Kwaani,vita ya tatu ya dunia mbona hapa kwetu tunapigana sasa mwaka na nusuWWW3 ikitokea mwaka huu itakuws poa sana
Kwaani,vita ya tatu ya dunia mbona hapa kwetu tunapigana sasa mwaka na nusuWWW3 ikitokea mwaka huu itakuws poa sana
Long live Israel. Bwana Mungu wa Yakobo akiwa upande wako, nani wa kushindana nawe? Na ameapa hatokuacha kamwe sawa sawa na Neno lake. Mwisho unajulikana kabla ya mwanz haujawepo.. Bwana jina lako libarikiwe. Amen.
Dunia nzima ipi mkuu,mimi simuungi mkono,na naamini wengi wanaojua kinachoendelea duniani hawamuungi mkono.Maamuma ndio wanaomuunga mkono.This is an Illuminati iniated scenario.Sasa kama wewe unawaunga mkono Illuminati na ujinga wao,sawa.Otherwise it seems you do not know what you are supporting.Ngoja ajilengeshe atwangwe vilivyo! Dunia nzima kwenye hili inamuunga mkono Trump ispokuwa Russia, labda na china na vile vikorea kask.
Theoretically dunia nzima inakuhusisha wewe, ila practically nikisema dunia nzima kwenye ishu kubwa kama hii wewe ni exclusiveDunia nzima ipi mkuu,mimi simuungi mkono,na naamini wengi wanaojua kinachoendelea duniani hawamuungi mkono.Maamuma ndio wanaomuunga mkono.This is an Illuminati iniated scenario.Sasa kama wewe unawaunga mkono Illuminati na ujinga wao,sawa.Otherwise it seems you do not know what you are supporting.
Ukiona baba na mama wanapigana fichama uvunguni zisije zile hasira zikahamia kwako Mungu tusaidie giant nation zikichafuka Africa hatuko salama
Safi kabisa lakini 2sikubali kutawaliwa kama zamani ili 2pate mademu ya kizungu
Hiyo fox news si ndio TBC waliingia mkenge wa habri zao.Trump kamsifia Sizonje wakaangukia pua!
Mmh hili swali limenifanya ni logout jf kwa leo..tuonane kesho aisee
We jamaa ni muongo balaahiyo meli ni mpya,imeingia katika service mwaka 2016,inatumika russia na india,hiyo meli ilikuwepo syria wiki iliyopita kabla hajaondoka kwenda blacksea kushiriki mazoezi ya kijeshi na meli za uturuki na iliitwa kurudi syria baada ya kuwepo huko blacksea kwa siku tano tu
Bosi unajua hata yale madege ya kivita kuya operate wakati wa vita yanagharimu pesa ngapi kwa dakika? Sasa ndio upige mahesabu ya miaka kadhaa. Hako ka vita ketu tu na uganda kalituacha na njaa kubwaKtk vita huwa wanatumia zana na mbinu au pesa...??
Nakubaliana na ww nilipata sikia kabla vita aijaanza vya Syria Kwamba mwisho wa dunia utaanzia vita vya Syria na mpaka atakapokuja yesu kutangaza hakiUrusi hana vitu,vyombo vyake vingi vilitengenezwa kabla ya haijavunjia.kwa sasa hana vyombo basi tu ni putin ana amini anaweza zuia vita hii sababu syria ni njia mija wapo wa kuelekea mwisho wa dunia.

What! You can't be seriousWWW3 ikitokea mwaka huu itakuws poa sana

Hahaha Mbona mwanzo mlisema USA kaufyata Allepo mnaanza kujipa moyo na tu warship ...kama Moscow inataka kuwa Mbagala basi aingie vitani Hhhhhhh Donald J. Drumpf.. The Pentagon King Acha waisome namba ya kiarabuRaha ya mrusi ndoo hii,mwanaume kaamua kuingiza meli za vita kazini,kama kweli mmarekani mwanaume ajaribu tena kuishamburia,




Unachanganya maada nenda Israel sio hapa TZLong live Israel. Bwana Mungu wa Yakobo akiwa upande wako, nani wa kushindana nawe? Na ameapa hatokuacha kamwe sawa sawa na Neno lake. Mwisho unajulikana kabla ya mwanz haujawepo.. Bwana jina lako libarikiwe. Amen.