johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Makamu Mwenyekiti wa CCM Komredi Kinana amewataka Wanaccm halisi kuwatambua Ndumilakuwili Wote ambao mchana wako CCM na Usiku wako Chadema na wawaweke pembeni
Aidha Kinana amesema katika Dunia ya Leo Ukabila na Udini havina Nafasi na baba wa taifa mwalimu Nyerere alivipiga Vita Sana
Source: Channel ten
Mlale Unono 😄😄🔥
Aidha Kinana amesema katika Dunia ya Leo Ukabila na Udini havina Nafasi na baba wa taifa mwalimu Nyerere alivipiga Vita Sana
Source: Channel ten
Mlale Unono 😄😄🔥