Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,623
Kama Kikwete alihusika katika haya yote inakuwaje huyu mtu anajitenga kama vile hakushiriki kwenye kitu chochote?Hivi Tanzania hii kweli hamna vitu kama Orange Revolution ya Ukraine iliyomuondoa madarakani Victor Yanukovich alipoiba kura na kukaa madarakani.Yaani hamna mtu influential wa kuinfluence such a revolution?
Siyo wajibu wa mtu bali ni wa watu!! Mtu mmoja hawezi kufanya yote hayo. Kinachohitajika ni jitihada za pamoja.