Leo ni hukumu ya kesi ya lema au ni hukumu ya pingamizi ya rufaa ya lema please nielewesheni.
Ok nimekupata@ Nyerere kama ambavyo nilikuwa najua kesi ya msingi ya Lema bado. Kilichokuwa kinajadiliwa na mahakama ni mapingamizi ya awali ya hiyo kesi.
Leo ni hukumu ya kesi ya lema au ni hukumu ya pingamizi ya rufaa ya lema please nielewesheni.
Nilimaanisha,Mkuu Yericko Nyerere tafadhali funguka vizuri zaidi. Tumeambiwa hapa kwamba kesi imeahirishwa kwa muda wa siku 14 ili mahakama ifanye marekebisho ya kasoro zilizojitokeza.
Sasa hapa tena unasema Ruling tayari, mapingamizi mawili yametupwa na moja limekubaliwa. Nimeshindwa kukupata vizuri.
Mkuu Yericko Nyerere tafadhali funguka vizuri zaidi. Tumeambiwa hapa kwamba kesi imeahirishwa kwa muda wa siku 14 ili mahakama ifanye marekebisho ya kasoro zilizojitokeza.
Sasa hapa tena unasema Ruling tayari, mapingamizi mawili yametupwa na moja limekubaliwa. Nimeshindwa kukupata vizuri.
Who is Lema kwani?????? Kwanini habar yake ipewe mvuto. KUna mambo mengi sana ya kuandika na yenye uzito..siyo habari kama hii!!
Mzigo wa pua unaathiri fikra sahihi[/QUOTE
Mpaka na wewe umo si umeona umetupia comment kwa nini usiandike hayo ya muhimu tuchangie?
Nilimaanisha,
ruling tayari inaendelea kusikilizwa, mapingamizi 2 yametupwa,moja limekubaliwa,lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
Samahani lakini, leo umeamka na hangover? hivi unajuwa kwamba haujajibu swali na wala haujasaidia lolote wanajamvi kwa bandiko hili zaidi ya kutuacha na maswali zaidi?Nilimaanisha,
ruling tayari inaendelea kusikilizwa, mapingamizi 2 yametupwa,moja limekubaliwa,lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
Tafuta jukwaa la watoto show, hapa umepotea njia na hatuhitaji ujinga hapa.Mi nipo nachek video ya pupa
Mkuu rulling ya hayo mapingamizi ndo imetolewa.Mkuu Yericko Nyerere tafadhali funguka vizuri zaidi. Tumeambiwa hapa kwamba kesi imeahirishwa kwa muda wa siku 14 ili mahakama ifanye marekebisho ya kasoro zilizojitokeza.
Sasa hapa tena unasema Ruling tayari, mapingamizi mawili yametupwa na moja limekubaliwa. Nimeshindwa kukupata vizuri.
mwanangu na mpendwa mheshimiwa lema, siku zote mtu mwema anajaribiwa na shetani na wakati fulani mungu anaruhusu ili watu wengine wajue jinsi mungu anavyoweza kumlinda mtu anayedhulumiwa.
Umedhulumiwa wadhifa wako pasipo na sababu lakini sasa imetosha, mungu anakwenda kuingilia kati na utarudishiwa ubunge wako uliopewa na wananchi wa arusha
mungu akubariki asubuhi hii unaposubiri matokeo ya case yako
amina
kweli?Lema kashinda Pingamizi la kesi leo, kesi inaanzwa kusilizwa kesho then Hukumu after 14 days
Nilimaanisha,
ruling tayari inaendelea kusikilizwa, mapingamizi 2 yametupwa,moja limekubaliwa,lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
Marekani wamefanya uchaguzi matokeo yametoka ndani ya saa tano,hapa kurekebisha kosa 14days?ee Mola tuepushe na majaji hawa vilaza maana sijui wanakotaka kutupeleka.