RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Haya majeshi yana Rank zake, jeshi namba moja ni TPDF. Hii "F" Ni force hayo majeshi mengine hayana hiyo kitu, ni majeshi ya shughuli za kiraia. Jielimishe dada. Maofisa wa jeshi wote wanavalishwa vyeo na Raisi.
Kwa hiyo CP wa polisi akampigie saluti nyota moja wa jwtz? Acha unanga wewe
 
Wewe mama ndio hujui kitu. Afu nimekuuliza hapo CP wa polisi atampigia saluti nyota moja wa jwtz hujajibu umebaki unabwabwaja maneno tu hapa.
Haya majeshi yana Rank zake, jeshi namba moja ni TPDF. Hii "F" Ni force hayo majeshi mengine hayana hiyo kitu, ni majeshi ya shughuli za kiraia. Jielimishe dada. Maofisa wa jeshi wote wanavalishwa vyeo na Raisi.
 
Nakuelewesha! Brigedia Generali pale takukuru yupo chini ya Kamishna wa Polisi! Usiwakuze sana hao JWTZ as if they are so special compared to others! Everyone is special in his or her field!
Jambo Usilolijua Wewe Mwenyewe Ni Usiku Wa Giza
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
We utakuwa polisi unatetea uozo humu
 
Nakuelewesha! Brigedia Generali pale takukuru yupo chini ya Kamishna wa Polisi! Usiwakuze sana hao JWTZ as if they are so special compared to others! Everyone is special in his or her field!
Teh...anampigia saluti kama kawa
 
Nakuelewesha! Brigedia Generali pale takukuru yupo chini ya Kamishna wa Polisi! Usiwakuze sana hao JWTZ as if they are so special compared to others! Everyone is special in his or her field!
Kha! Hii yako mpya, hata asie sikia atakubushia. Hakuna kitu kama hicho duniani.
 
Mimi nakuelimisha wewe unabishana. Sipo kwa ajili ya kubishan.
Polisi sio jeshi.
Huwezi kuwalinganisha na jeshi. Unazungumzia watu wanaovalishwa vyeo na mkuu wa mkoa.
Ndugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Yaani Umemjibu Vema
Nyota Moja Ya Jeshi
Katiba Ya Tanzania Inamta
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akawape Siyo Kwa Kukaimisha Mtu Mwingine
Maana Yake Depo Litapigwa Ikiwa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Hayupo Hadi Arudi/Apatikane Rais Mwingine
 
Vyeo vya Polisi
1.Constable =Plain uniform (Hana nembo yyte)
2.Coplo =V 1
3.Sajent =V 2
4.Sajent staff =V 2+ ngao
5.inspector msaidizi =Nyota 1
5.Inspector =Nyota 2
6.Sajent Meja =Ngao 1
7.S.A.C.P (kamishina msaidizi mwandamizi)=Nyota 2+ngao 1+nembo ya Taifa.
8.A.C.P(kamishina msaidizi)=kamishina msaidizi =nyota 1+nembo ya Taifa
9.S.S.P(Mkaribu mwandamizi)=Nyota 1+ngao moja.
10.A.S.P(mkaribu msaidizi)=nyota 3.
11.S.P(mkaribu )=ngao+nembo ya Taifa
12.D.C.P(Naibu kamishina)=Mkuki + nyota
13.C.P(kamishina)=Mkuki na nembo ya Taifa
14.I.G.P=mkuki+ngao +nembo ya Taifa

JWTZ
1.Private =Plain uniform
2.koplo mdogo =V1
3.koplo =v2
4.Sajent =V 3
5.Sajent mtumish=V 2+nembo ya Taifa
6.maafisa wateule II=nembo ya taifa
7.maafisa wateule I=alama ya taifa+ngao
8.Luten I= Nyota 1
9.Luten II= Nyota 2
10.captain =Nyota 3
11.Meja = alama ya Taifa
12.Luten canal = Nyota na alama ya Taifa
13.kanali =Nyota 2 na alama ya Taifa
14.Brigedia general =nyota 3 na nembo ya Taifa
15.Brigedia =Nyota 3 ,nembo ya Taifa na ngao
16.Meja general = Mkuki + nembo ya Taifa
17.Luten general = Mkuki na nyota + nembo ya Taifa
18.General =mkuki +nyota mbili +nembo ya Taifa.
Mkaribu = Mrakibu!
 
Mimi nakuelimisha wewe unabishana. Sipo kwa ajili ya kubishan.
Polisi sio jeshi.
Huwezi kuwalinganisha na jeshi. Unazungumzia watu wanaovalishwa vyeo na mkuu wa mkoa.
Any way tuwaachie wenye majeshi yao me raia tu uku mtaani
 
Back
Top Bottom