Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,401
- 35,909
Mshirika wa Tisi katika uovu chakula cha Funza.
Sema ungekuwa unajua hii kazi ni laana wala usinge kuwa unasema hayo.Wengi wanaacha kabisa.Polisi tunaishi nao kwenye jamii.Siyo kila polis ni katili.
an mano e kaka piny dhi..Duong' odok ne Nyasaye...
Iaih lalai lala dem walahi de rajunHapa Duniani tunapita.. Tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa
================
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiweHapa Duniani tunapita.. Tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa
================
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Nengla ndangla ndani ya tumbo eeeh!Duong' odok ne Nyasaye...
Hakumuacha hata?Jamaa naye mapenzi yalimnyoosha hatari inadaiwa aliwahi kumfumania mke wake live akipelekewa moto ila kwa moyo wa chuma jamaa hakufanya kitu akasepa zake.
Mwanadamu ameumbiwa udhaifuHawawezi kuficha kifo; wanaficha maradhi sio kifo mkuu. Huwezi kuficha HAKUNA.
😂😂😂 Wabongo mmechafukwaAnother off target! Hata hivyo tunashukuru Mungu kwa hiki kidogo tunaamini safari ijayo itakuwa pale utosini kabisa.
Dah wanyalukole maaruf wananyoosha balaa kaanza mshua wake vunja bei, kaja mbunge wa ismani sasa huyu ambwao.Apumzike kwa amani,pole kwa Mzee Abwao pale Iringa na Mama Chiku Abwao(Mbunge Mstaafu)
Basi either alikuwa bwege ama hakumpenda mke wake.Jamaa naye mapenzi yalimnyoosha hatari inadaiwa aliwahi kumfumania mke wake live akipelekewa moto ila kwa moyo wa chuma jamaa hakufanya kitu akasepa zake.