TANZIA RPC wa TABORA ACP Richard Abwao afariki dunia

TANZIA RPC wa TABORA ACP Richard Abwao afariki dunia

Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.

=====

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.

Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”

DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
R.I.P SACP Richard Abwao
 
Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.

=====

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.

Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”

DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Kifo ni kitu kibaya sana, Ndugu zangu kuuwa watu wasio na hatia wenye maisha mbele ni mbaya zaidi. Sifurahi kifo cha mtu kwa sababu kila nafsi itaonja mauti, lakini hata mkiua, mtaua, mtateka kama mnavyofanya. Samia pia kuna siku atakufa kwa sababu kila mmoja wetu atakuwa na siku yake. Cha msingi tuishi kwa haki, msionee (WANANCHI) bure watanganyika wasio na hatia. Siku moja tutahukumiwa kwa tulichokifanya........ Ni suala la muda tu. Iddi Amin alikufa, Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Nyerere, Magufuli.....Kila mtu. Tendeni wema......Mtajibu mlichofanya.
 
Kifo ni kitu kibaya sana, Ndugu zangu kuuwa watu wasio na hatia wenye maisha mbele ni mbaya zaidi. Sifurahi kifo cha mtu kwa sababu kila nafsi itaonja mauti, lakini hata mkiua, mtaua, mtateka kama mnavyofanya. Samia pia kuna siku atakufa kwa sababu kila mmoja wetu atakuwa na siku yake. Cha msingi tuishi kwa haki, msionee (WANANCHI) bure watanganyika wasio na hatia. Siku moja tutahukumiwa kwa tulichokifanya........ Ni suala la muda tu. Iddi Amin alikufa, Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Nyerere, Magufuli.....Kila mtu. Tendeni wema......Mtajibu mlichofanya.
Samia anajiona ni immortal ndiyo maana anakejeli watu wanaouwawa na askari wake
 
Nimezipokea taarifa hizi za Kifo cha RPC wa Tabora Richard Abwao kwa masikitiko makubwa mno kwani licha ya kuwa alikuwa ni Ndata (Polisi) ila alikuwa ni Mtu muungwana mno.

Tangulia Kaka Richard Abwao mwendo wako umeumaliza. GENTAMYCINE natoa pole zangu nyingi sana kwa Jeshi la Polisi, Familia yake na Wananchi wa Mkoa wa Tabora kwa kuondokea na Askari Polisi huyu Mchapakazi Richard Abwao.
 
Back
Top Bottom