Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Hii vita ya syria inaweza kuchukua miaka hata 50 inabidi kuzoea tu,
kwasasa baada ta Russia kurudisha manowari zake hapo,mmarekani atatulia tena,
laiti kama putin angelegea jana tena tungeshuhudia makombora yakitua syria na regime change ingeanzia hapo,
sasa kina Trump wamepima wakaona putin atakomaa,wameona waishie hapo eti walikuwa wanatuma message tu Assad ajirekebishe.

Wakati yule waziri wa mambo ya nje tayari alishasema ,"Regime change is on,and Assad has no role to play in syria anymore"
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
 
Hii vita ya syria inaweza kuchukua miaka hata 50 inabidi kuzoea tu,
kwasasa baada ta Russia kurudisha manowari zake hapo,mmarekani atatulia tena,
laiti kama putin angelegea jana tena tungeshuhudia makombora yakitua syria na regime change ingeanzia hapo,
sasa kina Trump wamepima wakaona putin atakomaa,wameona waishie hapo eti walikuwa wanatuma message tu Assad ajirekebishe.

Wakati yule waziri wa mambo ya nje tayari alishasema ,"Regime change is on,and Assad has no role to play in syria anymore"
Unaandika kitu gani mkuu?Ile base ya jeshi ya ndege ya za kivita kurushiwa makombora zaidi ya 50 sio kitu kidogo .Ni uharibifu mkubwa umefanyika dhidi ya majeshi ya Syria.Naona unaandika habari kushabiki zaidi!
 
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
Upo sahihi. Ule mkataba ulikuwa unainyima nguvu urusi kushambulia ndege au makombora ya marekani. Kwa sasa yupo free kushambulia pamoja na kujitetea kuwa alikuwa analinda mitambo yake ya gharama kubwa iliyowekwa syria. Hata CNN wanachambua wanasema Russia ilikuwa na uwezo wa kushambulia makombora yote ya TOMAHAWK Yaliyorushwa. Pia Putin kaonekana mjanja zaidi kwa kutokukurupuka ili aweze kuusoma mchezo na nia halisi ya US
 
Smart bomb siyo mchezo. Walenga shabaha wa US nimewakubali.
Zile ni Cruise Missiles.. pia kati ya 59 NI 23 zilihit target. Hii imeonyesha ni kiasi gani cruise missiles za US zilivyo weak. Uchunguzi unafanyika kujua hizo 36 zilidondokea wapi.
 
Nashangaa Waswahili huku tunatoana jasho bure, huu mpango upo siku nyingi kwenye makabrasha yao wazungu kwamba ili ISRAEL iwe salama pale mashariki ya kati , lazima nchi zote korofi na zenye maraisi radical kuipinga Israel waondolewe,Na Marekani na Israel ziwaweke vibaraka wao.

Nchi hizo ni Misri, Libya, Iraq, Iran , Lebanon na Syria,.
Libya, Iraq na Misri walimalizana nao, na sasa ni zamu ya Syria ,miezi kadhaa ijayo wataanza na Iran mara tu baada ya Asad kutoka. Lebanon hana ubavu sana, sababu anabebwa na Syria na Iran.


Nia kubwa nyuma ya pazia ni Israel asibugudhiwe.
Na hapo ndio patakapoibuka WW3. kwa sasa nchi kama Syria na Iran ndio nchi pekee ambazo hazipo kwenye influence ya US. Kwa maana hii Russia anajitahidi sana kuhakikisha hizi nchi zinakuwa chini ya himaya yake so usitegee Russia atakubali Syria au Iran iwe na Rais kibaraka wa US. hiyo haitakuja kutokea. Hao ni RASSIAN ALLIES na ndio maana siku zote anapiga kura ya VETO ili kuzilinda hizo nchi. Sasa hivi RUSSIA Wameannoince ku bolster Syrian air defence system ili usitokee iweze kujitetea yenyewe. Anytime Russia anaweza kushambulia Iraq kama kulipa kisasi kwa Syria maana hata kule Mosul raia wanauwawa na makombora ya US. So usishangae airbases za Iraq zikapigwa kwa style ile ile au kwa ndege za kivita nia ni kuiumiza US. Na US hawezi kujibu mapigo maana sio ardhi yake imeshambuliwa kama Russia alivyokaa kimya maana sio Ardhi yake imepigwa
 
Hii ishu ya Syria wakuu ukiitizama kwa jicho la tatu itakuja kuwa na mwisho mbaya Sana kwani mambo yanavyoenda hata hayaeleweki kabisa tena Kama hii ishu ya chemical gas ya juzi inaonekana Kama imesukwa makusudi kwa lengo mahususi ,vita ya nyuklia inanukia kabixa
kweli. wameisuka makusudi ili wapate sababu ya kumvamia asaad
 
Wakuu meli ya kivita ya Urusi inaelekea ktk uwanjani wa mapambano

Source Fox news
5350e468e25341d092973c8ba49e443a.jpg
Hakuna kitu warusi wamebakia wazee Wa mikwaraa tuu .
 
Unaandika kitu gani mkuu?Ile base ya jeshi ya ndege ya za kivita kurushiwa makombora zaidi ya 50 sio kitu kidogo .Ni uharibifu mkubwa umefanyika dhidi ya majeshi ya Syria.Naona unaandika habari kushabiki zaidi!
tatizo hauko up to date,
huo uwanja unatumika tangu jana na mashambulizi yanapiga kulekule walikosemwa wamepigwa chemical weapons ,na sasa waasi wanaongea kuhusu kuuachia huu mji.
https://pbs.twimg.com/media/C85F55RXsAA9hny.jpg:small[/ing].

Homs
 
Hii vita ya syria inaweza kuchukua miaka hata 50 inabidi kuzoea tu,
kwasasa baada ta Russia kurudisha manowari zake hapo,mmarekani atatulia tena,
laiti kama putin angelegea jana tena tungeshuhudia makombora yakitua syria na regime change ingeanzia hapo,
sasa kina Trump wamepima wakaona putin atakomaa,wameona waishie hapo eti walikuwa wanatuma message tu Assad ajirekebishe.

Wakati yule waziri wa mambo ya nje tayari alishasema ,"Regime change is on,and Assad has no role to play in syria anymore"
Kibabu putin Hana jipya....analeta mkwara wa mende kutingisha kabati... Mimi nilijua hasira zake na yeye atashambulia kumbe anaongeza kiboti chake.... Sasa ajiulize kiboti kama kile chake mmarekani anazo ngapi?
 
Jana mwenyewe umeona manowari yalienda,ajari tena aona cha mtema kuni,aache kuvizia,marekani ni muoga tu mbona anashitukiza ,mwanaume asema marekani ikirudia kuishamburia inakutana na majibu sahihi
Hana lolote mkwara tu... Alisema hivi hivi kwa Israel hadi leo kimya.... Kama anataka Russia isomwe kwenye historia ajibu kwa lolote lile ndo atajua Kwanini kobe ana tembea na kalai
 
Marekani aliingia syria chini wa mkataba wa 2015 ambapo walikubaliana kuepusha mgongano katika anga la syria. Chini ya makubaliano hayo ni kuwa kila anayeingia anga la syria lazima atoe taarifa kwa mwenzake ili asiruhusu mfumo wake wa ulinzi wa anga kutumika kuepusha mgongano angani! Na ndicho kilichotokea.
Sasa Mrusi ameuvunja mkataba huo na amekata mawasiliano na marekani kuhusu anga la syria. Maana yake ni kuwa kama Marekani atashambulia tena atakutana na mfumo wa ulinzi wa anga wa urusi ukiwa umewashwa! Piga UA Marekani hana ubavu wa kuchezea huo moto!
Kihistoria Marekani huwa hapigi Mara moja tu na kuacha! Lakini kwa syria hana namna hawezi kuuvuka mstari mwekundu uliowekwa na Urusi! Kama alikuwa anapima kina SAA hii keshajua ni MAJI marefu, na atakomea hapo hapo!
Hana lolote tumezoa kila siku putin anapiga mkwala tu alianza na Israel sasa anamchezea sharubu tramp....
 
Zile ni Cruise Missiles.. pia kati ya 59 NI 23 zilihit target. Hii imeonyesha ni kiasi gani cruise missiles za US zilivyo weak. Uchunguzi unafanyika kujua hizo 36 zilidondokea wapi.
Acha fix... Wenyewe Syria wamesema makombora yote yamefanya uharibifu mkubwa wewe wa mbande Unabishana
 
Back
Top Bottom