Kisheria Kinana hana mamlaka ya kumuagiza RPC

Kinana alitoa Ombi na siyo agizo

Ndio maana alisema "Namsihi IGP apunguze Askari wa usalama........

Sasa hizo nasaha zake Viongozi wa polisi wana uamuzi wa kupima kwanza usalama na kufanya maamuzi sahihi siyo kwa kukurupuka.

Baada ya CCM kupoteza ushawishi kwa umma, wameamua kuja na mbinu ya kufanya siasa za kiki ili kuhadaa umma kuwa wanastahili kuendelea kukaa madarakani. Ndio hapo unaona viongozi wa CCM wakiingilia moja kwa moja watendaji wa serikali. Ni kama wanalazimisha kurudi mfumo wa chama kushika hatamu.

Ni hatari unapokuwa na chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, maana mambo mengi yataanza kutekelezwa kinyume na utaratibu ili kuhalalisha uwepo wa hicho chama madarakani.
 
Wengi wa Madereva wanaolalamika ni wale wasiofuata Sheria na Taratibu zilizowekwa, ukiwa na gari lililokamilika na wewe mwenyewe umekamilika ikiwemo kuendesha gari kwa kufuata Sheria za uendeshaji hakuna trafiki atakayekusumbua.
Askari akiamua kutafuta kosa kwenye gari Loko hakosi, 98% hayakamilika.
 
Sasa nimejifunza na kutambua kauli inayosema ‘ ni kauli za kisiasa’.

MaRPC wa mikoa ya Arusha na kilimanjaro wameamua kupuuza kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mh Kinana kwa kufungulia trafic wa kutosha ndani na nje ya miji.

Idadi ya matrafiki bara barani imezidi tena na mijini wanazunguka kama nyuki bila kujali maeneo muhimu ya kukaa na kukusanya chao mapema na kurudi makao.

Tuliwapigia RPC Arusha na Kilimanjaro kuwaulizia kuhusu kauli ya Mh. Kinana walijibu kwa nyakati tofauti kuwa wao sio wasemaji wa jeshi la Polisi.

Ombi : Jeshi la polisi litii bila shuruti kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM. Comred Kinana.

Kuna kauli ya kinana na miongozo ya kisheria
 
Sasa nimejifunza na kutambua kauli inayosema ‘ ni kauli za kisiasa’.

MaRPC wa mikoa ya Arusha na kilimanjaro wameamua kupuuza kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mh Kinana kwa kufungulia trafic wa kutosha ndani na nje ya miji.

Idadi ya matrafiki bara barani imezidi tena na mijini wanazunguka kama nyuki bila kujali maeneo muhimu ya kukaa na kukusanya chao mapema na kurudi makao.

Tuliwapigia RPC Arusha na Kilimanjaro kuwaulizia kuhusu kauli ya Mh. Kinana walijibu kwa nyakati tofauti kuwa wao sio wasemaji wa jeshi la Polisi.

Ombi : Jeshi la polisi litii bila shuruti kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM. Comred Kinana.
Kinana siyo kiongozi wa kiserikali; hana mamlaka ya kutoa maagizo kwa RPC. Kama anachukizwa kazi na polisi, basi atoe malalamiko yake huko ndani ya CCM kwa mwenyekitri wake ambaye ndiye rais na ana mamlaka najuu ya polisi. Hii kuchukulia kuwa CCM ni juu ya serikali ni makosa na matumizi mabaya ya madaraka ambayo viongoiz wa CCM hawana.
 
Sasa nimejifunza na kutambua kauli inayosema ‘ ni kauli za kisiasa’.

MaRPC wa mikoa ya Arusha na kilimanjaro wameamua kupuuza kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mh Kinana kwa kufungulia trafic wa kutosha ndani na nje ya miji.

Idadi ya matrafiki bara barani imezidi tena na mijini wanazunguka kama nyuki bila kujali maeneo muhimu ya kukaa na kukusanya chao mapema na kurudi makao.

Tuliwapigia RPC Arusha na Kilimanjaro kuwaulizia kuhusu kauli ya Mh. Kinana walijibu kwa nyakati tofauti kuwa wao sio wasemaji wa jeshi la Polisi.

Ombi : Jeshi la polisi litii bila shuruti kauli ya Makamu Mwenyekiti wa CCM. Comred Kinana.
Wamekuwa kama nyuki! Yani ni kama vile ile kauli ya Kinana wameichukulia kinyume!
#BureKabisa
 
Ni nchi nzima Mkuu, majuzi tumetoka Mbeya kuja Dar, tumesumbuliwa sana njiani na hasa Mafinga hadi Iringa tumesimamishwa zaidi ya mara 6, shida ni kwamba wanatafuta rushwa for 0 offenses
Hata kama hauna kosa lazima waombe pesa. Kuna kitu hakiko sawa hii Serikali.
 
Back
Top Bottom