Mkuu asante kwa kutupa ufafanuzi. inaonekana unafahamu sheria vizuri. Hebu tutolee dondoo kidogo ya hayo makosa na je ni nani ameyafanya au kuyasababisha?
Hawa nao wameshindwa kuandika hukumu? Ni zaidi ya wiki sasa baada ya tarehe tuliyoambiwa wangesoma hukumu.Kamanda Sunga hope wamejifunza kwa jaji Rwakibarula aliyemhukumu LEMA.
Hawa nao wameshindwa kuandika hukumu? Ni zaidi ya wiki sasa baada ya tarehe tuliyoambiwa wangesoma hukumu.
Ish mbona picha ya 4 wamekaa chaggaz tupu. Is it a coicedence or planned