babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Ungemsikiliza ungepata majibu ya maswali yako. Ameyajibu yoteKwanini Makonda aliwakimbia wandishi wa habari waliotaka kumhoji? Kwanini polisi hawakufatilia hilo tukio? Kwanini Mwakyembe ajaunda tume itakayofatilia hilo tukio?
Makonda hawezi kujisafisha.