mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
endelea kujifunza mkuu,usijifungie kwenye chumba kimoja.Kha! Hii yako mpya, hata asie sikia atakubushia. Hakuna kitu kama hicho duniani.
endelea kujifunza mkuu,usijifungie kwenye chumba kimoja.Kha! Hii yako mpya, hata asie sikia atakubushia. Hakuna kitu kama hicho duniani.
Umesomeka bablaiKiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.
Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.
Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.
Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.
Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Kivipi,wanajua kuandika maelezo ya watuhumiwa vizuri zaidi au inakuaje,au wamesoma forensic studies sana?Aaha hapo sawa...[emoji23][emoji23] sema Ufananishe jeshi na polisi kicheo tu lakini Kwenye shughuli JW ni habari nyingine
sio police tu,hata baadhi ya wanajeshi watavaa kiraia.au hujui huwa inakuwaje??Nchi ikiwa mikonono mwa jehi hao Polosi wote wanavaa kiraia.
Kwahiyo Tanzania hakuna POLICE FORCE?Haya majeshi yana Rank zake, jeshi namba moja ni TPDF. Hii "F" Ni force hayo majeshi mengine hayana hiyo kitu, ni majeshi ya shughuli za kiraia. Jielimishe dada. Maofisa wa jeshi wote wanavalishwa vyeo na Raisi.
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP
Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
Yani mkuu wa jeshi moja(polisi)unamlinganisha na mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ikiwemo(ikiwemo polisi)Usiwe mwongo wewe! Canal na Brigedia General ni ranks za wakurugenzi tu katika Idara za Wizara mbalimbali. Major General yeye aweza kuwa katibu mkuu au mkurugenzi wa Idara. Infact, ACP naweza sema ni kama Kanali, SACP ni kama Brig. Gen, wakati CP ni kama Major Gen, Deputy IGP ni kama Lt Gen, na IGP ni kama Generali. Huu ni ulinganifu wa vyeo, sio majukumu, kila mmoja ana majukumu yake kwenye kada yake! Huwezi chagua capten akawe mkuu wa jeshi la polisi Tz wakati cheo chake ni sawa na ASP! Itakuwa ajabu sana.
Sasa kinachowaleta kubwabwaja humu ni nini?Kuua aue yeye wengine wawajibikeje??
mwanajeshi wa jwtz ana makosa ya aina mbili.Ivi mfano kwa mwanajeshi akifanya makosa si ruksa raia ama polisi kumkamata mwanajeshi hado waje wale Mp wa jeshi,je ni sawa
Yani mkuu wa jeshi moja(polisi)unamlinganisha na mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ikiwemo(ikiwemo polisi)
IGP( inspector general of police), CDF( chief of defence forces). Siro ni mkuu wa police Tanzania na mabeyo ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ndani ya Tanzania. Kiprotocal ACP( assistant commissioner ) hawezi kuwa sawa na colonel
mwanajeshi wa jwtz ana makosa ya aina mbili.
ya kiraia~kuvunja sheria yoyote kama
raia mwingine,atashikwa na
polisi wa kituoni,na
atahukumiwa kwa mujibu wa
sheria.
ya kijeshi~kuvunja kanuni za jeshi(jwtz
atakamatwa na mp(polisijesh
i)na atahukumiwa ktk
mahakama za kijeshi.
NB,makosa yote ya kisheria,ni makosa ya kijeshi pia,hivyo basi,kabla mwanajeshi(jwtz)hajahukumiwa na mahakama za kiraia atakuwa amehukumiwa kijeshi tayari.
Bridgedia general bado inatumika, pale PCCB yupo chini ya Diwan Athumani ambae ni kamishina wa polisi.
Bridgedia general bado inatumika, pale PCCB yupo chini ya Diwan Athumani ambae ni kamishina wa polisi.
Ndiyo ujue kwamba wewe ni punguani kama mapunguani wenzako.Tanzania
You are very right kakaJWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP
Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
Kwa Tanzania ni collocation.Tanzania