RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

we nae acha kudanganya watu mkuu wa majeshi (Gen mabeyo) ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ikimaanishwa kamandi zote za JWTZ yaan navy, efantry,airforce, mizinga na JKT sio kama unavosema wewe kuwa ni mkuu wa majeshi yote hadi police, magereza na uhamiaji hawa wana wakuu wao acha kupotosha kama hujui jambo.
Sawa mkuu samahani,naomba unieleweshe maana ya commissioned officer
 
Cheo kijeshi, kinaendana na madaraka kijana! Wewe unadhani anaweza kuwepo CDF ambaye cheo chake ni Kanali wakati huo huo Luteni Generali yupo, na major generali yupo??
Wewe hujamwelewa anachomaanisha ni kwamba tena ni mfano halisi kabisa: Mkuu wa mkoa wa Kagera ni Brigedia Generali kwa hiyo ukuu wake wa mkoa alio teuliwa na Magufuli ni madaraka ila Ubrigedia ni Cheo ndo kama huyo Brigedia generali ambaye yupo PCCB ambayo Ipo chini ya mtu wa police
 
Kwan mkuu unaposikia majeshi ya ulinzi na usalama unaelewa anamaanisha nn? Nini jukumu la police? Nini jukumu la uhamiaji?
we nae acha kudanganya watu mkuu wa majeshi (Gen mabeyo) ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ikimaanishwa kamandi zote za JWTZ yaan navy, efantry,airforce, mizinga na JKT sio kama unavosema wewe kuwa ni mkuu wa majeshi yote hadi police, magereza na uhamiaji hawa wana wakuu wao acha kupotosha kama hujui jambo.
 
ni tanzania.

unataka kuiga mpaka uone kitu kwa watu kwanza,nikuulize.

ni nchi gani mwanajeshi anapanga uraiani?
Tafsiri ya Jeshi na majukumu yake Dunia nzima havitofautiani. Na neno linalotumika kuwatambua ni moja tu! Nalo ni Jeshi.

Kwa Tanzania Polisi kuitwa Jeshi ni neno lililozoeleka na linalotumika mara kwa mara kwenye mazungumzo na kusikika masikioni mwa watu kwa njia ambayo linaonekana limetumika pahala sahihi lakini maana yake ni tofauti kabisa na lilivyozoeleka kutumika.

Wanaolinda mipaka au ardhi ya nchi/Dola kwa kutumia nguvu ya silaha dhidi ya wavamizi wa nje hiki kikundi cha jumla ya watu kinaitwa Jeshi. Dunia nzima ndivyo kinatambulika hivyo.

Kikundi cha jumla ya watu waliyopewa mamlaka ya ndani ya Dola/nchi kulinda usalama wa raia na mali zake hiki kikundi kinajulikana ni Polisi.

Polisi ni Polisi na Jeshi ni Jeshi.
 
Kuna kasema polisi hakuna neno force kama tpdf hii inaitwa Tanzania Police Force ndio maana ya tpf.polisi sio idara polisi ni Jeshi kwa mujibu ya katiba ya Nchi.
Yote ni majeshi ila yana majukumu tofauti. Police inadili na ucompetent sana kwani wako direct attached na raia
 
Mbona wanakamataga raia na kuwatesa humo makambini mwao?
Kifupi ni kwamba wanajeshi wanajiona wapo juu ya sheria hata ikitokea amekosea basi anatetewa na wenzake asikamatwe.
Mkuu ni mwiko kisheria raia kuswekwa ndani ya mahabusu za jeshi. Ipo hivii? Wakikukamata unavunja sheria makambini kwao, wanatakiwa wakupeleke polisi na kama ni mashitaka utaenda kufunguliwa huko.
 
Katika tukio la kifo lililotokea majuzi kule Arusha likimuhusisha mwanamke(marehemu)na askari wa JWTZ. Wakati RPC wa Arusha anaongea na waandishi wa habari alitoa kauli ambayo alisema kuwa ktk vyeo vya JWTZ anayemzidi kwa cheo ni Brigedia Jenerali kwenda juu!! Najiuliza ulinganifu huu amezingatia vigezo/muongozo upi?! RPC yeye ni Assistant Commissioner of Police(ACP). Wajuzi wa haya mambo ya vyeo naomba ufafanuzi plz.
Haaaaaa.Haya maaskari sijui yakoje sijui yanawaza nini. Leo mlinzi was getini nawapa Elimu nyie mabregedia masacp na macopolo .Kwanza kaa kimya soma kwa makini sana.Majeshi yote ni Idara ndani ya Wizara zake Hivyo msijione bora sana bosi was mkuu wa majeshi ni katibu mkuu wa Wizara na Bosi wa IGP ni katibu Mkuu tu baada ya hapo Waziri halafu Rais sasa msijone miungu watu hapa nyie sawa tu wafanyakzi wengine wa umma acheni mbwembwe. Sasa nawafafanulia kuhusu vyeo vyenu ni kwamba kazi za mwenye nyota moja Jeshi la Wananchi ni sawa tu na Jeshi la Polisi tofauti ni utendaji tu anzieni kwenye paredi ni nani anakagua wachafu na wasafi ni nani anawakagua malindoni ni nani anaongoza platoon ni nani anaongoza mkoa kanda mpaka nchi utagundua alama zao kwenye mabega zinafanana. Twendeni kwenye Ushaidi sasa. Nini maana ya Jeshi,Mwanajeshi,kazi za vyeo vyao
Ibara ya 151:ya katiba ya Tz
Jeshi" maana yake ni lolote kati ya majeshi ya ulinzi na ni
pamoja na jeshi lolote jingine lililoundwa na Katiba hii au
kwa mujibu wa sheria na linalotawaliwa kwa amri ya51.-(1) Katika Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji
vinginevyo:
"amri ya Jeshi" maana yake ni sheria au amri
iliyotolewa kwa mujibu wa sheria, ya kusimamia nidhamu katika
jeshi;

"askari" likitumika kuhusiana na jeshi lolote, maana yake ni
pamoja na askari yeyote ambaye kwa mujibu wa amri ya
jeshi hilo ni mtu anayewajibika kinidhamu;

Ibara ya 147 maana ya Mwanajeshi.
147(3) Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na
chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki
ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
(4) Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake
ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu
katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi
la Kujenga Taifa.

Twende kwenye majukumu
Sheria ya kanuni ya Adhabu

Kutoa tamko kwa
wafanya ghasia
kutawanyika
Sura ya 500 kif.
7; Sura 356 kif
11 (13) kifungu cha
77cha kanuni ya Adhabu kinasema Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi wa au aliye juu ya
cheo cha mkaguzi(nyota moja na kuendele) au akida wa jeshi(Nyota moja na kuendelea/commissioned officer)la vita la Jamhuri ya Muungano,
atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia ana wasiwasi kuwa ghasia inataka kufanywa na watu kumi na mbili
au zaidi, au anaweza kutoa au kutolesha ilani kwa jina la Rais, kwa namna
atakayoona yafaa, kuwaamrisha wafanyaji ghasia hao au watu
waliokusanyika watawanyike kwa aman.
Mabano hayo nimeweka kwa ajili ya ufafanuzi tu kuonesha ulinganifu katika
Twendeni kwenye Uhalisia sasa
He unamkumbuka aliyekuwa kiongozi wa Operesheni tokomeza enzi za jk basi ni Simon Siro akiwa SACP wa Polisi aliongozi vikosi vya Jeshi la Polisi,Jeshi la Wananchi pamoja na Tanapa ndani ya vile vukokosi kulikuwa na majors wa kutosha na Makanali wote walpokea maelekezo kutoka kwake vipi apo mbona Hugo bado hakuwa kamishina kamili.Msichanganye mambo waungwana kamishina wa Polisi ni kamishina wa Polisi anaongoza commission Fulani kama vile fedha,utawala,mafunzo ,forensic na kadhalika sasa huku Jeshi la Wananchi commissioned Officer wanyota moja au mbili anaongoza commission gani? Mimi ninachojua anaongoza platoon tatu yaani company wakati kamishina msaidizi wa polisi anaongoza mkoa wenye watu askari pamoja na idara zote na ndiyo muongeaji hasa kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa kama alivyolinda Heshima ya Jwtz pale Arusha kwa kuwajibu waandishi wa habari.Narudia tena kuwa kamishina ndani ya Polisi ni cheo cha mwisho kabisa maana kinachofuata ni hisani ya Rais sasa wewe na kanyota chako ukajifananishe na Mambosasa aliyepewa V8 na walinzi Nyumba Kali eneo sawa na Mawaziri na makatibu wakuu wakati wewe umeja wako unatembelea defender mbovu na unalala nyumba Dirisha kama LA choo tens chafu hasa. Acheni kulishwa ujinga askari na mnakaririshwa kasumba dharau mwishowe mnaanza kupigana. Ebu fikiri kwa kina unafikiri Mkuu wa wilaya ya Arumeru anaweza kumuamrisha Shana ? Maana Shana ni Dcp bado kuwa kamishina kamili .na mkuu wa wilaya ni kamishina? Fikiri kwa kina sana acha kudanganywa na macoplol sugu yanakuambia yalikwenda vitani Uganda wakati walioenda vitani wote wameshastafu maana aliyeingia na miaka 18 kastafu mwaka Jana.. Pia mkumbuke kila taaluma inaumuhimu katika jamii .

Nyongeza ya mawazo tu
Wote Nazi yetu kuu kutulinda sisi Wananchi na Mali zetu yanini mnaleta ligi na kufedheheshana kwa kujiona imara zaidi kiliko wengine.Nyie ni walinzi tu Nazi yenu kuu ni ulinzi .Amka kifikra askari acha ubabe wakishamba tafuta pesa uache kufungulia mageti wenzako.
 
Haaaaaa.Haya maaskari sijui yakoje sijui yanawaza nini. Leo mlinzi was getini nawapa Elimu nyie mabregedia masacp na macopolo .Kwanza kaa kimya soma kwa makini sana.Majeshi yote ni Idara ndani ya Wizara zake Hivyo msijione bora sana bosi was mkuu wa majeshi ni katibu mkuu wa Wizara na Bosi wa IGP ni katibu Mkuu tu baada ya hapo Waziri halafu Rais sasa msijone miungu watu hapa nyie sawa tu wafanyakzi wengine wa umma acheni mbwembwe. Sasa nawafafanulia kuhusu vyeo vyenu ni kwamba kazi za mwenye nyota moja Jeshi la Wananchi ni sawa tu na Jeshi la Polisi tofauti ni utendaji tu anzieni kwenye paredi ni nani anakagua wachafu na wasafi ni nani anawakagua malindoni ni nani anaongoza platoon ni nani anaongoza mkoa kanda mpaka nchi utagundua alama zao kwenye mabega zinafanana. Twendeni kwenye Ushaidi sasa. Nini maana ya Jeshi,Mwanajeshi,kazi za vyeo vyao
Ibara ya 151:ya katiba ya Tz
Jeshi" maana yake ni lolote kati ya majeshi ya ulinzi na ni
pamoja na jeshi lolote jingine lililoundwa na Katiba hii au
kwa mujibu wa sheria na linalotawaliwa kwa amri ya51.-(1) Katika Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji
vinginevyo:
"amri ya Jeshi" maana yake ni sheria au amri
iliyotolewa kwa mujibu wa sheria, ya kusimamia nidhamu katika
jeshi;

"askari" likitumika kuhusiana na jeshi lolote, maana yake ni
pamoja na askari yeyote ambaye kwa mujibu wa amri ya
jeshi hilo ni mtu anayewajibika kinidhamu;

Ibara ya 147 maana ya Mwanajeshi.
147(3) Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na
chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki
ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
(4) Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake
ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu
katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi
la Kujenga Taifa.

Twende kwenye majukumu
Sheria ya kanuni ya Adhabu

Kutoa tamko kwa
wafanya ghasia
kutawanyika
Sura ya 500 kif.
7; Sura 356 kif
11 (13) kifungu cha
77cha kanuni ya Adhabu kinasema Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi wa au aliye juu ya
cheo cha mkaguzi(nyota moja na kuendele) au akida wa jeshi(Nyota moja na kuendelea/commissioned officer)la vita la Jamhuri ya Muungano,
atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia ana wasiwasi kuwa ghasia inataka kufanywa na watu kumi na mbili
au zaidi, au anaweza kutoa au kutolesha ilani kwa jina la Rais, kwa namna
atakayoona yafaa, kuwaamrisha wafanyaji ghasia hao au watu
waliokusanyika watawanyike kwa aman.
Mabano hayo nimeweka kwa ajili ya ufafanuzi tu kuonesha ulinganifu katika
Twendeni kwenye Uhalisia sasa
He unamkumbuka aliyekuwa kiongozi wa Operesheni tokomeza enzi za jk basi ni Simon Siro akiwa SACP wa Polisi aliongozi vikosi vya Jeshi la Polisi,Jeshi la Wananchi pamoja na Tanapa ndani ya vile vukokosi kulikuwa na majors wa kutosha na Makanali wote walpokea maelekezo kutoka kwake vipi apo mbona Hugo bado hakuwa kamishina kamili.Msichanganye mambo waungwana kamishina wa Polisi ni kamishina wa Polisi anaongoza commission Fulani kama vile fedha,utawala,mafunzo ,forensic na kadhalika sasa huku Jeshi la Wananchi commissioned Officer wanyota moja au mbili anaongoza commission gani? Mimi ninachojua anaongoza platoon tatu yaani company wakati kamishina msaidizi wa polisi anaongoza mkoa wenye watu askari pamoja na idara zote na ndiyo muongeaji hasa kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa kama alivyolinda Heshima ya Jwtz pale Arusha kwa kuwajibu waandishi wa habari.Narudia tena kuwa kamishina ndani ya Polisi ni cheo cha mwisho kabisa maana kinachofuata ni hisani ya Rais sasa wewe na kanyota chako ukajifananishe na Mambosasa aliyepewa V8 na walinzi Nyumba Kali eneo sawa na Mawaziri na makatibu wakuu wakati wewe umeja wako unatembelea defender mbovu na unalala nyumba Dirisha kama LA choo tens chafu hasa. Acheni kulishwa ujinga askari na mnakaririshwa kasumba dharau mwishowe mnaanza kupigana. Ebu fikiri kwa kina unafikiri Mkuu wa wilaya ya Arumeru anaweza kumuamrisha Shana ? Maana Shana ni Dcp bado kuwa kamishina kamili .na mkuu wa wilaya ni kamishina? Fikiri kwa kina sana acha kudanganywa na macoplol sugu yanakuambia yalikwenda vitani Uganda wakati walioenda vitani wote wameshastafu maana aliyeingia na miaka 18 kastafu mwaka Jana.. Pia mkumbuke kila taaluma inaumuhimu katika jamii .

Nyongeza ya mawazo tu
Wote Nazi yetu kuu kutulinda sisi Wananchi na Mali zetu yanini mnaleta ligi na kufedheheshana kwa kujiona imara zaidi kiliko wengine.Nyie ni walinzi tu Nazi yenu kuu ni ulinzi .Amka kifikra askari acha ubabe wakishamba tafuta pesa uache kufungulia mageti wenzako.
Mkuu nilikuwa nafatilia mjadala nikagundua junakujikweza tu humu ndani na kujiona kundi flani ni Bora kuliko wengine...Atakae bisha hapa ni mbishi tu...


Naomba hapa ndio uwe mwisho wa komenti umemaliza..
 
Alikua anabwabwaja wasiojua wamuone ni bonge la mtu labda uko upande wa kwao sio uku
Watu Wasiojua Mngekaa Kimya Tu, Jeshi Yaani ACP Alingane Na Brigade General
Hakuna Hata Utaratibu Huo


ACP Hata Huwezi Kulinganisha Na Warrant Officer Class One
 
Kwahiyo Mabeyo bado hajafikia level ya juu ya Ujeda au mi ndo sijui cheo chake maana c huwa nasikia wanamwita Brigedia Generali.
 
Kivipi,wanajua kuandika maelezo ya watuhumiwa vizuri zaidi au inakuaje,au wamesoma forensic studies sana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa wanajeshi maelezo ya mtuhumiwa wapeleke wapi mzee...!! Pale ni chumaa tu kinatembea...
 
Kwahiyo Mabeyo bado hajafikia level ya juu ya Ujeda au mi ndo sijui cheo chake maana c huwa nasikia wanamwita Brigedia Generali.
Yule ni Full General,sina uhakika ila wataalamu watanikosoa kama ntakua nimekosea.
 
Usiwe mwongo wewe! Canal na Brigedia General ni ranks za wakurugenzi tu katika Idara za Wizara mbalimbali. Major General yeye aweza kuwa katibu mkuu au mkurugenzi wa Idara. Infact, ACP naweza sema ni kama Kanali, SACP ni kama Brig. Gen, wakati CP ni kama Major Gen, Deputy IGP ni kama Lt Gen, na IGP ni kama Generali. Huu ni ulinganifu wa vyeo, sio majukumu, kila mmoja ana majukumu yake kwenye kada yake! Huwezi chagua capten akawe mkuu wa jeshi la polisi Tz wakati cheo chake ni sawa na ASP! Itakuwa ajabu sana.
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
A wishful thinking!! Polisi ni idara ya kiraia. Kijeshi kuna commissioned na non commissioned. Sasa huwezi kumlinganisha gazetted officer wa polisi na commissioned officer a jeshi. Vyeo vya makamishina hutolewa na rais, ambapo kuanzia luteni usu jwtz. Mwenye nyota moja jw ni kamishna, hiyo ni fact, huwezi kumlinganisha na gazetted officer.
 
Haaaaaa.Haya maaskari sijui yakoje sijui yanawaza nini. Leo mlinzi was getini nawapa Elimu nyie mabregedia masacp na macopolo .Kwanza kaa kimya soma kwa makini sana.Majeshi yote ni Idara ndani ya Wizara zake Hivyo msijione bora sana bosi was mkuu wa majeshi ni katibu mkuu wa Wizara na Bosi wa IGP ni katibu Mkuu tu baada ya hapo Waziri halafu Rais sasa msijone miungu watu hapa nyie sawa tu wafanyakzi wengine wa umma acheni mbwembwe. Sasa nawafafanulia kuhusu vyeo vyenu ni kwamba kazi za mwenye nyota moja Jeshi la Wananchi ni sawa tu na Jeshi la Polisi tofauti ni utendaji tu anzieni kwenye paredi ni nani anakagua wachafu na wasafi ni nani anawakagua malindoni ni nani anaongoza platoon ni nani anaongoza mkoa kanda mpaka nchi utagundua alama zao kwenye mabega zinafanana. Twendeni kwenye Ushaidi sasa. Nini maana ya Jeshi,Mwanajeshi,kazi za vyeo vyao
Ibara ya 151:ya katiba ya Tz
Jeshi" maana yake ni lolote kati ya majeshi ya ulinzi na ni
pamoja na jeshi lolote jingine lililoundwa na Katiba hii au
kwa mujibu wa sheria na linalotawaliwa kwa amri ya51.-(1) Katika Katiba hii, ila iwapo maelezo yahitaji
vinginevyo:
"amri ya Jeshi" maana yake ni sheria au amri
iliyotolewa kwa mujibu wa sheria, ya kusimamia nidhamu katika
jeshi;

"askari" likitumika kuhusiana na jeshi lolote, maana yake ni
pamoja na askari yeyote ambaye kwa mujibu wa amri ya
jeshi hilo ni mtu anayewajibika kinidhamu;

Ibara ya 147 maana ya Mwanajeshi.
147(3) Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na
chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki
ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
(4) Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake
ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu
katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi
la Kujenga Taifa.

Twende kwenye majukumu
Sheria ya kanuni ya Adhabu

Kutoa tamko kwa
wafanya ghasia
kutawanyika
Sura ya 500 kif.
7; Sura 356 kif
11 (13) kifungu cha
77cha kanuni ya Adhabu kinasema Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi wa au aliye juu ya
cheo cha mkaguzi(nyota moja na kuendele) au akida wa jeshi(Nyota moja na kuendelea/commissioned officer)la vita la Jamhuri ya Muungano,
atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia ana wasiwasi kuwa ghasia inataka kufanywa na watu kumi na mbili
au zaidi, au anaweza kutoa au kutolesha ilani kwa jina la Rais, kwa namna
atakayoona yafaa, kuwaamrisha wafanyaji ghasia hao au watu
waliokusanyika watawanyike kwa aman.
Mabano hayo nimeweka kwa ajili ya ufafanuzi tu kuonesha ulinganifu katika
Twendeni kwenye Uhalisia sasa
He unamkumbuka aliyekuwa kiongozi wa Operesheni tokomeza enzi za jk basi ni Simon Siro akiwa SACP wa Polisi aliongozi vikosi vya Jeshi la Polisi,Jeshi la Wananchi pamoja na Tanapa ndani ya vile vukokosi kulikuwa na majors wa kutosha na Makanali wote walpokea maelekezo kutoka kwake vipi apo mbona Hugo bado hakuwa kamishina kamili.Msichanganye mambo waungwana kamishina wa Polisi ni kamishina wa Polisi anaongoza commission Fulani kama vile fedha,utawala,mafunzo ,forensic na kadhalika sasa huku Jeshi la Wananchi commissioned Officer wanyota moja au mbili anaongoza commission gani? Mimi ninachojua anaongoza platoon tatu yaani company wakati kamishina msaidizi wa polisi anaongoza mkoa wenye watu askari pamoja na idara zote na ndiyo muongeaji hasa kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa kama alivyolinda Heshima ya Jwtz pale Arusha kwa kuwajibu waandishi wa habari.Narudia tena kuwa kamishina ndani ya Polisi ni cheo cha mwisho kabisa maana kinachofuata ni hisani ya Rais sasa wewe na kanyota chako ukajifananishe na Mambosasa aliyepewa V8 na walinzi Nyumba Kali eneo sawa na Mawaziri na makatibu wakuu wakati wewe umeja wako unatembelea defender mbovu na unalala nyumba Dirisha kama LA choo tens chafu hasa. Acheni kulishwa ujinga askari na mnakaririshwa kasumba dharau mwishowe mnaanza kupigana. Ebu fikiri kwa kina unafikiri Mkuu wa wilaya ya Arumeru anaweza kumuamrisha Shana ? Maana Shana ni Dcp bado kuwa kamishina kamili .na mkuu wa wilaya ni kamishina? Fikiri kwa kina sana acha kudanganywa na macoplol sugu yanakuambia yalikwenda vitani Uganda wakati walioenda vitani wote wameshastafu maana aliyeingia na miaka 18 kastafu mwaka Jana.. Pia mkumbuke kila taaluma inaumuhimu katika jamii .

Nyongeza ya mawazo tu
Wote Nazi yetu kuu kutulinda sisi Wananchi na Mali zetu yanini mnaleta ligi na kufedheheshana kwa kujiona imara zaidi kiliko wengine.Nyie ni walinzi tu Nazi yenu kuu ni ulinzi .Amka kifikra askari acha ubabe wakishamba tafuta pesa uache kufungulia mageti wenzako.
Una madini mazito sana kuhusu majeshi, asante sana kwa nondo zako zilizomaliza utata hapa.
 
Tafsiri ya Jeshi na majukumu yake Dunia nzima havitofautiani. Na neno linalotumika kuwatambua ni moja tu! Nalo ni Jeshi.

Kwa Tanzania Polisi kuitwa Jeshi ni neno lililozoeleka na linalotumika mara kwa mara kwenye mazungumzo na kusikika masikioni mwa watu kwa njia ambayo linaonekana limetumika pahala sahihi lakini maana yake ni tofauti kabisa na lilivyozoeleka kutumika.

Wanaolinda mipaka au ardhi ya nchi/Dola kwa kutumia nguvu ya silaha dhidi ya wavamizi wa nje hiki kikundi cha jumla ya watu kinaitwa Jeshi. Dunia nzima ndivyo kinatambulika hivyo.

Kikundi cha jumla ya watu waliyopewa mamlaka ya ndani ya Dola/nchi kulinda usalama wa raia na mali zake hiki kikundi kinajulikana ni Polisi.

Polisi ni Polisi na Jeshi ni Jeshi.
unajua shida ni kwamba,wapo watu fulani wajinga hili swala linawauma sana[emoji16][emoji16].sijui kanini?

us wana army,tz mbona hatutumii hili neno kama tunafanana majukumu?

katiba inasema wazi,kutakuwa na jeshi la ulinzi la wananchi wa tz,unaelewa maa yake?
kutakuwa na jeshi la polisi tz,unaelewa maana yake?
 
Back
Top Bottom