Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

Russia Warship has entered the Eastern Mediterranean

America wanapotea sasa wakijaribu kupigana anaye bisha asubili kuchamba kwingi,.......utamalizia america wameiaribu dunia mda mrefu sasa wanaalibikiwa wa wao sasa
 
a30361cd48331ed05c17a8b4c5d44f53.jpg
"Poropaganda"
Wayaonyeshe yalikotua kama sio syria.

Urusi inajaribu kutetea ubora feki wa defense systems zao.
 
America wanapotea sasa wakijaribu kupigana anaye bisha asubili kuchamba kwingi,.......utamalizia america wameiaribu dunia mda mrefu sasa wanaalibikiwa wa wao sasa
a502175f886b05ae4161e0200e0d4671.jpg
List ambazo US kazipiga.Marekani kwenye vita ww waache tu.
 
Zionyesheni basi hizo meli za kivita za mwanamieleka ya judo Vladimir Putin.
 
Chess game began.. Lets wait and enjoy the show..
God forbid! Nothing to enjoy on this matter! I tell you both Trump & Putin are having sleepless nights!
In case of war betwey Russia et al and USA et al, no country will be left un affected!
 
Long live Israel. Bwana Mungu wa Yakobo akiwa upande wako, nani wa kushindana nawe? Na ameapa hatokuacha kamwe sawa sawa na Neno lake. Mwisho unajulikana kabla ya mwanz haujawepo.. Bwana jina lako libarikiwe. Amen.
ungejua hata hawamjui huyo Mungu wa Yakobo ungetulia tuu
 
Vladmir simuamini sana anaweza Angusha Nuclear kule USA....Tusubiri tu,huyu jamaa kama mkimya lakini ni balaa.
 
Back
Top Bottom