johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko ambaye pia ni Mbunge wa Bukombe na Waziri wa Nishati amemshukuru Makamu Mwenyekiti wa CCM Komredi Kinana kuwatembelea Kanda ya Ziwa Victoria
Aidha amemshukuru kwa Heshima aliyowapa CCM Bukombe ya kuwazindulia Majengo yao.
Source: Clouds TV
Aidha amemshukuru kwa Heshima aliyowapa CCM Bukombe ya kuwazindulia Majengo yao.
Source: Clouds TV