TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Umejuaje kama zimetoka moshi?Kuna coaster kama tano hivi,zimeingia sasa hivi na watu kutoka Moshi.
Ziliondoka Moshi saa ngapi?
Je wewe ni Wakala wa CHADEMA kwenye masuala ya usafiri?
Kwani CHADEMA haina wafuasi hapa Dar es salaam?Majimbo ya UBUNGO na KAWE yapo chini ya chama gani?je hayana wapigakura wa kutosha wanaoipenda CHADEMA?