blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,679
- 9,514
Waliachana sema jama kwenye hiyo fumaniz hakuleta utata wowote alijikaza kiumeHakumuacha hata?
Waliachana sema jama kwenye hiyo fumaniz hakuleta utata wowote alijikaza kiumeHakumuacha hata?
Umejibiwa ujumbe katika lugha ileile iliyotumika.Andika kiswahili wewee! Unadhani ukiandika hivyo ndio tutatishika?
Acha mara moja vitisho uchwara na zembe.
Wuon apanda ema chano gigo duto,wakau erokamano.Duong' odok ne Nyasaye...
Nimejibu kwa lugha ileile iliyowasilisha nilichojibu.Kiswahili mkuu
Huo mdomo anaonyesha alikuwa mtumiaji mwenzetu.Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Apostle Kumetokea Nini ?Pegee yesu Makofe Mazuri....
Picha ya mke wake tafadhaliAlimpenda sana mkewe alikuwa pisi hatari sema pengine aliona angeharibu kazi na hatma ya familia na watoto nk.
Haya magonjwa yapo. Watu waheshimu ndoa zao.. Sasa kabaki mjane.. Na sasa kupata mume itakuwa tabu sana.. Watamuogopa kama ukoma. Labda aipeleke Malawi ndani ndani🤣Jamaa naye mapenzi yalimnyoosha hatari inadaiwa aliwahi kumfumania mke wake live akipelekewa moto ila kwa moyo wa chuma jamaa hakufanya kitu akasepa zake.
Hiyo ilikuwa approach nzuri, hakuna sababu za kuleta utata hasa kwa yeye anayetembea na mashine kiunoniWaliachana sema jama kwenye hiyo fumaniz hakuleta utata wowote alijikaza kiume
Maaskari ambao hawavuti ni wachche sana... Hii kazi ya Polisi ina stress sana.. Lazima uvute.Huo mdomo anaonyesha alikuwa mtumiaji mwenzetu.
Rip
Waliachana lini?Waliachana sema jama kwenye hiyo fumaniz hakuleta utata wowote alijikaza kiume
Acha vitisho uchwara wewe jamviniUmejibiwa ujumbe katika lugha ileile iliyotumika.
Lakini najuwa ulivyo chizi, kwa hiyo sihamgaiki na wewe.
Mkuu please 🙏🏿 tupiako picha ya huyo mjane. Please 🙏🏿 🙏🏿 🙏🏿Alimpenda sana mkewe alikuwa pisi hatari sema pengine aliona angeharibu kazi na hatma ya familia na watoto nk.
Asante kwa TaarifaHapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
haya sawaNimejibu kwa lugha ileile iliyowasilisha nilichojibu.
Kifo ni kifo tu alinena bibi wa Kizimkazi.Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Je hakupewa kujumu pale oct 29?Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780