Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

Ruling Kuhusu Kesi ya Lema ni Leo!!

Nikijaribu kuchanganua kidogo kwa upeo wangu ni kua CCM sio kwamba hawajui nini kitafuata kama uchaguzi utarudiwa! La hasha wanachokitaka CCM ni kua hawamtaki na wala kumsikia Lema bungeni! wanadai ni bora aje mbunge mwingine wa CHADEMA na sio Lema! Kweli huyu jamaa anawanyima usingizi CCM!
 
Naona defender kama nne zimejaa askari na gari la maji ya kuwasha yamepita maeneo ya
tazara yanaelekea mjini,sijui ndio mahakamani.Hivi watanzania tutaishi kwa kutishana hivi
mpaka lini?
......

Mpaka tutakapoacha kuichagua CCM yenye utawala wa mabavu.
 
Wakipindisha tu hukumu basi wameumia......

Wameumia wakina nani tena? Tuache mahakama iamue tu kama haki ipo basi itakuwepo tu haina shida muhimu ni kuomba Mungu haki itendeke kwa pande zote!
 
Namtakia kila la heri, lakini namuomba yeye na wafuasi wake wakubali matokeo ya aina yoyote kistaarabu.
 
Naombea itumike busara na Lema arudishiwe ubunge wake kama kweli serikali ya ccm ina huruma na kodi za watanzania,kwani hata wakisema ameshindwa rufaa uchaguzi utarudiwa kwa gharama sana na bado jimbo litabaki kwa walewale CHADEMA
 
Nikijaribu kuchanganua kidogo kwa upeo wangu ni kua CCM sio kwamba hawajui nini kitafuata kama uchaguzi utarudiwa! La hasha wanachokitaka CCM ni kua hawamtaki na wala kumsikia Lema bungeni! wanadai ni bora aje mbunge mwingine wa CHADEMA na sio Lema! Kweli huyu jamaa anawanyima usingizi CCM!

kwa muda ambao Lema tumempa ubunge wa nchi nzima ccm wanaomba bora arudishiwe ubunge wake wa Arusha
 
kamanda Lisu yupo? na kuna makamnda gani wengine zaid ya Lema??

Pompo,
Kamanda Lissu hajafika

-Lema amesindikizwa na Mkewe aliyekaa pembeni yake

Pia wapo makamanda Henry Kileo,Renatus Mrashan Katibu wa BAVICHA Dar,Mashuve M/kiti wa BAVICHA Tanga,Wapo Madiwani wengi.

-Diwani Boniphace wa Ubungo yupp njiani na makamanda wengi
 
Pompo,
Kamanda Lissu hajafika

-Lema amesindikizwa na Mkewe aliyekaa pembeni yake

Pia wapo makamanda Henry Kileo,Renatus Mrashan Katibu wa BAVICHA Dar,Mashuve M/kiti wa BAVICHA Tanga,Wapo Madiwani wengi.

-Diwani Boniphace wa Ubungo yupp njiani na makamanda wengi
Tupo pamoja mkuu!
 
Naombea itumike busara na Lema arudishiwe ubunge wake kama kweli serikali ya ccm ina huruma na kodi za watanzania,kwani hata wakisema ameshindwa rufaa uchaguzi utarudiwa kwa gharama sana na bado jimbo litabaki kwa walewale CHADEMA
 
Pompo,
Kamanda Lissu hajafika

-Lema amesindikizwa na Mkewe aliyekaa pembeni yake

Pia wapo makamanda Henry Kileo,Renatus Mrashan Katibu wa BAVICHA Dar,Mashuve M/kiti wa BAVICHA Tanga,Wapo Madiwani wengi.

-Diwani Boniphace wa Ubungo yupp njiani na makamanda wengi......

Endelea kuwajuza watu hivyo hivyo mpaka tamati,maana msije kufanya kama ule uchaguzi wa marudio wa madiwani,baada ya matokeo kuwa magumu upande wenu,hamkuendelea kuwajuza wakereketwa wa chama chenu ni nini kilitokea na kwa sababu gani ilikuwa vile,tofauti na mategemeo ya wengi.
 
Back
Top Bottom