Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
Hapa duniani Hamna Taifa la kupigana na Murusi,Taifa kwa Taifa.Hata huyo USA hana uwezo wa kupigana na Mrusi akiwa Mwenyewe atatafuta Mshirika lakini Urusi anauwezo wa kupigana na Taifa lolote akiwa Mwenyewe.ahahaha! mradi Israel yupo upande wetu, Russia ni mwepesi mno.
Mungu si Athumani,Alipo lipa Taifa Moja Nguvu za kiuchumi,amelipa Taifa lingine nguvu za Kijeshi Isingekuwa hivyo USA angekuwa na vyote angenyanyasa sana huu ulimwengu.