Nina Akili Ndogo Sana
JF-Expert Member
- Jun 2, 2026
- 385
- 448
Ni hadithi ndefu sana ya mwaka 2019 - 2020. Ni mtu mmoja mpuuzi sana.Tafadhali rafiki tueleze ili tumjue huyu mtu
Ni hadithi ndefu sana ya mwaka 2019 - 2020. Ni mtu mmoja mpuuzi sana.Tafadhali rafiki tueleze ili tumjue huyu mtu
Nikuhusu mapenzi au biashara?Ni hadithi ndefu sana ya mwaka 2019 - 2020. Ni mtu mmoja mpuuzi sana.
None of the aboveNikuhusu mapenzi au biashara?
Nimekukosea nini mkuu??Sikupendi kabisa wewe jamaa wewe. I hate you so much. Ulichonifanyia utalipia tu. Trust me. Usipolipia wewe, atalipia mtoto wako. SITANII MIMI.
RIP Kamanda Abwao.Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
Kuna ujumbe muhimu unaofikishwa hapa ambao wengi hawaujui, nikiwemo mwenyewe!Namna gani pale langoni, goo goo goo, lahaula,ilibaki sentimeta chache lifungwe goal safi sana, jaribio zuri.
Naelewa situation vzuri iliyotokea ila tusiwe na roho ya chuki namna hiyoNdugu zetu wameuliwa kwa maelfu, unategemea wauaji nao wakifa tusishangilie?
Facial expression!!How do you know that?
Kwahiyo ndio maana waka excecute mission hii!!!?au!!?Namna gani pale langoni, goo goo goo, lahaula,ilibaki sentimeta chache lifungwe goal safi sana, jaribio zuri.
mimi nazungumzia world cup mkuu acha kunichonganisha na katambi bwana mkubwa. Au unaitaka laki tano kwa nguvu?Kuna ujumbe muhimu unaofikishwa hapa ambao wengi hawaujui, nikiwemo mwenyewe!
RC.......habari za uhakika alipewa sumu amehangaika sana India na kwingineko.....tuanzie hapo nani aliempa sumu na kwa nini ??
Alfred TibaiganaMaaskari ambao hawavuti ni wachche sana... Hii kazi ya Polisi ina stress sana.. Lazima uvute.
How? haina nuru au?Facial expression!!