na ndege zikaanza kwenda kushambulia kul)kule wanakodai walipigwa silaha za sumu,
au ulitaka russia ashambulie new york?.
Kama US nae anajiamini kwanini basi awape taarifa russia kabla hajashambulia?matokeo yake kashambulia kiwanja kitupu na vitu visivyohamishika kama ndege zilizokuwa workshop
 
Acha fix... Wenyewe Syria wamesema makombora yote yamefanya uharibifu mkubwa wewe wa mbande Unabishana
naona unabisha tu bila kuweka input,kama mkulima fulani maana huna fact,
mimi nasema hapakuwepo uhalibifu wa maana kivile na ndo maana jana hiyohiyo kiwanja kikaanza kutumika na ndege zikaanza kwenda kushambulia kul)kule wanakodai walipigwa silaha za sumu,
au ulitaka russia ashambulie new york?.
Kama US nae anajiamini kwanini basi awape taarifa russia kabla hajashambulia?matokeo yake kashambulia kiwanja kitupu na vitu visivyohamishika kama ndege zilizokuwa workshop
 
Nashangaa Waswahili huku tunatoana jasho bure, huu mpango upo siku nyingi kwenye makabrasha yao wazungu kwamba ili ISRAEL iwe salama pale mashariki ya kati , lazima nchi zote korofi na zenye maraisi radical kuipinga Israel waondolewe,Na Marekani na Israel ziwaweke vibaraka wao.

Nchi hizo ni Misri, Libya, Iraq, Iran , Lebanon na Syria,.
Libya, Iraq na Misri walimalizana nao, na sasa ni zamu ya Syria ,miezi kadhaa ijayo wataanza na Iran mara tu baada ya Asad kutoka. Lebanon hana ubavu sana, sababu anabebwa na Syria na Iran.


Nia kubwa nyuma ya pazia ni Israel asibugudhiwe.
Yawezekana ukawa ndio mpango wao. Lakini hii itawezekana kwa Iran?????? Hata kwa Syria inakuwa ngumu.
 
Long live Israel. Bwana Mungu wa Yakobo akiwa upande wako, nani wa kushindana nawe? Na ameapa hatokuacha kamwe sawa sawa na Neno lake. Mwisho unajulikana kabla ya mwanz haujawepo.. Bwana jina lako libarikiwe. Amen.
Useless black man /woman,,,,, useless at all,,,,, i pray to Almighty God to grab your remaining time in this world and give another to another creature, may be a dog would be better so that we can enjoy its presence at home!!! Useless at all..........
 
naona unabisha tu bila kuweka input,kama mkulima fulani maana huna fact,
mimi nasema hapakuwepo uhalibifu wa maana kivile na ndo maana jana hiyohiyo kiwanja kikaanza kutumika na ndege zikaanza kwenda kushambulia kul)kule wanakodai walipigwa silaha za sumu,
au ulitaka russia ashambulie new york?.
Kama US nae anajiamini kwanini basi awape taarifa russia kabla hajashambulia?matokeo yake kashambulia kiwanja kitupu na vitu visivyohamishika kama ndege zilizokuwa workshop
Ndugu yangu unabishana watu ambao hawafatilii mambo maana hata mimi nimeona uwanja huo ulio shambuliwa ambao tunaambiwa umearibika kabisa jana unafanya kazi kama kawaida na hata ukiangalia jana wakati wakuu wa jeshi la Syria wanaukagua huo uwanja hauonyeshi kama hayo makombora yote 59 yalilenga target hapo maana ni sehemu chache tu ndio zinazoonekana kuaribika
 
Back
Top Bottom