Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,049
- 1,644
Akapumzike alipopachagua akiwa bado ana uhai.
Hakuna Mtu anaweza akapendwa na Kila anayekutana naye katika maisha. Police wema wapo na wa hovyo pia wapo.Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
Kwishaaa kwishaaaa kabisa bado IGP NA MULILOHapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa.
=====
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Jijini Dar es salaam wakati akipatiwa matibabu.
Akizungumza na AyoTV, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema “Ni kweli aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu.”
DCP Misime ameongeza kuwa taratibu nyingine zinazohusiana na msiba huo zitatangazwa baadaye.
View attachment 3611780
Mano tich Yasae. Wan waonge gi wanyalo timo. Jaduong' ose dhi, walem ne mondo onindi maber.Du! Ruoth omi duong`....
.توقفت من قديمتوقف عن النميمة
How do you know that?Rip comrade!
Kwenye pocha hapo juu anaonekana kabisa hakua well kabisa kiafya!!
Mungu amrehemu
Bila kumsahau MafweleKwishaaa kwishaaaa kabisa bado IGP NA MULILO
NakaziaAnother off target! Hata hivyo tunashukuru Mungu kwa hiki kidogo tunaamini safari ijayo itakuwa pale utosini kabisa.
Hawa si walikuwa wanakaa misufini pale Moro yeye na yule dada yake M.Mzee Abwao alikuwa na Mke mwingine kabla ya kumuoa Chiku Abwao,hivyo huyu Marehemu ni mtoto wa huyo Mke mwingine
R.I.P RPC R. Abwao. Pole familia.Huyu alikuwa mzalendo sana.huyu ni baadhi ya polisi wasio na makandokando.Apumzike kwa amani mzalendo.amejihusisha sana na matendo mema kwa jamii inayomzunguka.
Hata akifa mchawi kama ni mzazi wako au ni ndugu yako wa karbu lazma ikuume tu....hizi comments za namna hii hivi mnakua serious ama?Asante Mungu kwa Hili Dogo..
Tusiposhukuru kwa hili dogo na kubwa hatutashukuru.
Tumshukuru Mungu kwa Kila Jambo.
Huyo mungu gani anawaua watu chifu?Asante mungu kwa hiki kidogo
Eh mungu tukulipe nn sisi wanyonge tuso na sauti.?
Asante baba
Kwanini unasema hivyoHata akifa mchawi kama ni mzazi wako au ni ndugu yako wa karbu lazma ikuume tu....hizi comments za namna hii hivi mnakua serious ama?
WAtu wema wapo mzeeSema ungekuwa unajua hii kazi ni laana wala usinge kuwa unasema hayo.Wengi wanaacha kabisa.
Hv kweli mtu anafurahia kifo cha binadamu mwenzake ...hii dunia imefikia level ya chuki ya hatari sanaKwanini unasema hivyo
Kwa hiyo unataka kusema aliyeweka kifo alikosea sio?Hv kweli mtu anafurahia kifo cha binadamu mwenzake ...hii dunia imefikia level ya chuki ya hatari sana